bampami JF-Expert Member Nov 5, 2011 5,697 4,107 Jun 11, 2012 #21 Mi ndo nalala hapa kama kawa nalalia jf.Kesho saa 2pm nina ki2 cha accounts.
U Ulimakafu JF-Expert Member Mar 18, 2011 29,002 10,631 Jun 11, 2012 #23 Vijana vipi bado tetere huwa anataga (kuvuja paper) kabla ya UE mitaa ya Hall 2,5,7 na 4?
basa JF-Expert Member Mar 21, 2012 252 383 Jun 12, 2012 #24 MKATA KIU said: Senetor unaingia kwenye UE, have a goodluck, my last UE was around july 2010 in Mzumbe morogoro Click to expand... dah mkatakiu! Ujue nn npo pale mzumbe dat kaul imenikumbusha pale mkwawa n people ov kukatakiu
MKATA KIU said: Senetor unaingia kwenye UE, have a goodluck, my last UE was around july 2010 in Mzumbe morogoro Click to expand... dah mkatakiu! Ujue nn npo pale mzumbe dat kaul imenikumbusha pale mkwawa n people ov kukatakiu
Bosco Ntaganda JF-Expert Member Jan 25, 2012 710 288 Jun 12, 2012 #25 Kila la heri wadogo zangu. Fanyeni bidii katika mitihani yenu, na karibuni sana kitaa
Leonard Robert JF-Expert Member Apr 22, 2011 11,064 7,195 Jun 12, 2012 #26 wadau pepa safi kidogo lakini