Mgoyangi
Senior Member
- Feb 6, 2008
- 184
- 9
- Biashara ya vituo vya Mafuta (petroli) inaonekana kukimbiliwa na wafanyabishara na wengine kama Mansoor Mwanza wanaanzisha vituo mahali ambapo hakuna - dalili za wateja - Pale Sabasaba Mwanza.
- Hivi kuna nini katika hii biashara na hasa wengi wanaofanya biashara hii utaona kuwa ni wanasiasa pia. Kuna nini kimejificha humo?
- Lakini pia nasikia upunjaji vipimo ni mkubwa - wakati maafisa kutoka idara ya vipimo ndiyo wanaoshughulika kufunga lakiri - seal - lakini bado watu wanapunjwa, je hakunma njia ya kisasa ya kudhibiti upunjaji kama huu?
- Mwenye Nondo atushushie.
- Hivi kuna nini katika hii biashara na hasa wengi wanaofanya biashara hii utaona kuwa ni wanasiasa pia. Kuna nini kimejificha humo?
- Lakini pia nasikia upunjaji vipimo ni mkubwa - wakati maafisa kutoka idara ya vipimo ndiyo wanaoshughulika kufunga lakiri - seal - lakini bado watu wanapunjwa, je hakunma njia ya kisasa ya kudhibiti upunjaji kama huu?
- Mwenye Nondo atushushie.