Bi kidude in uk

Status
Not open for further replies.

SIMBA DUME

Member
Jul 6, 2008
30
0
Bi Kidude alikwenda UK kufanya show ya muziki, wenyeji wake wakampangia hoteli ya fahari ya kitalii kuchungulia chini kupitia dirishani akaona watoto waki zungu wakiogelia kenye swimming pool akavaa swim suit yake nakuingia kwenye maji bila ya wale watoto kujua alipotoka kwenye maji watoto wakapiga kelele na kulia na kuita daddy there is a crocodile in the pool
 
Last edited by a moderator:
Bi Kidude alikwenda UK kufanya show ya muziki, wenyeji wake wakampangia hoteli ya fahari ya kitalii kuchungulia chini kupitia dirishani akaona watoto waki zungu wakiogelia kenye swimming pool akavaa swim suit yake nakuingia kwenye maji bila ya wale watoto kujua alipotoka kwenye maji watoto wakapiga kelele na kulia na kuita daddy there is a crocodile in the pool

hujafa hujaumbika mweee..... na usidharau wakunga na uzazi ungalipo!
 
Bi Kidude alikwenda UK kufanya show ya muziki, wenyeji wake wakampangia hoteli ya fahari ya kitalii kuchungulia chini kupitia dirishani akaona watoto waki zungu wakiogelia kenye swimming pool akavaa swim suit yake nakuingia kwenye maji bila ya wale watoto kujua alipotoka kwenye maji watoto wakapiga kelele na kulia na kuita daddy there is a crocodile in the pool

Get a life! If you think that's funny, it's not. Bi Kidude is old, there's nothing wrong with that, it's natural. You are an old man in waiting as well so grow up!
 
Bi Kidude alikwenda UK kufanya show ya muziki, wenyeji wake wakampangia hoteli ya fahari ya kitalii kuchungulia chini kupitia dirishani akaona watoto waki zungu wakiogelia kenye swimming pool akavaa swim suit yake nakuingia kwenye maji bila ya wale watoto kujua alipotoka kwenye maji watoto wakapiga kelele na kulia na kuita daddy there is a crocodile in the pool

Man you could be sued for this utterly nonsensical 'story' .. Do you have any idea of the trait called RESPECT or DIGNITY ?
 
Bi Kidude alikwenda UK kufanya show ya muziki, wenyeji wake wakampangia hoteli ya fahari ya kitalii kuchungulia chini kupitia dirishani akaona watoto waki zungu wakiogelia kenye swimming pool akavaa swim suit yake nakuingia kwenye maji bila ya wale watoto kujua alipotoka kwenye maji watoto wakapiga kelele na kulia na kuita daddy there is a crocodile in the pool

Mkuu Simba, tunaomba chanzo.

Muombe Mola hata uishi 3/4 ya umri wake
 
where on earth do people like Simba Dume come from? mfungieni huyu mtu, u just can't say this to that old woman man
 
Bi Kidude alikwenda UK kufanya show ya muziki, wenyeji wake wakampangia hoteli ya fahari ya kitalii kuchungulia chini kupitia dirishani akaona watoto waki zungu wakiogelia kenye swimming pool akavaa swim suit yake nakuingia kwenye maji bila ya wale watoto kujua alipotoka kwenye maji watoto wakapiga kelele na kulia na kuita daddy there is a crocodile in the pool


Huna adabu na maadili wewe Simba Dume. Nick name yako inafanana na ulivyo. How can you dare to write such mbofu ya Bi Kidude badala ya kumuenzi kwa umri alionao na nguvu za kuendele sanaa Tanzania?? Shame on you!!!! Tena kamtafute umwombe Bi Kidude msamaha. Nyie ndo wale mnaichafua JF kwa miposting isiyofaa. Hapa tunazungumzia issue critical kwa jamii. We are the mirrow to the society.

Bi Kidude ni mojawapo ya wasanii wanaotakiwa kuenziwa wakiwa hai na wafu???

Ushauri wa bure!!! Kama member anataka ku post please tafuta issue za maana. Iga mifano kwa wenzio hapa. Ni vema uwe unabaki kuwa mchangiaji kama wengine kama huna posting ya maana. Mfano mimi nimekuwa mchangiaji mzuri tu na wala sijawahi kutuma thread yoyote i.e kuwa originator na members are happy na thanks kibao??? Uwe na busara. Hujui yule ni kama bibi au nyanya yako?
 
Bi Kidude alikwenda UK kufanya show ya muziki, wenyeji wake wakampangia hoteli ya fahari ya kitalii kuchungulia chini kupitia dirishani akaona watoto waki zungu wakiogelia kenye swimming pool akavaa swim suit yake nakuingia kwenye maji bila ya wale watoto kujua alipotoka kwenye maji watoto wakapiga kelele na kulia na kuita daddy there is a crocodile in the pool
..Mods any comment??? You better remove this..
 
Aalamu alaykum.

Kwa sisi waislamu tunapoona kitu au neno kama hilo lisilostahiki huwa tunasema "Astaghafiru llah" Yaani kumtaka msamaha Mwenyeenzi Mungu kwa hakika huyu ndugu yetu amekosea sana na tunamnasihi aache mara moja tabia kama hii ya dharau dhidi ya kiumbe cha Mwenyeenzi Mungu inawezekana amezungumza kwa kukosea lakini kutokana na mila na desturi zetu watanzania ambao huwa tunasifikana kwa tabia na adabu nzuri katika jamii nyingi basi tunakuomba usirejeee tena ndugu.

Kila binaadamu anapozaliwa kama hajafa basi huwa hajaumbika kama alivyosema mjumbe mmoja humu kama hujafa hujaumbika hivyo ni vyema tukajiweka sawa kwani hata kama ni mzuri kiasi gani Mwenyeenzi Mungu kukuondoshea uzuri wako ni kitu cha mara moja tu anaweza haraka sana mfano ukapata ajali ukakatika mguu, mkono au uso wako ukaharibika au unaweza ukamwagiwa acid ya uso ukalazimika kutolewa jicho moja na kutiwa la bandia pia unaweza ukapata cancer ya mwili na pengine ya uso pua ukaaa upande au kupata ugonjwa wa kiharusi mdogo wako ukakaa upande na mguu ukawa unachechemea, sasa kutokana na hayo nadhani tujifunze adabu nzuri na heshima za kuzungumza kama walivyosema wenzangu waliotangulia awali.

Nakunasihi kuzungumza issue zenye manufaa na jamii yetu na sio kuandika mambo ambayo hayawezi kutusaidia katika duani hii wala huko twendako.
thanks
 
Bi Kidude alikwenda UK kufanya show ya muziki, wenyeji wake wakampangia hoteli ya fahari ya kitalii kuchungulia chini kupitia dirishani akaona watoto waki zungu wakiogelia kenye swimming pool akavaa swim suit yake nakuingia kwenye maji bila ya wale watoto kujua alipotoka kwenye maji watoto wakapiga kelele na kulia na kuita daddy there is a crocodile in the pool


According to the law of torts,Tutakufunga wewe.
 
Bi Kidude alikwenda UK kufanya show ya muziki, wenyeji wake wakampangia hoteli ya fahari ya kitalii kuchungulia chini kupitia dirishani akaona watoto waki zungu wakiogelia kenye swimming pool akavaa swim suit yake nakuingia kwenye maji bila ya wale watoto kujua alipotoka kwenye maji watoto wakapiga kelele na kulia na kuita daddy there is a crocodile in the pool

Hakika hii ni dhambi kubwa sana ya kumfananisha binadamu mwenzako na mnyama wa porini BASI UNA HERI WEWE MWENYE UZURI WA MALAIKA, LAKINI KUMBUKA MUNGU BADO ANAENDELEA NA UUMBAJI, USISHANGAE UKAUMBWA UPYA, ustarabu ni jambo pekee ambalo litatufanya tukuone ni muungwana. Bi Kidude ni mama wa heshima sana anayeheshimika duniani kote. Hajawahi kudharau mtu ametumia kipaji chake kuielimisha jamii ikiwa ni pamoja na kuifurahisha jamii. Maskini leo bila hatia anafananishwa na mamba. Simba Dume andika maneno haya "SAMAHANI WANA JF KWA KUMTUSI BI KIDUDE"
 
Last edited:
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom