Biashara + makampuni 2012

C.T.U

JF-Expert Member
Jun 1, 2011
5,070
3,718
mwaka 2012 naona watu wamesherehekea kwa mbwembwe zote kila mtu ana malengo yake ya kuyatimiza mwaka huu kuna waliopanga kuoa , ku graduate pamoja na kupata kazi nzuri ila mimi malengo yangu ya mwaka 2012 ni biashara
kiukweli huu ni mwaka ambao ni lazima tufanikiwe hasa kwa sisi wafanyabiashara hata kama sio kwa asilimia mia moja ila ni lazima tuwe tumepiga hatua mbele na tunataka kuhakikisha kuwa tunajenga brand name yetu kibiashara...
Kwa sababu siku zote najiuliza kwanini makampuni ya wazungu??

Kwanini baclays?
Kwanini bp?
Kwanini tui ag?

Na wakati sisi tuna raslimali kibao tu hapa???

Utalii
uvuvi
madini
misitu

hivi vyote tunashindwa

hapana bwana

nasisi watanzania tunaweza kuwa na kampuni yenye revenue
2 bil usd kwa mwaka


yes tunaweza mimi, wewe yule na ninyi tukifanya kazi kwa bidii tunaweza

mimi, wewe yule na ninyi tukishirikiana tunaweza

mimi, wewe yule na ninyi tukipendana tunaweza

sasa ni muda wa sisi kuamka

ni muda wa sisi kujumuika pamoja

tuachane na habari za siasa ...
Kwamba nchi yetu mbaya

uchumi mbovu


tuanze sisi kwa kuendesha makampuni yetu wenyewe

tuwe wadadisi

tuwe very very very very creative

tusome sana vitabu

tupunguze starehe

naamini tutaweza

naamini tutasonga mbele


huu ni mwaka wa kujenga c.t.u brand

naamini tukimuweka mungu mbele tutafanikiwa ni hayo tu



2 january 2012.... Ni siku ya mapinduzi ya biashara......


Lazima tufanikiwe.....

Thanks

c.t.u team

 
Hongereni kaka,na karibuni na huku
tupeane mbinu zaidi za kufanikisha malengo yetu
GSHAYO
 
MKUUUNACHO SEMA NI SAHIHI KABISA, BUT KUNA SHIDA MOJA.

1. KUKATISHANA TAMAA.
- Watu wengi niwakukatishana tamaa sana,

2. Maneno mengi kulikovitendo
- Kumekuwa na maadambalimbali nyingi sana humu ambazo ninauhakika watu wengezifanyia kazitungekuwa mbali sana, tuna bakia kuzikopi na kusevu kwenye komputa tu.

3. Wivu
- Watanzania wengi wanawivu sana katika biashara, huwezi kuta mfano wamiliku wa MABASI Tanzania wakiwana meeting yao kujadili jinsi ya kupanua biashara ila umoja wao ni wa kudainauli ipande na kupinga speed gavana tu.
- Nilicheki huku Arushawazungu wafanya biashara huwa wanakutana wote bila kujalisha wanafanya biasharazinazo fanana, na huwa wanakutana kwa kunywa chai na kuongea maswala yabiashara.

- MZIKI UKO KWAWATANZANIA, WANAJIFANYA WAKO BISE SANA UKIWAAMBIA WAKUTANE HATA KWA MWAKA MARATATU NA KUZUNGUMZIA JINSI YA KUBORESHA BIASHARA HAKUNA ANAYE TAKA, KISA WAKOBISE.

- HIVI NI KAMPUNI ZIPIZA WATANZANIA WATU WAKO BISE KULIKO HIZI ZA WAGENI?

- MBONA WAGENI HUWAWANAKUTANA?

- WATANZAZANI HUSEMWAKO TAITI SANA LAKINI WAAMBIE MKUTANE KUNYWA BIA UONE, HAPO HAWAKO BISEKABISA.

- NA KWENYE MASWALA YASTAREHE HUWA HAWAKO BISE BUT UKIWAAMBIA TUKUTANE FOR EVENING TALK HAPO WAKOBISE SANA.


MKUU KUNA KAZI KUBWASANA KUWABADILISHA HAWA WATANZANIA WENZETU.

- ILA KWA HIKI KIZAZIKIPYA CHA KIJASIRIAMLAI INAWEZEKANA INGAWA NA WAO MANENO NI MENGI SANA, MAKEKIZAZI HIKI KINGINE HAWAKO TIYALI NA UKIZANGATIA BIASHARA ZA BONGO ZINAMASHARITI YA KUFA MTU, MTU ANAWEZA AMBIWA HAILUHUSIWI KUCHANGANYIKANA NAWAFANYA BIASHARA WENGINE, NDO MASHARITI YA MGANGA WAKE

 
mkuuunacho sema ni sahihi kabisa, but kuna shida moja.

1. Kukatishana tamaa.
- watu wengi niwakukatishana tamaa sana,

2. Maneno mengi kulikovitendo
- kumekuwa na maadambalimbali nyingi sana humu ambazo ninauhakika watu wengezifanyia kazitungekuwa mbali sana, tuna bakia kuzikopi na kusevu kwenye komputa tu.

3. Wivu
- watanzania wengi wanawivu sana katika biashara, huwezi kuta mfano wamiliku wa mabasi tanzania wakiwana meeting yao kujadili jinsi ya kupanua biashara ila umoja wao ni wa kudainauli ipande na kupinga speed gavana tu.
- nilicheki huku arushawazungu wafanya biashara huwa wanakutana wote bila kujalisha wanafanya biasharazinazo fanana, na huwa wanakutana kwa kunywa chai na kuongea maswala yabiashara.

- mziki uko kwawatanzania, wanajifanya wako bise sana ukiwaambia wakutane hata kwa mwaka maratatu na kuzungumzia jinsi ya kuboresha biashara hakuna anaye taka, kisa wakobise.

- hivi ni kampuni zipiza watanzania watu wako bise kuliko hizi za wageni?

- mbona wageni huwawanakutana?

- watanzazani husemwako taiti sana lakini waambie mkutane kunywa bia uone, hapo hawako bisekabisa.

- na kwenye maswala yastarehe huwa hawako bise but ukiwaambia tukutane for evening talk hapo wakobise sana.


mkuu kuna kazi kubwasana kuwabadilisha hawa watanzania wenzetu.

- ila kwa hiki kizazikipya cha kijasiriamlai inawezekana ingawa na wao maneno ni mengi sana, makekizazi hiki kingine hawako tiyali na ukizangatia biashara za bongo zinamashariti ya kufa mtu, mtu anaweza ambiwa hailuhusiwi kuchanganyikana nawafanya biashara wengine, ndo mashariti ya mganga wake

unayosema ni sahihi kabisa ila mimi ninaamini kuwa mmoja akifanya na wengine watafuata halafu swala moja ambalo mimi nilikuwa nafikiria ni suala zima la creativity sekta ziko nyingi but the only thing ya kuweza kuwa na market share ni creativity ya wewe katika aidha managing, marketing your product/ service na mfumo mzima unaotumia kuuza bidhaa/ service yako

makampuni mengi ya nje yamefanikiwa kwa namna hiyo....unajua mimi kila nikiingia bandarini na kuona magari mengi ya japan yameingia thousands na thousands units za magari toka japan sasa ninajiuliza swali moja hivi sisi watanzania wa hapa hapa kuwa na kiwanda chetu cha magari sio kama haiwezekani... Inawezekana sana... Sema tu ndio tatizo hilo....


Fine tusiwe na brand yetu ila jamani hata kupewa leseni na huge brands jamani tumeshindwa?? Ni jambo ambalo ni possible kwa sisi watanzania kuwa tunatengeneza magari ya toyota tukawa tumepewa leseni tukatengeneza magari kwa ajili ya sadc countries market....


Utalii ndio tunao hadi tumeulalia....


Madini ndio tunayo mpaka kero...
Tatizo ni nini fund??

Lakini ukianza small scale mining then ukaenda ukaenda then ukanunua vifaa vya kisasa zaidi au ukaomba investment kwa joint ventures companies ukaenda public na kampuni yako but you still remain as founder na large share owner umepungukiwa na nini kama ajira umetoa kwa watu hapo


then wewe unakuja na idea nyingine....

Unaamia kwenye uvuvi...
Vickfish wa mwanza kwa mwezi anaingiza pesa nyingi sana kwa ajili ya hawa samaki ....

Ukiwa na mitumbwi au boti zako za kisasa ..... Wewe kazi yako ni kuvua na una kiji kiwanda chako unatengeneza fresh unakata kata kwa mashine vizuri...
Una park na label unaipa kabisa then una export kwa aidha third world countries au second world countries au both third and second world ...
I think ni moja ya biashara ambayo itawaleta ma billionaire wengi hapa nchini
wewe muombe mungu tu weka nia na sema kuwa

baada ya mwaka mmoja mauzo yangu ni usd kadhaa

kila mwaka nitahakikisha mauzo yanaongezeka kwa ailimia kadhaa

quality iwe kitu cha kutanguliza mbele am sure ni bonge la idea ila kama alivyosema mwenzetu hapo juu.... Tutaishia kuweka kwenye computer zetu...

 

Mkuuunacho sema ni sahihi buti , uko very far sana

1. Viwanda vya magarikwa Tanzania, bado ni ndoto, jiulize africa ni nchi ngapi zinatengeneza magaripamoja na kuwa mbele yetu kiuchumi?


2. UTALII
- Kwenye utalii kidogoinawezekana BUT NACHUKU NAFASI HII KUILAUMU SERIKALI YETU KWA HUU UZEMBE WAO

1. Kuruhusu hii sekitakukamatwa na waungu
- Kwa sasa hadi vinyagowantengeneza wao
- Utalii wao ndowanasafirisha wageni mbugani na kuwapandisha milimani
- Kuruhusu hizi kampuniza wazungu kuwa na akaunti zao za mapato ulaya na marekani, booking na payimentvyote vinafanyika huko huko
- Kuwa na propagandachafu zidi ya kampuni za wazawa/ watanzania
3. MADINI
- Mkuu madiniyanahitaji uwekezaji ulio enda shule, mkuu
- Zile kampuni zakuchimba zahabu kule mwanza, shinyanga na mara ukisikia kiasi wakicho wekezakujenga miundo mbinu ya migodo yao utachoko
- Zile kampuni zikoworl wide na zinamitaji ya kufa mtu, hazijaja kuanzia kuchimba madini hukukwetu
KWA MTANZAIA KUPATACAPITAL YA KUFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KAMA ULE NI VIGUMU SANA LABUDA UKOPE BENKYA DUNIA

Vile vile mkuu kunajambo moja watanzania wanashindwa kuelewa kuhusu MADINI, sekita ya madini sisekita itakayo weza kuwatoa watanzania, tutaweza kupiga hatua kupoitia sekitaya viwanda tu, KWA NINI?

1. Mkuu south africawana migodi mikubwa DUNIANI YA KUCHIMBA ZAHABU, ILA UCHUMI WA SOUTH AFRICA HATASIKU MOJA HAUJAKUWA KUTOKANA NA MADINI, NI VIWANDA

- Kuna nchi nyingi sanaDINIANI ZINA MIGODI MIKUBWA SANA , BUT UCHUMI WAO HAUTEGEMEI HAYO MADINI

- MADINI SI BIDHAAMUHIMU, ILE NI LUXURY GOODS

- MADINI HUWEZILINGANISHA NA MAFUTA HATA SIKU MOJA, ULISHA SIKIA KUNA NCHI WAMEANDAMANA KWASABABU DHAHABU IMEPANDA BEI? ILISHA SIKIA WAMENDAMANA KISA ALUMASI IMEPANDABEI?

- WALE WARABU WAKOMBELE KWA SA BABU YA MAFUTA, NA HATA SIKU MOJA TUSIJIDANGANYE KWAMBA DHAHABUZITATUTOA WATANZAI.

- Bila kukomaa naviwanda, ufugaji na kilimo hatutaweza kutoka, hivi ndo vitu muhimu duniani,chakula kila mtu anakula,

- Dhahabu inanunuliwana makampuni machache sana duniani wakati mafuta na chakula kinanunuliwa na nchizote

 
Back
Top Bottom