Bi Kidude Enzi Zake alivyokuwa kijana na sasa jinsi alivyo

Lakini wapi Mshumaa uliozima kwenye giza totoro ahhh Mungu amlaze Pema Peponi bi Kidude Amina..............

[h=2]Msiba wa Bi KIDUDE.......PICHA[/h]
58178_358354244264206_1631485993_n.jpg



163531_358354230930874_1492527012_n.jpg


64111_358354267597537_139400588_n.jpg


602165_358355284264102_1662951242_n.jpg




 
Huyu mwanamke alikuwa na sio wa kawaida!...inaonekana aliula ujana wake vizuri, lkn pia akaufaidi uzee fresh tu!! bia fegi...ujanai hadi uzeeni! RIP Kidude!
 
kufikia umri wa uzee sio swala la bahati hata kidogo, if other factor remain constant assume no accident ina tegemea umejiandaaje je ume utumiaje muda wako hapa duniani umejitunza, umewaheshimu wengini, na wazazi, kwa hao walio tajwa hapo juu wakifanya hivi vitu au kama wanaya timiza haya yote wata fikia umri wa uzee
 
13 Reactions
Reply
Back
Top Bottom