King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,644
- 68,594
Source:GBS News
Hongera Jigga Man na Beyonce
Hongera Jigga Man na Beyonce
Beyonce angekuwa Bongo angekuwa al maarufu kama Mama Bebii!!
It's Tiana carter.
Okey! Basi namshauri Mama Tiana anywe mtori na supu kwa wingi zilizochanganywa na nyanya chungu bila kusahau uji wa ulezi kwa sana ili atoe maziwa mengi kumnyonyesha Tiana asianze kumpakia maziwa ya kopo ati! Tutamtuma mama chausiku amfunde mambo ya bara ati!!It's Tiana carter.
We upo dunia gani thatha!ha!kumbe alikuwa na mimba nilikuwa thijui.
Source:GBS News
Hongera Jigga Man na Beyonce
hivi j zii ana watoto wengine?
kulala njaa haitawezekanahuyu mtoto sijui kama atakuja kulala njaa kwa miaka mingi ijayo...