Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
- Thread starter
- #101
I'm really bored...
la sivyo watu ndio watapigilia hapo hapo hata kama wanachosema wanajua ni uwongo....
humfahamu mama anne kilango malechela.
jaribu kumfahamu mama anne kilango kabla hujaamua kumtetea.
hata jina la familia yake hulijui. hilo kione ni jina lake la kinyumbani. siyo jina la baba yake.
unapodai mama anna kilango amezaliwa kihurio siyo uzambara unadhihirisha uwongo na unafiki wako. kauli sahihi ni kwamba amezaliwa kitongoji cha uzambara katika kijiji cha kihurio.
humfahamu anakotoka na hata tabia zake, lazima itakua vigumu kwako kuamini kauli hii aliyoitoa kwa wananchi wa kitongoji cha jitengeni ktk kijiji cha kihurio.
mama anna kilango ni mapepe ana tabia ya kupandwa jazba na kutoa matusi mara kwa mara.
mama anna kilango alifukuzwa kazi gulf air akikabiliwa na tuhuma za upotevu wa fedha.
wananchi wa same mashariki walishampa ndhira 'daniel yona' notisi asigombee ubunge watamuaibisha. mama alitumia upenyo huo kugombea na akapata.
moja ya maendeleo yaliyopatikana wakati ndhira akiwa mbunge ni ujenzi wa sekondari katika kila kata isipokuwa kihurio. sasa mama kilango kuleta kontena moja la vitabu ndiyo imekuwa nongwa?
Mzee Mwanakijiji
I'm really bored...
Field Marshall ES,
wewe ndiye usiye na facts, au labda neno hilo limebadilishwa maana. uwongo wako kuhusu mama kilango na wananchi wa same hatutauvumilia.
cleopa msuya hajawahi kuwa mbunge wa pare nzima, pare district. yeye amekuwa mbunge wa jimbo, jimbo la mwanga. katika mazingira hayo angetusaidia vipi?
msuya alijaribu kugombea mwaka 1975 wakati huo mgonja akiwa mkuu wa mkoa wa mtwara lakini mgonja hakumuachia kiti na msuya akanywea. baada ya hapo mwaka 1980 wilaya ya pare ikagawanywa kuwa wilaya ya same na jimbo la uchaguzi mwanga.
tangu kipindi hicho msuya amekuwa na chuki kubwa sana na mgonja na wananchi wa wilaya ya same/south pare. ametumia kila mbinu kumhujumu mgonja na kila jitihada alizofanya kuendeleza wananchi wake.
niko hapa kuondoa uongo na dhana iliyopandikizwa na msuya kwamba kila mpare ameendelea kwa huruma zake yeye msuya.
niko hapa kutoa ushuhuda wa same, pare ya kusini, pare iliyosahaulika.
msuya angetukomboa tusingekuwa hapa tunalilia shule miaka 47 baada ya uhuru.
msuya alikuwa wapi leo wakati wananchi wa same wanalilia
ujenzi wa barabara ya kihurio-ndungu-kisiwani-same. kama anatupenda sana si angetuwekea lami.
msuya hajawahi kusaidia jimbo la same. hata sasa hivi hatutaki ktk dayosisi ya kkkt. anataka dayosisi ya himaya yake, ufalme wake mwanga.
wako wanaotoa mapesa yao kufadhili jambo forum. sasa siyo vizuri kuruhusu chombo hiki kikatumiwa na wazushi kama wewe kueneza uongo na majungu dhidi ya wanyonge wa pare ya kusini, au eneo lolote lile la tanzania.
mwisho.
wanyonge wa pare ya kusini watapenda kujua kama jumanne malechela ndiye aliyeshirikiana na msuya kuzuia barabara ya kihurio-ndungu-kisiwani-same kuwa barabara ya taifa.
Mkuu Pundamilia07,
Heshima yako mkuu, hivi kweli unaweza kusema hizo quote mbili hapo juu, zimetolewa na mtu mwenye uwezo mkubwa wa kufikiri mpaka kuwa na authority ya kutukana Senior members ambao ni the real deal hapa JF kama Mwafrika Wa Kike?
Pundamilia are you serious au you are having April Fool on a Valentine's day in February?
Mkuu Pundamilia07,
Heshima yako mkuu, hivi kweli unaweza kusema hizo quote mbili hapo juu, zimetolewa na mtu mwenye uwezo mkubwa wa kufikiri mpaka kuwa na authority ya kutukana Senior members ambao ni the real deal hapa JF kama Mwafrika Wa Kike?
Pundamilia are you serious au you are having April Fool on a Valentine's day in February?
Mama Kilango, hajawahi kufukuzwa kazi mahali popote, alianza kiwa Mwalimu wa Sekondari Kisutu, Accountant Air-Tanzania, Accountant Gulf Air, Mfanya biashara, Mwenyekiti UWT Kinondoni, Mbunge wa Rais, na sasa Mbunge wa Same East, nirudie tena kuwa hajawahi kufukuzwa kazi mahali popote kwa wizi, ni uongo mkuu wa mchana, cc huwa hampitishi mgombea yoyote aliyewahi kutuhumiwa na wizi, ni opportunist wa siasa kama walivyo wote wanasiasa, na kiboko wa ufisadi sasa hivi tunajribu kumuomba ahamie kwenye waliojiuzulu kupelekwa mahakamni, mkuu Bangusile acha uzandiki mkuu uweli ni kwamba huna convincing argument against mama, ila una maneno mengi ya chuki na ya kijiweni huko Same, otherwise nipo mkuu kukusaidia kuhusu jimbo la Same East na mbunge wake mkuu, maana hulijui.
Mkuu FMES,
Nilikutaka uniombe msamaha lakini naona umekauka, anyway sio kitu kwani hiyo iko ndani ya hiyari yako. Hata hivyo unaweza kuniomba msamaha 'kimoyo-moyo'
Hata hivyo naona Mkuu nia yako ni kutaka kumtetea huyu mteja wako kwa hali yeyote ile.
1. Je, unaweza kutuambia kwanini aliacha kufundisha pale Kisutu Sekondari?
2. Je, unajua kuwa unasema uwongo kuwa huyu mama alikuwa 'Accountant' pale Air Tanzania? Je, unaweza kutupatia sifa za mtu anayeitwa Accountant huku ukifanya marejeo katika professional qualifications zake?
Mzee ES ita make sense sana kama hata mtu una facts za kuambiwa maana najua utakuwa umesoma ama kusikia zaidi kwa njia zako .Lakini huyu mtu kama anatoka Same na anasema haya lazima ufike mahali useme una za kuambiwa na huyu wa Same anazijua maana anakaa pale .Wanao teseka ni watu wa Same na wanajua more than you am sure .
Kuhusu untouchable nasema hakuna sote ni sawa mbele ya hili jamvi hakuna wa maana zaidi ya mwenzake .At least najua haya toka siku ya kwanza tunaanza na hii Forum .
Mzee ES ita make sense sana kama hata mtu una facts za kuambiwa maana najua utakuwa umesoma ama kusikia zaidi kwa njia zako .Lakini huyu mtu kama anatoka Same na anasema haya lazima ufike mahali useme una za kuambiwa na huyu wa Same anazijua maana anakaa pale .Wanao teseka ni watu wa Same na wanajua more than you am sure .
Kuhusu untouchable nasema hakuna sote ni sawa mbele ya hili jamvi hakuna wa maana zaidi ya mwenzake .At least najua haya toka siku ya kwanza tunaanza na hii Forum .
Aminia mkuu kanyaga twende.....
Ndiyo Mkuu Masatu .Ifike mahali tukubali kujifunza kwa uwazi kama hivi .Jamaa ana point sana na hata Es ana point zake sana kwenye hili lakini sasa tuone nani anaweza kuwa na ukweli zaidi .Mimi siwezi kukubishia juu ya habari za Majita, Mugango, Makoko,Nyamiongo, Buhare, na hata kule Mazami, Busegwe kwa kuwa sikai wala sijatoka huko .Wala Mbunge wa huko simjui vilivyo mbali na yeye kuwa rafiki wa mtu wangu ama mume ama mke wa ndugu yangu .Natives always wasikike ndilo nalo omba hapa kwamba kila mmoja sasa aone umuhimu wa kusikiliza kilio cha wana Same na hasa aneno ambalo huyu Mama ni Mbunge .
Soma postings tofauti za Mwafrika wa Kike kama zinaleta sense yeyote au zinasaidia nini kwa wasomaji na wachangiaji hapa JF.
Ndiyo Mkuu Masatu .Ifike mahali tukubali kujifunza kwa uwazi kama hivi .Jamaa ana point sana na hata Es ana point zake sana kwenye hili lakini sasa tuone nani anaweza kuwa na ukweli zaidi .Mimi siwezi kukubishia juu ya habari za Majita, Mugango, Makoko,Nyamiongo, Buhare, na hata kule Mazami, Busegwe kwa kuwa sikai wala sijatoka huko .Wala Mbunge wa huko simjui vilivyo mbali na yeye kuwa rafiki wa mtu wangu ama mume ama mke wa ndugu yangu .Natives always wasikike ndilo nalo omba hapa kwamba kila mmoja sasa aone umuhimu wa kusikiliza kilio cha wana Same na hasa aneno ambalo huyu Mama ni Mbunge .
what is all this about?
kwasababu Mama Kilango kasimama na kusema kweli? mnatafuta pa kukimbilia? The point here is not what she is the point is for the first time in my life nilishuhudiwa mbunge wa CCM akisimama na kusema kweli akiwa kwenye record (mbele ya umma)kwakweli everybody nilikuwa mtaani alishangilia ushujaa ule, ungeona sura za mafisadi zilivyokuwa! nilifarijika sana.
Sasa ndugu yangu unayedondosha nyeti za Anna Kilango kwani huko nyuma hata tuseme miezi 4 iliyopita hukufanya ushujaa kama wa Mama Anna hata kwa halaiki ya JF na kuingia kwenye rekodi kusema mabaya yake uko Same? hapa sisi tunakuona mchafuzi na mlaghai unayetaka kushift mambo lakini nadhani hapa Mama Kilango anasimama juu regardless of whatever u r saying.
Ushauri: Anzisha thread, iite MABAYA YA ANNA KILANGO KWA WANANCHI WA SAME baada ya hapo tutajadili hilo kwa uhuru na kujaribu kujua ukweli. LAKINI KWA SASA TUACHE TUJIMWAYEMWAYE NA HILI SAKATA NA TUENDELEZE MAPAMBANO YA KWELI
Masatu JF Senior Expert Member Join Date: Mon Jan 2007
Aminia mkuu kanyaga twende.....
Quote:- Masatu
The greatest lesson in life is to know that even fools are right sometimes