- Thread starter
- #61
Star anaitwa Ryan Reynold, jamaa alizikwa akiwa hai, baada ya muda akazinduka akajikuta yupo kwny jeneza, sa jamaa atafanyaje ili ajiokoe, na ilikadiliwa uwezekano wa kuendelea kuwa kwny jeneza akiwa hai ni dak 90, ila alizikwa pamoja na tochi, kisu na simu yake
Hio inaonekana ni ya ukweli mjomba