Yah! nmepata nmepangiwa Muleba..
mkuu mleba pako bomba afisa elimu wa hapo namjua ni rafiki sana na bro wangu yupo nmb hapo so kama unataka maelezo zaidi we ni pm ntakujuza.
Yah! nmepata nmepangiwa Muleba..
mkuu mleba pako bomba afisa elimu wa hapo namjua ni rafiki sana na bro wangu yupo nmb hapo so kama unataka maelezo zaidi we ni pm ntakujuza.
ha! ha!..kumbe ndo we mzirayi!
halafu wewe unaonekana ni wa EDUCHE
umefikaje jf wewe mwenzio mahanya kajivua gamba kahamia cdm eti nae anaitwa kigogo wa uvccm kweli?kama vp wape hi uko mh shitambala.
mie tenaa..we si adnan