Kang
JF-Expert Member
- Jun 24, 2008
- 5,493
- 2,247
Utafiti wangu unaonyesha kuwa options ni mbili so far.
Naona Voda wana Bomba30 for 30,000/= ambayo ni unlimited use for 30 days, lakini speed wanaminya.
Zantel nao wana 2GB for 10,000/= kama ukijiunga na high life program yao. Hii nasikia speed imetulia.
Nadhani ntaenda na Voda unless kuna mtu ana ushauri mwengine?
Naona Voda wana Bomba30 for 30,000/= ambayo ni unlimited use for 30 days, lakini speed wanaminya.
Zantel nao wana 2GB for 10,000/= kama ukijiunga na high life program yao. Hii nasikia speed imetulia.
Nadhani ntaenda na Voda unless kuna mtu ana ushauri mwengine?