EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
- Thread starter
- #61
Mi nilikua nimesha toa hela ya kununua hii bidhaa
ila delivery ilikua bado kidogo, niliambiwa JF ikirudi
Sasa itakuaje hapa kuhusu malipo Mkuu EMT (wa JF)?
Siwezi kulipa mara mbili kwa kitu kile kile kimoja :/
Tulia. Unajua JF ilikuwa na kwikwi kidogo mambo yakitengemaa kila kitu kitanyooka.