Mh.. Cijaicikia hii Wakuu.. Kwa anaejua naomba anijuze kilitokea nini kati ya huyo dc na mwanasheria huyo mwanasheria wa Halmashauri..
Hii kesi itakuwa ni DEFAMATION CASE na kesi za aina hii zinatakiwa zifunguliwe MAHAKAMA KUU TU na si MAHAKAMA ZA CHINI YA HAPO.
sisi hapa kwetu ofisi za mkuu wa wilaya, mkurugenzi na hata mwenyekiti wa halmashauri zote ziko kwenye majengo ya bomani.He! Utumishi wa umma na matusi wapi na wapi?! Kwani hakuna taratibu na namna ya kumshughulikia Afisa wa serikali aliyeshindwa kutimiza wajibu wapi mpaka umtukane?. Anyway huenda hilo halikuwemo kwenye semina elekezi.
Ahsante sana Mkuu..
Ati nini?!!!!!KOMBAJR usinichekeshe! 96 mil zinapatikana kilaini sana kwa Gambo kwani ni mfuasi wa David cameroon huyo, tumpr pole tu jinsi atakavyolipa, Cameroon akiwa busy kuna waarabu anawafaham huyo
Wanasheria tusaidieni hapa. Huyu Bibi Sheria anazijua sheria? Hii Kesi itakuwa ya Madai au "Defamation"?