BlackBerry
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 1,839
- 956
Wine si zinalegeza sana, inakuwaje sasa mwanaume akilegea?bora wine kwa kweli
Wine si zinalegeza sana, inakuwaje sasa mwanaume akilegea?bora wine kwa kweli
hapana aisee, inanukisha domo mno, kutoka tumboni hata upige mswaki wa umemeHarufu itakusumbua kama hujui position nyingine!!
karibu kwenye konyagi blackberryhapana aisee, inanukisha domo mno, kutoka tumboni hata upige mswaki wa umeme
ni kweli mzee, nahisi hiyo kitu ninayo!!!!sina lengo la kuwatisha wanywa bia, lakini naamini inabidi tuwe makini.
Bia hutengenezwa kwa nafaka ambazo 'kwa kawaida' hushambuliwa sana na fungus na kupelekea kuwa na fungal toxins (mycotoxins). Inajulikana kuwa sumu hizi huharibiwa na process ya fermentation, wakati wa kutengeneza bia. Hata hivyo tafiti nyingi zimeonyesha uwepo wa viwango vikubwa vya mycotoxins kwenye bia hasa kutokana na bia hizi kutokuandaliwa vizuri. Ambapo katika utafiti mmoja, bia za pilsner na tusker zilionekana kuwa na kiwango kikubwa cha sumu hizi (http://www.scientificsocieties.org/jib/papers/2004/g-2004-0812-235.pdf).
Pamoja na madhara tofauti ya mycotoxins ikiwemo kansa kuharibiwa mfumo wa fahamu, mycotoxin aina ya zearalenone ina athari za kioestrogenic, kwa kusababisha kuzalishwa kwa kiwango kikubwa cha hormone ya oestrogen mwilini. Hii ina madhara kwa jinsia zote, lakini kwa wanaume husababisha kujitokeza kwa tabia za kike (feminization), kama vile sauti kuwa nyororo na kuota matiti (sio lazima iwe kabisa kama mwanamke).
Feminization huambatana na kupungua kwa nguvu za kiume kwa kiasi kikubwa, ambapo mwanaume anakosa au inapungua hamu ya mapenzi kwa wanawake, u.ume kuwa mdogo, na kushindwa kuhimili u.ume kusimama kwa muda mrefu.
Kwa bahati mbaya, sumu hii pia imeonekana kuwepo katika bia nyingi kutokana na maandalizi mabovu na ya haraka ya bia, mfano katika utafiti huu (estimation of the fungal toxins, zearalenone and aflatoxin, contaminating opaque maize beer in zambia - lovelace - 2006 - journal of the science of food and agriculture - wiley online library).
Upo uwezekano mkubwa kuwa bia nyingi za tanzania, hasa zile zinazonywewa sana zikawa na sumu hizi, kutokana na demand kuwa inayofanya viwanda wazalishe haraka haraka, bila kuzingatia viwango.
Usishangae kuwa tatizo la nguvu za 'wababa' linaloendelea kukua kila uchao katika jamii ya watu (hasa wa mijini), linatokana na mabia wanayobwia. Pia siku hizi kuna tabia ya wanaume kunenepanenepa kihasara hasara, kuwa na ngozi nyororo sana, na kuota vijimatiti. Tuwe makini jamini...
acha u**nge sa mhasibu anajua nn kuhusu taaluma ya madktali ,irrelevent referenceNimeambiwa na mhasibu kuwa bia inayopunguza nguvu za kiume ni safari.
itafika siku bila kunywa hiyo uume hausimami, kwahiyo kila utakapotaka kufanya lazima uitafute halafu itafika siku hata hiyo haitasaidia, utahamia kingine kikubwa mpaka utakapokuwa usingizimuda wote. nenda hivyo hivyo mkavumkavu utazoea tuDuh! mimi nikinywa hiyo ndo mwendo mdundo