mama dunia
JF-Expert Member
- Dec 22, 2011
- 420
- 84
Hope wazima, mi naomba msaada jamani, ninapenda sana kuanza duka la nguo mkoani,nimefanya marketing survey nimeona mkoani patalipa kuliko hapa dar, sasa ninataka kupata usaidizi maana nataka niwe naenda kuleta mzigo mie mwenyewe kutoka huko Thailand, maana napenda sana kuchagua chagua na napenda ubora sana maana najua itaniletea wateja sana sasa shida yangu ni kama humu kuna mtu aliyewahi kufanya au anafanya biashara ya kununulia mzigo from thailand, kama italipa, bei zao, na mambo ya charges za hapa bongo, kama mzigo vizuri uje kwa meli au air cargo nk, please please naomba sana ushauri wenu na experiences pia..