KELVIN GASPER
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 1,066
- 454
Jumapili wauzaji wa jumla waligoma kuuza kwa wenye bar. jana jtatu tunauziwa bia moja kwa tsh 1,800.
Uwe unasoma magazeti.. TBL wametoa matangazo kuhusu upandishwaji wa bei sijajua kuhusu SBL..sasa Tanesco wamepandisha gharama za umeme what do u expect? tarajia hali ngumu ya uchumi zaidi ya mwaka jana..
Uwe unasoma magazeti.. TBL wametoa matangazo kuhusu upandishwaji wa bei sijajua kuhusu SBL..sasa Tanesco wamepandisha gharama za umeme what do u expect? tarajia hali ngumu ya uchumi zaidi ya mwaka jana..