Bi Hellen, tunataka taarifa iliyokwenda The Hague si maneno matupu

Nmesoma maelezo marefu ya mwanasheria alebobea wa international criminal law na mtihani alompa ndg deus malya.lakin badala ya kupima uwezo wa watu humu jf yeye bila kumumunya maneno atuambie kama polisi wa nchi hii wapo sahihi kuua raia wasio na silaha?
Hili litaondoa concentration ya watu wanaoumizwa na mauaji haya kusoma post za watu kama huyu mwanasheria asiyeguswa na mauaji haya

Mkuu inanitia shaka kubwa kuamini mtu anayejiita Mtaalam wa sheria kuliweka jeshi la polisi kwenye greenline juu ya mauaji yanayoendelea.. Ni aibu na huzuni kwa haki za binaadamu kama bado kuna msomi wa Sheria mwenye mrengo/mawazo ya aina hiyo!..
 
Mwehu, hata kichwa akivaa chupi ya mkewe atalazimisha kuiita kofia........
akili ya kutojua kuwa the netherlands ni uholanzi, ni sawa na ya kozman....tatizo watu kama wewe mlizoea ku copy na kupaste mlivyokuwa shule, hadi leo haujui kama the netherlands ni uholanzi....pole sana bata.
 
Hivi mnadhani ICC ni zile vurugu za simba na yanga anayeongea sana kuwa yeye anajua historia ya club sana ndie mkweli na mshindi?Majibu yako yapo too shallow na yamejaa kejeli.Deus yupo very clear na honest ktk hili ila wewe huna tofauti sana na siku nyingine ukiwa bored, unajivuta vuta hadi katika fikra.Sijui utaamka lini.

Hili suala la usitawi wa nchi na maendeleo ya jamii?Labda ni kuulize nani alishitaki wakenya?Hata judge wa mahakama akiona kuna haja anaweza lianzisha(Ocampo alikuwa maarufu kwa hilo).Sasa kuvuta attention za hao jamaa na kujenga support kuna hitaji njia nyingi sana.Na jinsi unavyoweza lobby ndivyo hata mataifa kama China yatakavyobanwa kuweka vipingamizi vya kijinga kwa nchi zinazoongwa vibaya kama zetu.
akili yako yooote ya kufikiri ndio imeishia hapo, huwezi kufikiri zaidi ya hapo. this clearly displays what you are!...napenda kukufahamisha kuwa, ocampo hakuwa judge wa icc, alikuwa prosecutor, au kwa jina lingine ni mwendesha mashitaka tu. na katika icc anayetakiwa kufungua shauri, si judge au bi helen kijo bisimba, ni prosecutor tu ndio anaweza kufungua shauri hasa la uchunguzi na kulipeleka pre-trial chambers palepale icc majaji sasa independently, watathmini kulinganan a sheria ya icc kama mashitaka hayo aliyofungua prosecutor (sio judge), ni admissible katika mahakama hiyo au la kulingana na vigezo vilivyowekwa na icc kwa yepi makosa yanaweza kuendeshwa pale na yepi hayawezi kuendeshwa, na whether national courts have exercised duty yao ya principle of complimentarity au la (kutumia mahakama za hapahapa), au kama mahakama za hapa zimeshashughulikia au la na kama kushughulikiwa huko kulifanyika impartially au la...yoote haya yanaweza yakachukua si chini ya mwaka mmoja...icc ikiona kuna sababu za msingi kwa shauri lile kufunguliwa pale na national courts hazijafanya hivyo ndio inakuja, huwa haiji moja kwa moja hivi. na icc haijakuwepo ili kureplace national courts, only where national courts have failed, are unable, unwilling etc to prosecute the perpetrator ndio icc inaingilia. pia si kila kesi icc inaipokea, hasahasa hii unayopiga domo.

sasa kwa akili zako zoote za kufikiri, umeishia kusema kuwa Deus F Mallya amekuwa clear....haujaangalia kabisa post zangu zoote, post zilizo nyingi nimekuwa nikiongea kwa mifano na kwa vifungu vya sheria, Deus hajaweka hata sheria moja, kwasababu hajui hata icc ni nini....anajua tu chadema. so, nakushauri, acha kuchangia post hii mara moja....labda kama wewe ni Deus wa ID nyingine sasa unajisupport mwenyewe ili uonekana umeongea kitu, hujaongea kitu aisee, utumbo mtupu.
 
Nmesoma maelezo marefu ya mwanasheria alebobea wa international criminal law na mtihani alompa ndg deus malya.lakin badala ya kupima uwezo wa watu humu jf yeye bila kumumunya maneno atuambie kama polisi wa nchi hii wapo sahihi kuua raia wasio na silaha?
Hili litaondoa concentration ya watu wanaoumizwa na mauaji haya kusoma post za watu kama huyu mwanasheria asiyeguswa na mauaji haya
nashukuru umeuona mtihani niliompa Deus F Mallya....ni wazi kwa kila mtu hapa kwamba ameshindwa kujibu mtihani ule na imeonyesha kwake kuwa, ni mbumbumbu kabisa wa sheria za jinai za kimataifa, na anajadili kitu bila kujua kabisa. pia inaonyesha kwa wana jf wengi tu humu ambao wanajadili topic hii kumbe hata hawajui hasa nini kinatakiwa au kinatakiwa kufanyika, nani anatakiwa afanye na ni namna gani mahakama ya icc inaendeshwa. it is unfortunate kusema kuwa, katika thread nyingi humu ndani watu wanajadili kwakutumia hisia, na si uhalisia.

nitajaribu kukujibu. polisi wa nchi hii hawapo sahihi kabisa kuua raia wasio na silaha, ndio maana tunasema lazima wakamatwe. raia wangekuwa na silaha, basi hata principle of excessive use of force. kama raia hana silaha au hatumii silaha, polisi hawatakiwi kabisa na hawajatumwa na selikali wakatumie nguvu iliyozidi kiwango. neno nguvu iliyozidi kiwango ni kwamba, mfano mtu akija na panga, tumia nguvu inayolingana na panga alonalo, akija na bunduki na wewe kama unayo bunduki tumia, akija na kisu, tumia kitu....tatizo linakuja hapa....mtu amekuja na mawe, wewe ukitumia bunduki kisheria ukiua itakuwa murder. au akuja na panga, wewe una bunduki ukampiga kwenye moyo iyo imezidi basi kama uliona panga lingekuzidi ungepiga hata mguuni ili ashindwe kukusogelea na kukukata na panga. etc. HAPA POLISI WALITUMIA EXCESSIVE FORCE NDIO MAANA TUNASEMA HAO POLISI LAZIMA WAKAMATWE. tukija kwenye suala la marehemu au mauaji...unasema kuwa mimi nashabikia au nafurahia mauaji. nakuona wewe ni walewale wanaofikiri kwa kutumia alivyosema masaburi...wengi humu mnataka tu kuamini kile mnachopenda kuamini hata kama ni wrong. hatufurahii mauaji, hata mungu mwenyewe huwa hafurahii mauaji...ila tulichokuwa tunajadili hapa ni kwamba kwa kosa hili hatuwezi kufanikiwa kuwafikisha polisi na makomanda wao icc, ila tunaweza kuwafikisha hapahapa bongo. vigezo havipo hapo, kwanza hatujaona kama tz imeshindwa kupeleka mahakamani, au haijaamua, etc kuna vigezo vingi nitajaza hapa....usijadili kwa hisia, tumia akili kichwani kujadili, lakini hata hivyo kama uwezo wako kufikiri ndio umeishia hapa, sikulaumu tutakuvumilia tu na tutaenda na wewe polepole hadi utafika kipindi utakuwa unaelewa kinachoongelea.
 
akili yako yooote ya kufikiri ndio imeishia hapo, huwezi kufikiri zaidi ya hapo. this clearly displays what you are!...napenda kukufahamisha kuwa, ocampo hakuwa judge wa icc, alikuwa prosecutor, au kwa jina lingine ni mwendesha mashitaka tu. na katika icc anayetakiwa kufungua shauri, si judge au bi helen kijo bisimba, ni prosecutor tu ndio anaweza kufungua shauri hasa la uchunguzi na kulipeleka pre-trial chambers palepale icc majaji sasa independently, watathmini kulinganan a sheria ya icc kama mashitaka hayo aliyofungua prosecutor (sio judge), ni admissible katika mahakama hiyo au la kulingana na vigezo vilivyowekwa na icc kwa yepi makosa yanaweza kuendeshwa pale na yepi hayawezi kuendeshwa, na whether national courts have exercised duty yao ya principle of complimentarity au la (kutumia mahakama za hapahapa), au kama mahakama za hapa zimeshashughulikia au la na kama kushughulikiwa huko kulifanyika impartially au la...yoote haya yanaweza yakachukua si chini ya mwaka mmoja...icc ikiona kuna sababu za msingi kwa shauri lile kufunguliwa pale na national courts hazijafanya hivyo ndio inakuja, huwa haiji moja kwa moja hivi. na icc haijakuwepo ili kureplace national courts, only where national courts have failed, are unable, unwilling etc to prosecute the perpetrator ndio icc inaingilia. pia si kila kesi icc inaipokea, hasahasa hii unayopiga domo.

sasa kwa akili zako zoote za kufikiri, umeishia kusema kuwa Deus F Mallya amekuwa clear....haujaangalia kabisa post zangu zoote, post zilizo nyingi nimekuwa nikiongea kwa mifano na kwa vifungu vya sheria, Deus hajaweka hata sheria moja, kwasababu hajui hata icc ni nini....anajua tu chadema. so, nakushauri, acha kuchangia post hii mara moja....labda kama wewe ni Deus wa ID nyingine sasa unajisupport mwenyewe ili uonekana umeongea kitu, hujaongea kitu aisee, utumbo mtupu.

Ni mara chache sana huwa nakubali kuingia kwenye ubishi wa kijinga kama huu!. Unapoamua kujitutumua na kudhani kuwa una eulewa na akili nyingi kuliko wote ndipo kunakokuonyesha ni kwa jinsi gani ulivyo 'mweupe'. Unaamua kwa maksudi kukashifu na kudharau ili uelewe kinachoendelea na Mikakati ya Wanaharakati. Kwa njia hiyo hutaelewa chochote hadi siku unasikia wamefanikiwa azma yao njema kwa maslahi ya Haki za binaadam. Unadhani kutaja vifungu vya sheria ndo ushindi wa kesi au kuonyesha kuwa unajua kuliko wengine!.. Sited Cases nyingi haziwezi kupindua ukweli!.. Stay tuned!.
 
nashukuru umeuona mtihani niliompa Deus F Mallya....ni wazi kwa kila mtu hapa kwamba ameshindwa kujibu mtihani ule na imeonyesha kwake kuwa, ni mbumbumbu kabisa wa sheria za jinai za kimataifa, na anajadili kitu bila kujua kabisa. pia inaonyesha kwa wana jf wengi tu humu ambao wanajadili topic hii kumbe hata hawajui hasa nini kinatakiwa au kinatakiwa kufanyika, nani anatakiwa afanye na ni namna gani mahakama ya icc inaendeshwa. it is unfortunate kusema kuwa, katika thread nyingi humu ndani watu wanajadili kwakutumia hisia, na si uhalisia.

nitajaribu kukujibu. polisi wa nchi hii hawapo sahihi kabisa kuua raia wasio na silaha, ndio maana tunasema lazima wakamatwe. raia wangekuwa na silaha, basi hata principle of excessive use of force. kama raia hana silaha au hatumii silaha, polisi hawatakiwi kabisa na hawajatumwa na selikali wakatumie nguvu iliyozidi kiwango. neno nguvu iliyozidi kiwango ni kwamba, mfano mtu akija na panga, tumia nguvu inayolingana na panga alonalo, akija na bunduki na wewe kama unayo bunduki tumia, akija na kisu, tumia kitu....tatizo linakuja hapa....mtu amekuja na mawe, wewe ukitumia bunduki kisheria ukiua itakuwa murder. au akuja na panga, wewe una bunduki ukampiga kwenye moyo iyo imezidi basi kama uliona panga lingekuzidi ungepiga hata mguuni ili ashindwe kukusogelea na kukukata na panga. etc. HAPA POLISI WALITUMIA EXCESSIVE FORCE NDIO MAANA TUNASEMA HAO POLISI LAZIMA WAKAMATWE. tukija kwenye suala la marehemu au mauaji...unasema kuwa mimi nashabikia au nafurahia mauaji. nakuona wewe ni walewale wanaofikiri kwa kutumia alivyosema masaburi...wengi humu mnataka tu kuamini kile mnachopenda kuamini hata kama ni wrong. hatufurahii mauaji, hata mungu mwenyewe huwa hafurahii mauaji...ila tulichokuwa tunajadili hapa ni kwamba kwa kosa hili hatuwezi kufanikiwa kuwafikisha polisi na makomanda wao icc, ila tunaweza kuwafikisha hapahapa bongo. vigezo havipo hapo, kwanza hatujaona kama tz imeshindwa kupeleka mahakamani, au haijaamua, etc kuna vigezo vingi nitajaza hapa....usijadili kwa hisia, tumia akili kichwani kujadili, lakini hata hivyo kama uwezo wako kufikiri ndio umeishia hapa, sikulaumu tutakuvumilia tu na tutaenda na wewe polepole hadi utafika kipindi utakuwa unaelewa kinachoongelea.

Napata shida sana kuelewa wasi wasi wako uko wapi!... Wewe kaa relax wala hujaambiwa usaidie chochote kufanikisha mkakati wa kwenda The Hague. Kwani ukikaa kimya na kusubiri itakuwaje? Ndiyo; wewe kaa subiri watu wafanye kazi. Sijui unatokwa na mapovu bure kwa interest gani.
 
Mkuu naona kwa furaha ya jeshi la polisi kushitakiwa huko The Hague, umefurahi hadi ukaandika iko Uswisi kule kulikofichwa mabilioni yetu. The Hague iko Netherland / Holland / Uholanzi/ Nederland. Majina yote haya ni ya nchi moja. Iko katika jimbo la kusini liitwalo South Holland. Wenyewe wanaiita Den Haag (The Hague).

Hata hivyo nimeipenda hiyo.
 
Mkuu inanitia shaka kubwa kuamini mtu anayejiita Mtaalam wa sheria kuliweka jeshi la polisi kwenye greenline juu ya mauaji yanayoendelea.. Ni aibu na huzuni kwa haki za binaadamu kama bado kuna msomi wa Sheria mwenye mrengo/mawazo ya aina hiyo!..
Deus F Mallya, kama kweli wewe ni deus, nilisikia hapa jf kuwa unataka kugombea ubunge, kusema ukweli toka moyoni, MIMI NISA INTEREST NA UBUNGE AU CHOCHOTE, LAKINI KWA AKILI YA KWAKO KAMA HII, UKIENDA BUNGENI UTAJAZA POINT UTUMBO PALE BUNGENI NA HAUTAKUWA NA MSAADA WOWOTE KWENYE JIMBO LAKO. KWA AKILI HII UWE MBUNGE, MWANANCHI WAKO ATAKUWAJE SASA? ni kitu gani kinachoshindikana kueleweka hapo jamani tuseme tu ukweli....hakuna mtu aliyeliweka jeshi la polisi kwenye greenline....uwezo huo hatuna kama sheria imewakamata. tunachosema ni kwamba, kwa jinsi sheria ilivyo, hata kama sisi tunapenda polisi hao wapelekwe icc, haitawezekana. labda kama unajibu hoja hapa bila kusoma vizuri mambo niliyoongea. uzuri ni kwamba, sheria huwa iko straight, laiti kama ungekuwa na uelewa au hata msingi wa sheria wa certificate tu hata ya chuo cha mtaani, pengine ungekuwa umefunguka macho kidogo na si hivyo.

nitasema na tena nitarudia. SISI SOTE TUMECHUKIZWA NA KIFO CHA MWANGOSI, na tungependa kama wauaji waende the icc. lakini bahati mbaya kulingana na sheria inayoongoza icc ilivyo, haitawezekana kwa kifo kama hicho kupeleka icc, vigezo havijatimia. sio kila murder ikitokea tu basi tunapeleka icc. icc ingekuwa na kesi milioni hata mia moja kwasababu hata sasaivi tunapoongea kuna mauaji yanafanywa na selikali/watu mbalimbali duniani. sasa, ICC ILICHOFANYA, IMECHAGUA MAKOSA MACHACHE TU YA KUSHUGHULIKIA, makosa mengine hata kama yangeshughulikiwa na icc, yameachiwa yashughulikiwe na mahakama za nchi husika ili kupunguza mzigo. kuna makosa manne tu ambayo icc inaweza kushughulikia, matatu yake ndani yake kuna murder pamoja na mambo mengine,...lakini kuna vigezo katika kila kosa lilotajwa, kitu kinachofanya kila murder isiwe automatically kupelekwa pale. lazima ifikie ingredients za kosa husika. soma kuanzia article 6 hadi 8 ya icc statute utaelewa.

ukisoma article 6,7,8, utaona kwenye genocide, ingredient zake ni kwamba, pamoja na kwamba kuna murder, lazima malice aforethought yake iwe ni destruction/termination, not of everybody, but of a specific group of people. mfano nia ya kutekezeza watusi tu na si makabila mengine ili kuyapoteza/kuyafuta kabisa yasiwepo eneo hilo. kukiwa na ingredient kama hiyo kwenye objective part of the offence, basi kwenye subjective part kunaweza kuwepo na murder, rape, kuwafukuzia watu jangwani, kuhamisha watoto kupeleka nchi nyingie etc. na, kama ingredient hiyo ipo, haijalishi ni watu wangapi wamekufa, mtu mmoja tu anaweza kufanya kosa liwepo kama kweli intention/mens rea ilikuwa ndio hiyo vichwani mwa wauaji.

ukija kwenye crimes against humanity, pamoja na kwamba kuna murder ndani yake, torture, rape, apartheid, etc, ingredient ambayo lazima iwepo, ni kwamba, lazima iwe ilikuwa part of "widespread or systematic attack against civilian population: kama kichwani wao, something which is as a matter of fact ...yaani kulingana na mazingira halisi ya tukio lilivyotokea....kama kuna murder, rape, torture or whatever lakini haikuwa part of a widespread or systematic attack against civilian population, basi hiyo sio. vilevile, hii widespread inatakiwa kueleweka kuwa ni mauaji ya halaiki, si ya mtu mmoja, na systematic attack inatakiwa kueleweka kuwa ni mauaji yaliyokuwa yamepangiliwa systematically....yaani polisi walivyotoka kituoni walishapangiwa nini cha kufanya wakifika pale...sasa jaribu kuprove kama kule nyororo polisi kabla hawajatoka kituoni walikuwa wamepanga au wameagiwa wakaue wau? au mauaji ya pale yalitokea tu palepale bila prio arrangement.....i hope you understand.

kosa la tatu ni war crime ambalo ni makosa ya kuvunja Geneva conventions za mwaka 1949...na ni yale tu yanayotokea kwenye maeneo ya vita, sio kwenye amani kama hapa. kosa la nne ni crime of aggression ambalo halijaanza kufanya kazi bado, lilikuja kujadiliwa mwaka jana kule kampala, wakaahirisha kwamba lijadiliwe tena mwaka 2017 ndo liruhusiwe. hili ni kosa la nchi kuvamia nchi zingine, yule kiongozi amiri jeshi mkuu aliyeamuru atafunguliwa mashitaka personally pale icc kama inaonyesha kuwa hakukuwa na sababu ya kufanya hivyo....mfano ni uvamizi wa iraq, Bush na Ramsfed wangefunguliwa mashitaka kama kifungu kile kingekuwa kimeanza kufanya kazi kwasababu imeshadhihirika hakukuwa na sababu yeyote ya msingi kuivamia iraq. and the prosecutor ndiye anayefungua kesi, either yeye mwenyewe akiona kuna umuhimu, au awe referred na security council au labda state party (nchi, sio individual person) walete kesi pale kwake na yeye aanzishe uchunguzi etc.

kulingana na haya yaliyotokea kwa mwangosi, na kulingana na maelezo hayo, naomba uniambie kati ya makosa haya matatu Fatou (prosecutor wa icc), atawafungulia polisi makosa gani...na je, principle of complimentarity imeshafanya kazi yake? angalia article 17 of the icc statute....
 
Napata shida sana kuelewa wasi wasi wako uko wapi!... Wewe kaa relax wala hujaambiwa usaidie chochote kufanikisha mkakati wa kwenda The Hague. Kwani ukikaa kimya na kusubiri itakuwaje? Ndiyo; wewe kaa subiri watu wafanye kazi. Sijui unatokwa na mapovu bure kwa interest gani.
Deus F Mallya, jaribu kufikiri hadi mwisho wa akili yako yote, halafu eleza, ni kwa namna gani mnataka kwenda the hague....tafadhali eleza ili ueleweke....
 
KOVU LA UKATILI WA JESHI LA POLISI DHIDI YA RAIA NCHINI:
WATANZANIA TUNAJIBU GANI KWA 'MACHOZI YA LAANA NA KILIO CHA HAKI YA MWANAMAMA WINFRIDA JOHN' WA KIJIJI CHA NYOLOLO MKOANI IRINGA ???


Kamanda Winfrida John, kada wa CHADEMA kijiji cha Nyololo, bila shaka wewe ni mwana mama mtu mdogo tu hapo kijijini Nyololo ambaye pengine hata mbunge wa eneo hilo huenda asikufahamu kitu achilia mbali wakuu wa wilaya na mkoa huko Mufindi na Iringa kwa mpangilio huo, ila kwa wachache sana tena wenye jicho la mwewe angani huenda lako hili la kipekee mno likawa limewagusa nao pia.

Naam, kabla sijaandika mengi juu yako na kile kilichonigusa mno kwako kwanza niombe kwamba tafadhali Mama Winfrida futa machozi yako, yale ya akinamama wengine wengi zaidi hapo Nyololo na kwamba katu usiendelee kutuhuzunisha zaidi sisi WaTanzania wenzako kwa uchungu wote huo; machozi yako hadharani ya KULILIA HAKI na kutuhoji sote kama taifa tukupe jibu UHURU WAKO WA MAONI, NA KUJUMUIKA ulikopotelea;

Ni kweli kwamba siku hiyo 'SIMBA MLA WANYONGE WANAAOLILIA HAAKI' alipomnyakua makuchani Mtanzania wa 22 (Daudi Mwangosi) afiaye mikononi mwa dola kwa visingizio mbalimbali za kisiasa tangu mwaka huu, bila shaka watu wengi tu hapo Nyololo, Itete na hata vijiji vingine vya mbali sana nao walilia ila wewe hapo chozi laako linageuka kuwa chozi la dhahabu si kwa kuwa tu ulikua kwenye eneo la tukio baali zaidi ni kwamba ni mmoja kati ya wenyeji waliotembelewa naa CHAADEMA kwa shughuli ya ufunguzi wa ofisi mahali haapo.

Hakika ni kutokana na udhahabu huo wa chozi lako tena ukiwaa ni mwanamama tu mnaohitajika kuimarishwa zaidi kushiriki katika siasa na uongozi wa taifa, inanifanya nisiamini tu kwamba hivi karibuni huenda ukawa ni mtu wa kutafutwa sana japo sauti na vyombo vingi vya nyumbani hapa na vile vya kimataifa kama vile BBC, VoA, Deuche Welle ...

... bali zaidi najikutaa pia nikiwa sina wasi wasi kwamba Mama Hellen Kijo Bisimba naye amekusikia popote alipo, naamini kwamba msururu wako wa maswali ya msingi sana uliyoyauliza siku hii hata Jaji Mkuu Mstaafu Augustino Ramadhani umemuacha hana amani moyoni;

Ndio, kwa mtaji w kilio chako kikiwakilicha KILIO CHA HAKI kwetu sisi WaTanzania kwa ujumla wetu bila shaka ni wazi kwamba tayari umetuma ujumbe mzito kiasi cha kuwalazimisha hata magwiji wa habari nchiki akina Mzee Jenerali Ulimwengu, Fred Masako, Mzee Mwanakijiji, pamoja na Pasco wa JF.

Nasema kwa kilio cha mwanamama 'kiumbe dhaifu' katika jamii yetu hii inayoendekeza ufalme wa akina-baba tu kwamba vile vile utakua umewakuna akina Mama Nkya, Ayub Ryoba, Muhingo Rweyemamu pamoja na wengine kibao, waondoke kwenye viyoyozi maofisini na kuanza kupiga kiguu na njia wao wenyewe bila kumuagiza mwandishi yeyote wa chini, kwenda kukutafutia majibu sahihi na murua zaidi kiasi cha kuweza kukufuta machozi wewe na vizazi vijavyo;

Mama Winifrida, kwa kilio hiki hapo kijijini Nyololo ni wazi kwamba tayari umewakilisha sauti dhaifu za akina mama wote na watoto Tanzania ambao kweli
siku Daudi Mwangosi alipogeuka RUNDO LA NYAMA hapo kijijini kwenu(kwa hisani ya maagizo ya serikali ya CCM) - wenzetu mmeonekana kuteseka mno kukimbia ovyo na vichanga kuokoa maisha huku mkidhalilishwa na mgeni wenu CHADEMA ambaye ndiye kwanza mlikua mnamkaribisha rasmi hapo kijijini kwenu kwa kumpa eneo akafungulie ofisi yake (kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi) lakini ukarimu wenu wote ukahitimishwa na kilio cha historia yote Nyololo kugeuka ghafla kuwa uwanja wa mauji kama Syria.

Naam, nielewavyo mimi ni kwamba mama yetu Winfrida, hadi hapo ni kwamba tayari umewaamrisha wanaharakati kama Kijana mwenzetu Kibodya, Tundu Lissu, Deus Mallya, Prof Shivji, John Tendwa, pamoja na Mhe Augustino Mrema.

Wengine zaidi ambao wapende wasipende machozi yako ya haki bila shaka yako mabegani mwao ni pamoja na Prof Palamagamba Kabudi, Madam Spika wa Bunge la Jamhuri la Muungano wa Tanzania, Mama Makinda, Prof Safari, Prof Maina, Prof Baregu, Dr Kitila Mkumbo, Dr Azaveli.

Ndio, nasema hawa waheshimiwa wote wanao wajibu kwako usiokwepeka kutoa jawabu kamili tena lisilocha maswali, kila mmoja kwa wakati wake, wakwambie kwamba kwenye katiba mpya wao wanategemea kuona Jeshi la Polisi la aina gani ili Winfrida John wa miaka hiyo ijayo wao wasije wakajikuta wakilia kilio kile kile kilichokumuaga machozi hapo Nyololo.

WaTanznia wote bila kujali itikadi za kidini na kisiasa, je tunalo jibu gani kwa mama huyu Winfrida John wa kijiji cha Nyololo ikiwa ni kielelezo cha kilio cha akina mama wengine wengi zaidi wasiokua na majina katika jamii yetu hii wangali nao wanao wachozi yasiokauka kulilia haki kama vile kule Igunga, Arumeru Mashariki, mauji ya Pemba, Arusha, Tarime, Mbeya ...?

Hivi ndivyo vurugu zilivyoanza katika Kata ya Nyororo Wilayani Mafinga na Mkoani Iringa tarehe 02/09/2012. Vurugu hizi dhidi ya Wanachama wa CHADEMA zilisababisha kifo cha Mwandishi Daud Mwangosi aliyelipuliwa na Bomu na askari wa Kikosi cha kutuliza ghasia baada ya kipigo kikali toka kwa askari zaidi ya sita



video kwa hisani ya chadematv
 
Last edited by a moderator:
Mkuu naona kwa furaha ya jeshi la polisi kushitakiwa huko The Hague, umefurahi hadi ukaandika iko Uswisi kule kulikofichwa mabilioni yetu. The Hague iko Netherland / Holland / Uholanzi/ Nederland. Majina yote haya ni ya nchi moja. Iko katika jimbo la kusini liitwalo South Holland. Wenyewe wanaiita Den Haag (The Hague).

Hata hivyo nimeipenda hiyo.
alicomment kwa nguvu zooote akiamini kuwa the hauge ipo uswiss....na anajiamini anachosema, ndio maana nilishasema humu ndani wengi wana uwelewa mdogo sana na wanachangia kwa kutumia hisia, na sio uhalisia wa jambo lilivyo.
 
Ni mara chache sana huwa nakubali kuingia kwenye ubishi wa kijinga kama huu!. Unapoamua kujitutumua na kudhani kuwa una eulewa na akili nyingi kuliko wote ndipo kunakokuonyesha ni kwa jinsi gani ulivyo 'mweupe'. Unaamua kwa maksudi kukashifu na kudharau ili uelewe kinachoendelea na Mikakati ya Wanaharakati. Kwa njia hiyo hutaelewa chochote hadi siku unasikia wamefanikiwa azma yao njema kwa maslahi ya Haki za binaadam. Unadhani kutaja vifungu vya sheria ndo ushindi wa kesi au kuonyesha kuwa unajua kuliko wengine!.. Sited Cases nyingi haziwezi kupindua ukweli!.. Stay tuned!.
naomba tu eleza hapa ili kujua kama unachoongea unakielewa au mweupe kama ulivyosema...NI KWA NAMNA GANI NA KWA NJIA GANI UNATAKA SUALA HILI LIFIKE ICC, na wewe utabadili yule prosecutor ili ufungue kesi au itakuwaje.....naomba jibu usikimbie maswali kama jana...kila mtu anajua wewe umekimbia maswali hapa na unajadili kwa hisia bila kujua chochote. haya, naomba jibu. by the way, ungelikuwa na uelewa wa sheria, ungejua kuwa sisi wanasheria huwa haturuhusiwi kujadili kitu bila either case law au kifungu cha sheria. ni lazima...ukijadili bila kifungu wala case law zinakuwa ni porojo za watu wa sociology au political science tu...nawaonea huruma watu ambao utakuja uwe mbunge wao, na nashangaa unaendelea kuuanika uwezo wako mdogo wa kujadili mambo na kuelewa mambo hapa...ningekuwa mimi ningeshanyamaza kwasababu unazidi kujianika jinsi ulivyo mweupe.
 
akili yako yooote ya kufikiri ndio imeishia hapo, huwezi kufikiri zaidi ya hapo. this clearly displays what you are!...napenda kukufahamisha kuwa, ocampo hakuwa judge wa icc, alikuwa prosecutor, au kwa jina lingine ni mwendesha mashitaka tu. na katika icc anayetakiwa kufungua shauri, si judge au bi helen kijo bisimba, ni prosecutor tu ndio anaweza kufungua shauri hasa la uchunguzi na kulipeleka pre-trial chambers palepale icc majaji sasa independently, watathmini kulinganan a sheria ya icc kama mashitaka hayo aliyofungua prosecutor (sio judge), ni admissible katika mahakama hiyo au la kulingana na vigezo vilivyowekwa na icc kwa yepi makosa yanaweza kuendeshwa pale na yepi hayawezi kuendeshwa, na whether national courts have exercised duty yao ya principle of complimentarity au la (kutumia mahakama za hapahapa), au kama mahakama za hapa zimeshashughulikia au la na kama kushughulikiwa huko kulifanyika impartially au la...yoote haya yanaweza yakachukua si chini ya mwaka mmoja...icc ikiona kuna sababu za msingi kwa shauri lile kufunguliwa pale na national courts hazijafanya hivyo ndio inakuja, huwa haiji moja kwa moja hivi. na icc haijakuwepo ili kureplace national courts, only where national courts have failed, are unable, unwilling etc to prosecute the perpetrator ndio icc inaingilia. pia si kila kesi icc inaipokea, hasahasa hii unayopiga domo.

sasa kwa akili zako zoote za kufikiri, umeishia kusema kuwa Deus F Mallya amekuwa clear....haujaangalia kabisa post zangu zoote, post zilizo nyingi nimekuwa nikiongea kwa mifano na kwa vifungu vya sheria, Deus hajaweka hata sheria moja, kwasababu hajui hata icc ni nini....anajua tu chadema. so, nakushauri, acha kuchangia post hii mara moja....labda kama wewe ni Deus wa ID nyingine sasa unajisupport mwenyewe ili uonekana umeongea kitu, hujaongea kitu aisee, utumbo mtupu.

Unaweza kuwa umesoma sana hiyo sheria na kukariri vitu vingi sana ila huna tofauti na "floppy disk" au "flash disk" ila bado ukawa si reasonable.Huna processing capability yoyote.Pengine ungewapa JF space ya kumwaga pictures na attachment nyingine.

Whatever language unatumia..bado hujatoa sababu kwanini route aliyotumia mama hukubali kuwa itamfikisha.Kama unajua ni "procecutors" au whoever kwa akili zako za kusaidiwa. Kwanini hutaki Mama Hellen achukue njia aonayo kuwa itamfikisha kwa huyo "procecutor".?Kwanza huyo mama kaonyesha kwa vitendo kuwa mzalendo na mtu anayejali haki za binadamu.Ila wewe umebaki piga debe kufanya kila kitu kionekane kuwa impossible.Kwa taarifa yako watu vijana majasiri wanaotoka vijijini uchagani, wakaingia mjini bila kujua pa kuanzia,ila ile detemination yao huwafikisha wapendapo.Watakwenda katika wrong places for sometimes ila finally watapata right place.Halafu inaelekea wewe ndio wale wapuuzi wanokaa katika nafasi fulani halafu kwa miaka mingi bila kuulizia kama kuna nafasi yoyote inayoweza saidia watu wa jamii anayotoka.Yanaishia tuu kutupa CV na kuondoka halafu yanabaki kusema haiwezekani.

Kwa upuuzi wako unaagalia geografia,tungekuwa tunafikiri kama wewe tungekuuliza pia .Mbona nikipanda KLM wakati naenda German napitishwa Uholanzi kwanza halafu ndio narudi Munich?Sometimes ukipewa majibu mafupi ina maana aliyekupa anaamini utelewa zaidi kwa vile kichwa yako ina uelewa fulani above average na kichwa inaprocess na kuta full concept.

Chakusangaza huyu Mama ni mwanamke ila hayupo kufanya kazi ya kulinda maharamia kama dume zima wewe,anao ujasiri katika roho ambao unauota.By the way kama ungekuwa una practical knowledge ya ukifanyacho basi ungejiamini kiasi fulani,ila hapa inaelekea bado unaamini kuwezeshwa.Hata ukiwa na rundo la vyeti katika profession yako halafu ukawa umezima "processing side of your brain", hata mtoto mdogo wa kimasai anayechunga ndama ambaye hata kusoma hajui atakupiga bao ktk common sense.Kama common sense inakushinda how can you manage uncommon Sense?

ID nyingine ya nini mazee?halafu ukiangalia postings za deus utaona tofauti sana na za kwangu.Kwako ni ngumu kuelewa kwa vile brain yako haijawahi tumika tu the extreme.Hembu angalia, languagu,urefu wa text, na hata carefullness ya mpangilio wa maneno, achilia mbali spelling.Deus yupo makini kwa hayo yote.Kwa ujumla haupo observant, na hivyo kubaki cluelesss kwa mengi unayoyaingia.

Acha ujinga wa kuchambua lugha na kufanya mambo magumu kwa wengine ili ubaki wewe ndio mwelewa...tumia kaili kodgo kulewa mambo.Kuna mazungumzo mengine hakuna ujanja yanahitaji watu wote wawe na above evearage understand, na haya utayakuta sana hapa JF.Kwako ni impossible( ingawa umesupport bila kujijua) kwa wengine ni possible.

Kwa hiyo mistake ya kureplace Judge na procecutor kwako imekuwa dili ila hukuona cha muhimu kuwa individual anaweza wakilisha mashitaka.Na anachohitaki mama kidjo ni kumpata huyu individual.
 
alicomment kwa nguvu zooote akiamini kuwa the hauge ipo uswiss....na anajiamini anachosema, ndio maana nilishasema humu ndani wengi wana uwelewa mdogo sana na wanachangia kwa kutumia hisia, na sio uhalisia wa jambo lilivyo.

Mbona mnajisahua kwa mambo yanayohitaji reasoning zaidi ya reference, hivyo vifungu vya nini?Kila mtu hapa ketembelea website ya ICC na kuzisoma hizo sheria za ICC na ni wazi tukio walilofanya against chadema kama kikundi, against hata "journalist community" kwa mapangilio maalumu.Zina qualify kufikishwa kule.Mbona hata lugha waliyotumia ni rahisi sana.

Msomi mzima unataka watu waanze quote vitu obvious.Ni kama mimi nikuulize kama una ubongo ndio tuanze discussion.Ni vikwazo wajiwekewavyo failures hivyo.

Deus alikuwa very clear zaidi ya mnavyopotoshana hapa.Issue si wapi ipo hiyo ICC ndio maana hakupoteza muda kwenye hilo.Issue ni kuwa kaenda swiss kwanza ili kufanya lobby.Kuna vitu kibao Deus anaviacha kwa vile si muhimu,na kaweka wazi haoni sababu ya kukomaa navyo wala kujibu kwa vile si muhimu.Pengine hamjaona majibu yake huwa yanakata kwenye specifics.Si ajabu akiwauliza mtaanza muuliza hadi mtaa zilipo office za mahakama.

Kwa akili kama hizi sioni kama mna mamlaka hata ya kumshauri, kama hamumshauri mama Hellen, badala yake mnkomaa mkwaza, vipi mtaweza kwa Deus kama akitangaza kuwania ubunge?Yeye anamini "sky is the limit, anaamini the world of all possibilities."

Ndio napata picture kwanini CCM wameshindwa katika kila kitu, watu wajinga wanajipa authority ya kila kitu, halafu kwa vile hawana uwezo wa kufanya chochote ,basi wanataka watu walio nyuma yao wasiende mbele kwa vile wanaamini ni impossible. Hao jamaa wauziwao vitu feki, wingiao mikataba ya hovyo, wasiojua hata kukagua wawekezaji kwa hofu, ila ndio hao wanaowaua watanzania kwa vile hawatakai watu wafanye kile wao walikion aimpossible.
 
alicomment kwa nguvu zooote akiamini kuwa the hauge ipo uswiss....na anajiamini anachosema, ndio maana nilishasema humu ndani wengi wana uwelewa mdogo sana na wanachangia kwa kutumia hisia, na sio uhalisia wa jambo lilivyo.

Mbona mnajisahua kwa mambo yanayohitaji reasoning zaidi ya reference, hivyo vifungu vya nini?Kila mtu hapa ketembelea website ya ICC na kuzisoma hizo sheria za ICC na ni wazi tukio walilofanya against chadema kama kikundi, against hata "journalist community" kwa mapangilio maalumu.Zina qualify kufikishwa kule.Mbona hata lugha waliyotumia ni rahisi sana.

Msomi mzima unataka watu waanze quote vitu obvious.Ni kama mimi nikuulize kama una ubongo ndio tuanze discussion.Ni vikwazo wajiwekewavyo failures hivyo.

Deus alikuwa very clear zaidi ya mnavyopotoshana hapa.Issue si wapi ipo hiyo ICC ndio maana hakupoteza muda kwenye hilo.Issue ni kuwa kaenda swiss kwanza ili kufanya lobby.Kuna vitu kibao Deus anaviacha kwa vile si muhimu,na kaweka wazi haoni sababu ya kukomaa navyo wala kujibu kwa vile si muhimu.Pengine hamjaona majibu yake huwa yanakata kwenye specifics.Si ajabu akiwauliza mtaanza muuliza hadi mtaa zilipo office za mahakama.

Kwa akili kama hizi sioni kama mna mamlaka hata ya kumshauri, kama hamumshauri mama Hellen, badala yake mnkomaa mkwaza, vipi mtaweza kwa Deus kama akitangaza kuwania ubunge?Yeye anamini "sky is the limit, anaamini the world of all possibilities."

Ndio napata picture kwanini CCM wameshindwa katika kila kitu, watu wajinga wanajipa authority ya kila kitu, halafu kwa vile hawana uwezo wa kufanya chochote ,basi wanataka watu walio nyuma yao wasiende mbele kwa vile wanaamini ni impossible. Hao jamaa wauziwao vitu feki, wingiao mikataba ya hovyo, wasiojua hata kukagua wawekezaji kwa hofu, ila ndio hao wanaowaua watanzania kwa vile hawatakai watu wafanye kile wao walikion aimpossible.
 
Unaweza kuwa umesoma sana hiyo sheria na kukariri vitu vingi sana ila huna tofauti na "floppy disk" au "flash disk" ila bado ukawa si reasonable.Huna processing capability yoyote.Pengine ungewapa JF space ya kumwaga pictures na attachment nyingine.

Whatever language unatumia..bado hujatoa sababu kwanini route aliyotumia mama hukubali kuwa itamfikisha.Kama unajua ni "procecutors" au whoever kwa akili zako za kusaidiwa. Kwanini hutaki Mama Hellen achukue njia aonayo kuwa itamfikisha kwa huyo "procecutor".?Kwanza huyo mama kaonyesha kwa vitendo kuwa mzalendo na mtu anayejali haki za binadamu.Ila wewe umebaki piga debe kufanya kila kitu kionekane kuwa impossible.Kwa taarifa yako watu vijana majasiri wanaotoka vijijini uchagani, wakaingia mjini bila kujua pa kuanzia,ila ile detemination yao huwafikisha wapendapo.Watakwenda katika wrong places for sometimes ila finally watapata right place.Halafu inaelekea wewe ndio wale wapuuzi wanokaa katika nafasi fulani halafu kwa miaka mingi bila kuulizia kama kuna nafasi yoyote inayoweza saidia watu wa jamii anayotoka.Yanaishia tuu kutupa CV na kuondoka halafu yanabaki kusema haiwezekani.

Kwa upuuzi wako unaagalia geografia,tungekuwa tunafikiri kama wewe tungekuuliza pia .Mbona nikipanda KLM wakati naenda German napitishwa Uholanzi kwanza halafu ndio narudi Munich?Sometimes ukipewa majibu mafupi ina maana aliyekupa anaamini utelewa zaidi kwa vile kichwa yako ina uelewa fulani above average na kichwa inaprocess na kuta full concept.

Chakusangaza huyu Mama ni mwanamke ila hayupo kufanya kazi ya kulinda maharamia kama dume zima wewe,anao ujasiri katika roho ambao unauota.By the way kama ungekuwa una practical knowledge ya ukifanyacho basi ungejiamini kiasi fulani,ila hapa inaelekea bado unaamini kuwezeshwa.Hata ukiwa na rundo la vyeti katika profession yako halafu ukawa umezima "processing side of your brain", hata mtoto mdogo wa kimasai anayechunga ndama ambaye hata kusoma hajui atakupiga bao ktk common sense.Kama common sense inakushinda how can you manage uncommon Sense?

ID nyingine ya nini mazee?halafu ukiangalia postings za deus utaona tofauti sana na za kwangu.Kwako ni ngumu kuelewa kwa vile brain yako haijawahi tumika tu the extreme.Hembu angalia, languagu,urefu wa text, na hata carefullness ya mpangilio wa maneno, achilia mbali spelling.Deus yupo makini kwa hayo yote.Kwa ujumla haupo observant, na hivyo kubaki cluelesss kwa mengi unayoyaingia.

Acha ujinga wa kuchambua lugha na kufanya mambo magumu kwa wengine ili ubaki wewe ndio mwelewa...tumia kaili kodgo kulewa mambo.Kuna mazungumzo mengine hakuna ujanja yanahitaji watu wote wawe na above evearage understand, na haya utayakuta sana hapa JF.Kwako ni impossible( ingawa umesupport bila kujijua) kwa wengine ni possible.

Comrede Nico!
Nilichogundua siku nyingi ni kuwa unaweza kumpa mtu majibu mafupi yaliyonyooka akashindwa kukuelewa; na hata ukimpa marefu ya kueleweka ataona uvivu kusoma na ataendelea kubaki kuwa asiyejua 'Mjinga'..
Huyu jamaa ana tatizo la kawaida sana ambalo watawala wengi kama Wasirra na Lukuvi wanalo; hudhani kuwa wao ndio wanaojua kila kitu na hakuna anayeweza kuelewa na kufanya vitu vya msingi kuliko wao. Najaribu kumjibu kwa ufupi sana kwa sababu najua hata nikimjibu marefu hatakubali ukweli wala kuelewa.
 
Back
Top Bottom