Ndugu wajasiriamali wenzangu ningependa kufahamu mtu mwenye mtaji wa tsh 400000 (laki nne) anaweza kufanya biashara gani yenye kulipa na endelevu? Namdogo wangu anamaliza chuo kikuu na anapenda ajiajiri nami nimeona nimpatie kianzio cha laki nne niangalie mwelekeo wake utakuwaje ila pia ningependa kujua biashara gani anaweza kuifanya ikamlipa kwa mtaji huo hata kama itakuwa kwenye mikoa wowote ule ilimradi inamlipa nijuzeni wandungu