Nzokanhyilu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2007
- 1,078
- 93
FMES,
Nakuhakikishia mimi sio Koba wala nani. Ni Nzokanhyilu.
Kwa jinsi ulivyoeleza, ina maana basi katika politics za Tanzania ni rahisi sana kumchafua mtu kwa kumwiita 'opportunist'. Kama character assasination ni rahisi hivyo, basi siasa ya Tanzania bado changa sana (na opportunist wamejaa pande zote CCM na Upinzani). Hata mimi nitokaye shule ya 'english', itachukua zaidi ya sentensi mbili kum-judge huyo Anna Kilango. Ila umemtetea hadi inaonekana kama ndugu yako, na hukuhitaji kuwa emotional and nitty-gritty to be convincing.
Nadhani, jumatatu sio mbali, tuone reshuffle, proxy-appointments, hapo ndio tutaweza kuona nani alisema nini na kapata nini, na atafanya nini miezi ijayo (hapo ndio tutajua opportunist ni kina nani). Kwa hapo sio lazima nitoke shule ya 'Siasa' kuelewa huo ndio mchezo wa siasa. Ni rahisi sana kusema kitu ambacho watu wanataka kusikia.
As far as Lowassa is concerned, mimi naona kuachia u-PM ni kama kakwata mkono mmoja tu. Sidhani kama Tanzania iko tayari kwa domino effect, na hii itaonekana kwenye uteuzi wa baraza la mawaziri. Bado Lowassa hajaguswa.
Nakuhakikishia mimi sio Koba wala nani. Ni Nzokanhyilu.
Kwa jinsi ulivyoeleza, ina maana basi katika politics za Tanzania ni rahisi sana kumchafua mtu kwa kumwiita 'opportunist'. Kama character assasination ni rahisi hivyo, basi siasa ya Tanzania bado changa sana (na opportunist wamejaa pande zote CCM na Upinzani). Hata mimi nitokaye shule ya 'english', itachukua zaidi ya sentensi mbili kum-judge huyo Anna Kilango. Ila umemtetea hadi inaonekana kama ndugu yako, na hukuhitaji kuwa emotional and nitty-gritty to be convincing.
Nadhani, jumatatu sio mbali, tuone reshuffle, proxy-appointments, hapo ndio tutaweza kuona nani alisema nini na kapata nini, na atafanya nini miezi ijayo (hapo ndio tutajua opportunist ni kina nani). Kwa hapo sio lazima nitoke shule ya 'Siasa' kuelewa huo ndio mchezo wa siasa. Ni rahisi sana kusema kitu ambacho watu wanataka kusikia.
As far as Lowassa is concerned, mimi naona kuachia u-PM ni kama kakwata mkono mmoja tu. Sidhani kama Tanzania iko tayari kwa domino effect, na hii itaonekana kwenye uteuzi wa baraza la mawaziri. Bado Lowassa hajaguswa.