Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
- Thread starter
- #101
kwa mfano nikidumbukiza kura yangu afu nikachovya kidole changu cha kushoto kwenye wino na wee yako nikufanyie vivyo hivyo kwa mkono wa kulia....hapo vipi? ili usipoteze haki yako
Mhhh,
Unajua mdogo wangu, kadri umri unavyokwenda ndivyo tunavyozidi kuogopa risk...halafu ukizingatia ubeba innocent wa watu...
Mi hapo bado ndugu yangu!!