lara 1
JF-Expert Member
- Jun 10, 2012
- 15,700
- 29,111
Niajeeeee Wadau!!!!!
Hahahahaaaaaaa!!!! LOLEST!!! Leo nimecheka kweli japo ni jambo la kusikitisha! Japo sikuwa na nia ya kuileta hii stori humu, ila wadada wa mujini inabidi muijue mjihadharii!
Bwana, kuna mdada wa mujini shosti wanguu haswaa, yuko mjini kitambooo, tena mutoto wa temeke, anafanya kazi bank moja POSTA hukooo! Yupo dirishani pale basi full mauzo ya sura!
Huyo dada anamchumba (usiringie uzuri ringia bahati) anfanya kazi kwenye shikira la kiserikali japo yupo UGHAIBUNI a.k.a MAMTONI anasoma na inshaalah! anakaribia kurudi, mambo yao sio mabaya, mkaka kakolea sana juu yake, mahari ishatolewa, Mashalaaah! mwezi wa 3 mwakani Dada huyooooo anaolewaaaa! Mashosti tushapewa tenda ya kuwa MAIDS OF HONOUR ndo tunajidunduliza tuchange. Ukubwa dawa!
Sasa bi dada pamoja na kutulia baada ya KUSTAAFU kuwa homa ya jiji historia yake huko nyuma si ya KURIDHISHA.( Ndo maana rafiki yangu atii, sie warabu wa pemba!) Alijirekebisha, akasoma na kuaquire class katika jamii. Wale watu wa uswaa aliembakiza katika circle yake ni mie tu na sababu lazima ubakize back up kidogo jst incase!!!!
Wanasemaga your past always has a way to find you, no matter how far you run, (nikilifikiria hili nawewesekaga usiku!!LOLEST!!) Juzi kati kuna Bosi lilienda pale Bank kama mara 2 au 3 counter ya shosti kuomba tu balance !!!! ( TRUST ME THE ACCOUNT WAS FULLY LOADED Hahahaaaa). Bi dada akampa, mara akaombwa kutolewa lunch, na ZOMBINIZATION ikaanza. The Boss was super NICE!!! lolest!! Anamwaga tu minoti! Bi dada akaniita kikao cha dharura JEMBE lake la BACK IN THE DAYS, agenda kubwa ikiwa, ANATAKA AFANYE 1 LAST JOB YA KULICHUNA HILO BOSI achukue mafao mazito,anaomba mwongozo. Nikamwambia hilo TEGO wewe mtu akuombe balance afu akugande, kuna walakini! Mi nikamwambia wewe LIPOTEZEEE tu, itakuwa kuna umbea umepita, watu wanataka kupeperusha harusi hiyo, utakosa yote!!
Akagoma bana, akaifanya ile KAZI, akaahidiwa HARRIER MPAYAAA na akapewa KADI LA GARI KABISAA lina jina lake, brand new toka SHOWROOM za TOYOTA TANZANIA( Kadi muhimu unaweza potezwa maboya) ila kabla ya kupewa funguo ndo wakutane PARADISE pale posta baada ya kazi kulipana fadhilaaaa! Bi dada kapewa room number kaingia, kaoga kajipumzisha. Mlango ukagongwa akajua payback time, kufungua HAMADIIII !!!FIANCE!!! Kidogo afe! Fiance akamwambia NILITAKA KUDHIBITISHA KWA MACHO YANGU,SASA NIMEONA! KWAHERI!!!! Yule bosi nilimtuma mimi! Huyoooo kaishia, bi dada ndo kuniita tutafute a way out jinsi ya kuweka KIRAKA hapo mambo yakae poa!!!
Ataiweka wapi sura yake!!! Kisa cha kuachwa mji ukikijua??? LOLEST!!!! (Its not a laughing matter) Jamani embu toeni ushauri wa kujenga, makosa yake kesha yajua ila ndo katika kuokoa jahazi aanzie wapi?.
Wanaume kwanini mnapenda kumchunguza BATA sanaaa matokeo ndo hammli kama hivo.
Hahahahaaaaaaa!!!! LOLEST!!! Leo nimecheka kweli japo ni jambo la kusikitisha! Japo sikuwa na nia ya kuileta hii stori humu, ila wadada wa mujini inabidi muijue mjihadharii!
Bwana, kuna mdada wa mujini shosti wanguu haswaa, yuko mjini kitambooo, tena mutoto wa temeke, anafanya kazi bank moja POSTA hukooo! Yupo dirishani pale basi full mauzo ya sura!
Huyo dada anamchumba (usiringie uzuri ringia bahati) anfanya kazi kwenye shikira la kiserikali japo yupo UGHAIBUNI a.k.a MAMTONI anasoma na inshaalah! anakaribia kurudi, mambo yao sio mabaya, mkaka kakolea sana juu yake, mahari ishatolewa, Mashalaaah! mwezi wa 3 mwakani Dada huyooooo anaolewaaaa! Mashosti tushapewa tenda ya kuwa MAIDS OF HONOUR ndo tunajidunduliza tuchange. Ukubwa dawa!
Sasa bi dada pamoja na kutulia baada ya KUSTAAFU kuwa homa ya jiji historia yake huko nyuma si ya KURIDHISHA.( Ndo maana rafiki yangu atii, sie warabu wa pemba!) Alijirekebisha, akasoma na kuaquire class katika jamii. Wale watu wa uswaa aliembakiza katika circle yake ni mie tu na sababu lazima ubakize back up kidogo jst incase!!!!
Wanasemaga your past always has a way to find you, no matter how far you run, (nikilifikiria hili nawewesekaga usiku!!LOLEST!!) Juzi kati kuna Bosi lilienda pale Bank kama mara 2 au 3 counter ya shosti kuomba tu balance !!!! ( TRUST ME THE ACCOUNT WAS FULLY LOADED Hahahaaaa). Bi dada akampa, mara akaombwa kutolewa lunch, na ZOMBINIZATION ikaanza. The Boss was super NICE!!! lolest!! Anamwaga tu minoti! Bi dada akaniita kikao cha dharura JEMBE lake la BACK IN THE DAYS, agenda kubwa ikiwa, ANATAKA AFANYE 1 LAST JOB YA KULICHUNA HILO BOSI achukue mafao mazito,anaomba mwongozo. Nikamwambia hilo TEGO wewe mtu akuombe balance afu akugande, kuna walakini! Mi nikamwambia wewe LIPOTEZEEE tu, itakuwa kuna umbea umepita, watu wanataka kupeperusha harusi hiyo, utakosa yote!!
Akagoma bana, akaifanya ile KAZI, akaahidiwa HARRIER MPAYAAA na akapewa KADI LA GARI KABISAA lina jina lake, brand new toka SHOWROOM za TOYOTA TANZANIA( Kadi muhimu unaweza potezwa maboya) ila kabla ya kupewa funguo ndo wakutane PARADISE pale posta baada ya kazi kulipana fadhilaaaa! Bi dada kapewa room number kaingia, kaoga kajipumzisha. Mlango ukagongwa akajua payback time, kufungua HAMADIIII !!!FIANCE!!! Kidogo afe! Fiance akamwambia NILITAKA KUDHIBITISHA KWA MACHO YANGU,SASA NIMEONA! KWAHERI!!!! Yule bosi nilimtuma mimi! Huyoooo kaishia, bi dada ndo kuniita tutafute a way out jinsi ya kuweka KIRAKA hapo mambo yakae poa!!!
Ataiweka wapi sura yake!!! Kisa cha kuachwa mji ukikijua??? LOLEST!!!! (Its not a laughing matter) Jamani embu toeni ushauri wa kujenga, makosa yake kesha yajua ila ndo katika kuokoa jahazi aanzie wapi?.
Wanaume kwanini mnapenda kumchunguza BATA sanaaa matokeo ndo hammli kama hivo.