Beyond politics 3 - tujifunze kutoka china

Mtazamaji

JF-Expert Member
Feb 29, 2008
5,937
1,437
Hallo wadau wa Siasa.
Naamin China na nchi za Scandanavia zina mifano hai amabayo inaweza kututoa tulipo n kwenda mbele kama wanasiasa wetu wakiwa tayari kuona mabo nje y siasa.


Inwezekana ukawa hauna lakini ukakihodhi

China only has about 30 percent of the world's rare earth metal deposits, but thanks to clever planning it today controls 97 percent of the world's production of these scarce resources.
Hapa napata uwa ni mikataba nafuu na ya kifasi inawawezesha wachina kuhodhi mambo haya. Wanchofanya china ndich wanachofanya mataif mengine kwenye madini kama dhahabu, almasi, Tanzanite etc.

China ina 30% lakini ina contrl 97%. So hap tunapata Somo kuwa kuwa na sera sahihi na Mikataba safi. Madini kama dhahabu, Almasi, Tanzanite yanaweza kuwa Tanzania laikni wanofadikia na kuyacontrol kawa % kubwa Wacanada, Waustralia au waisrael. Je anayehodhi dhahabu, alamsi na Tanzanite ni nani?

China hawafuati Theory za IMF na Word Bank. wanafanya kilicho bora kwa uchumi wao sio wa Dunia

.....In short the world is at China's mercy for now when it comes to rare earth supply. And China's biggest rare earth metal producer -- the Inner Mongolia Baotou Steel Rare-Earth (Group) has announced that it is severing shipments to the U.S., Japan, and Europe for one month in an attempt to artificially inflate prices.
China haifuati n hifunwina sheria za IMF na hata linappouja swali la uzalishaji wanatumia mbinu kufaidika. Je Tanzania na nchi zinazozalisha dhabu zin taaisi ambayo inawezakusaidia kupunguza uzalishaji uli kupandisha bei.? au tumewaachie wachimbaji wachimbe watakavyo.

Changamoto nyingine Tujiulze kwa nini Tamani ya dhabau na madini inapanda lakini thamani y shilingi Inashuka.Uimara wa shilingi yetu unategemea nini ?

Sisi Tanzania na mataifa masikini ni wamaria wema tunafuta kanuni za ichumi za IMF na WB kwa mufuaa ya "uchumi wa dunia"

China bado wana kiu ya maendeleo yao sio ya kuletewa

Aside from raising prices higher, the pause in production will allow China to try to kick start its efforts to produce locally produce magnets. When it comes to the production of the magnets used in the electric motors of hybrid and electric vehicles, typically the biggest profit is not realized at a commodity level, but at a magnet producer level. Thus in the past foreign nations like the U.S. and Japan have pocketed the biggest profits. China hopes to change that.

Sasa sisi Tanzania tufanye nini japo tuseme kufikia 2020 tusitumie pesa ya igeni kuagiza baiskeli. yani tuwe na viwanda japo viwili vya kukidhi mmahitaji ya baiseli na vifaa vyake Tanzania. China wanakaba hadi penati sasa naona wamehamia kwente utengenza sumaku.

National Treasury za Tanzania ni nini ?
hina's Ministry of Land and Resources in September bragged that rare earth metals were the nation's "21st century treasure trove of new materials." It argued that exports should be tightened, choking foreign supply and favoring Chinese manufacturers.

Napenda kujua hili jibu sisi Tanzania wht is our national Treasure yetu ni vitu gani?
Tanzania ina mmambo gani ya Kujifunz kutoka China?

Soma baadhi ya comment na makala nzimama ya ujumbe huu hapa. Sijui kwa wle china haters wanasemaje.

Madini adimu yanayozungumziwa katika picha.

Rare_Earth_Metals_In_Pictures.jpg
 
Chini ya magamba maendeleo tatakuwa tunayaonea kwenye TV tu.

Kuhusu hizo rare earth metal ziko kwa wingi sana Tanzania, ule mchanga unaopakiwa kwenye makontena toka Bulyankulu kwenda Japan una madini hayo kwa wingi sana. Magamba wanaingia mikataba ya kinyonywaji kwa 10%. Kinachotakiwa ni kuwagaddafi magamba wote!
 
Back
Top Bottom