Mohammed Hamad
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 3,988
- 1,301
Jamaa alinunua bangi akaenda nayo chumbani na kuanza kuvua nguo zote,kazima taa kisha akaanza kuvuta,baada ya muda akaona sio kali hivyo akavaa nguo gizan bila kujua kavaa sketi na blauz ya mkewe,akaelekea kwa pusha na kuanza kumuuliza mbona bangi yako sio kali?
Pusha:Kama hiyo ambayo sio kali umevaa nguo za mkeo,hiyo kali si ungepata PERIOD kabisa?
X_X
:O duh !!!!!
Pusha:Kama hiyo ambayo sio kali umevaa nguo za mkeo,hiyo kali si ungepata PERIOD kabisa?
X_X
:O duh !!!!!