Inkoskaz
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 6,372
- 2,374
Wadau
Nipo ofisini kwangu namalizia viporo vya wiki nzima mara inapigwa simu ya mkononi ya sales manager akiombwa kuzungumza na boss wake mpigaji akidai yeye ni Operations Manager wa tiGo.Nilipokea jamaa akajitambulisha na kuniambia request ya namba yangu ipo tayari na kuna salesman amemtuma aniletee(alarm ikagonga) hiyo namba digits zake zinafanana na namba ya sales manager wangu ambayo ni Vodacom.kilichonitia mashaka ni pia kuwa namba kama hiyohiyo tayari tunaimiliki katika mitandao ya tiGo,Airtel, Zantel na hata Sasatel
Nikapata hisia kuwa kwa kuwa namba ya vodacom ipo kwenye gari ya mauzo basi wamefikiri sina namba hiyo kwa mtandao mwingine,pia nikawa na mashaka kwani namba aliyopiga haipo katika mfumo wa tiGo staff kwani mara nyingi huanza na 123XXX
Jamaa akasema wameishaiload artime ya 45,000 hivyo jamaa ataipitisha na atakuja na gari la tiGO,nikamkubalia nione mwisho(kawaida ukipewa prepaid simcard inabidi uweke airtym mwenyewe)
In few minutes akaja jamaa akijitambulisha jina la Raymond Sanga lakini lafudhi kama ya kihaya na bahasha ya Khaki yenye hiyo Sim Card imeandikwa juu kuwa activation after 3 hrs,( Nikajua wanaprotect nisitest coz it wont work kwa muda huu)nikatoka nje kuzuga kama namuita mfanyakazi kumbe nacheki gari aliyojia nayo nikakuta hamna gari nilipomuuliza akajibu ameiacha jirani na huku akining'iniza ign switch mkononi hiyo ikanifanya niamini ni utapeli.
Nikaagiza aandikiwe Petty Cash lakini aproduce kitambulisho chake for records...hapo akaanza kugwaya nikamwambia nenda tu ukipata kitambulisho njoo( sikutaka kumuitia polisi as i was busy na kazi zangu na nilijua itahitaji kuandika statement and spoil my weekend tym) akatoka na nyuma nikamtuma kijana amfuatilie akakuta anaongea na simu then akakwea bajaj..hahaha!
Pia nilimuuliza mtu niliyekuwa namfahamu kama oprts manager ambaye kwa sasa hayupo tigo lakini jamaa akasema yupo!
wanatumia namba 0713 456666
Be ware and enjoy yr week end...wale wa mpira tutaonana saa kumi na moja!
Nipo ofisini kwangu namalizia viporo vya wiki nzima mara inapigwa simu ya mkononi ya sales manager akiombwa kuzungumza na boss wake mpigaji akidai yeye ni Operations Manager wa tiGo.Nilipokea jamaa akajitambulisha na kuniambia request ya namba yangu ipo tayari na kuna salesman amemtuma aniletee(alarm ikagonga) hiyo namba digits zake zinafanana na namba ya sales manager wangu ambayo ni Vodacom.kilichonitia mashaka ni pia kuwa namba kama hiyohiyo tayari tunaimiliki katika mitandao ya tiGo,Airtel, Zantel na hata Sasatel
Nikapata hisia kuwa kwa kuwa namba ya vodacom ipo kwenye gari ya mauzo basi wamefikiri sina namba hiyo kwa mtandao mwingine,pia nikawa na mashaka kwani namba aliyopiga haipo katika mfumo wa tiGo staff kwani mara nyingi huanza na 123XXX
Jamaa akasema wameishaiload artime ya 45,000 hivyo jamaa ataipitisha na atakuja na gari la tiGO,nikamkubalia nione mwisho(kawaida ukipewa prepaid simcard inabidi uweke airtym mwenyewe)
In few minutes akaja jamaa akijitambulisha jina la Raymond Sanga lakini lafudhi kama ya kihaya na bahasha ya Khaki yenye hiyo Sim Card imeandikwa juu kuwa activation after 3 hrs,( Nikajua wanaprotect nisitest coz it wont work kwa muda huu)nikatoka nje kuzuga kama namuita mfanyakazi kumbe nacheki gari aliyojia nayo nikakuta hamna gari nilipomuuliza akajibu ameiacha jirani na huku akining'iniza ign switch mkononi hiyo ikanifanya niamini ni utapeli.
Nikaagiza aandikiwe Petty Cash lakini aproduce kitambulisho chake for records...hapo akaanza kugwaya nikamwambia nenda tu ukipata kitambulisho njoo( sikutaka kumuitia polisi as i was busy na kazi zangu na nilijua itahitaji kuandika statement and spoil my weekend tym) akatoka na nyuma nikamtuma kijana amfuatilie akakuta anaongea na simu then akakwea bajaj..hahaha!
Pia nilimuuliza mtu niliyekuwa namfahamu kama oprts manager ambaye kwa sasa hayupo tigo lakini jamaa akasema yupo!
wanatumia namba 0713 456666
Be ware and enjoy yr week end...wale wa mpira tutaonana saa kumi na moja!