Best Movie Soundtrack (Themes) of All Times

hakuna soundtrack kali kupita ya shaft....

wataalamu wote wamekubali ile soundtrack
tena enzi hizo
issac hayes ndie aliieitengeneza alipata ujiko baab kubwa
 
wote hamjaonaga sound tracks...aliyetaja gladiator namkubali. Kuna ya pirates of the carribean the curse of the black pearl wimbo unaitwa the medallion calls. Best theme nyingine batman, halafu kuna van helsing the journey to translyvania...if u want to know the best composer tafuteni profiles ya watu wafuatao...
Hans Zimmer ndo aliyecompose pirates of the carribean, gladiator na Lion King plus Inceptions na The Dark Knight
composer mwingine ni Allan Slivestri they are both very competent
 
Theme song ninayoipenda ni ya Scarface,
Composer ninayemuona ni mkali ni Quincy Jones.
 
Theme song ninayoipenda ni ya Scarface,Composer ninayemuona ni mkali ni Quincy Jones.
Quincy Jones ni mkali but hamkutii hata kidogo Hans Zimmer, Hans ana mkono mchafu...kila score lazma achukue grammy ya best theme song na yuko kwenye list ya 100 living geniouses
 
Kuna tofauti kati ya theme song na soundtrack hapa tunajadili nini?


Problem yako hapa Eqlypz you have too much knowledge and thus the difference...lol
Mi nachukulia ile sound ambayo hata nikisikia i know kua hio ni movie fulani.. kama ile
ya The Good, The Bad, The Ugly.. What do i call that??
 
wote hamjaonaga sound tracks...aliyetaja gladiator namkubali. Kuna ya pirates of the carribean the curse of the black pearl wimbo unaitwa the medallion calls. Best theme nyingine batman, halafu kuna van helsing the journey to translyvania...if u want to know the best composer tafuteni profiles ya watu wafuatao...
Hans Zimmer ndo aliyecompose pirates of the carribean, gladiator na Lion King plus Inceptions na The Dark Knight
composer mwingine ni Allan Slivestri they are both very competent


Don Mangi kila mtu anamapenzi yake... lkn hata hivyo nakuunga mkono the bolded half
But bahati mbaya katika INCEPTION haijatumika saaana... zaidi saana kwenye ndoto ile ya level tatu...
 
Quincy Jones ni mkali but hamkutii hata kidogo Hans Zimmer, Hans ana mkono mchafu...kila score lazma achukue grammy ya best theme song na yuko kwenye list ya 100 living geniouses
Nakubaliana na wewe ila kutokana mapenzi yangu,Qincy jones ananivutia zaidi.
I can relate more with him......I love Sanford and son(sixties/seventies tv show) na theme song ilikuwa composed na Quincy....genius!
 
Nakubaliana na wewe ila kutokana mapenzi yangu,Qincy jones ananivutia zaidi.
I can relate more with him......I love Sanford and son(sixties/seventies tv show) na theme song ilikuwa composed na Quincy....genius!


Hakuna muelewa wa kweli anaweza bisha kuhusu Quincy Jones,
The man is the producer of the legendary Thriller album ya
The legendary Michael Jackson most best selling Albam!
 
Ni kweli kabisa as a Soundtrack waiting to exhale; music zote ni nzuri sana, hata Count on Me, the all music zipo poa...,

kuhusu Godfather yaani kulinganisha na Mtoto wa Al Pacino kufa..., dada yake alivyokuwa anapigwa kaka yake kuuliwa..., and the music is sad makes you feel for the Guy; lakini kuna zile movie themes ambazo ni famous na unique yaani ukisikia tu unajua kwamba hii ni movie fulani
  • Mission impossible
  • MIB
  • Beverly Hill Cop
  • Police Academy
  • ET
  • Ghostbusters
  • Rocky
  • Star Wars
  • Desperado
  • James Bond
  • Chariots of Fire
  • The Bad the Good and the Ugly
Lakini nadhani timing na theme ya movie na ule wimbo wa Godfather was a Perfect Marriage
Sawa sawa! ila umesahau:
  • Indiana Jones
  • Star wars
  • Lord of the ring
  • the bridge on River Kwai na
  • 24 (the series)
  • and of course Titanic
 
Problem yako hapa Eqlypz you have too much knowledge and thus the difference...lol
Mi nachukulia ile sound ambayo hata nikisikia i know kua hio ni movie fulani.. kama ile
ya The Good, The Bad, The Ugly.. What do i call that??
Ile ni theme song/music.. Soundtrack ni regular songs zinazokuwa zinapigwa wakati movie inaendelea mfano kwenye say Transformers 2 Linkin Park's New Divide ni soundtrack Steve Jablonsky's All The Spark (wakati Optimus Prime amepoteza fahamu) ni theme song.

Having said that, composer ninao wazimia ni
Hans Zimmer (Angels and Demons
Danny Elfman (The Kingdom)
Craig Armstrong (Escape one of the all time great theme song)
Clint Mansell (Lux Aeterna all time great)
Steve Jablonsky (All Michael Bay's movies except one)
Vangelis (Braveheart, World Cup 2002 anthem)
and the list goes on.
 
The Gladiator
[video=youtube_share;FgCevpO18t4]http://youtu.be/FgCevpO18t4[/video]
Umenikumbusha wimbo wa Lisa Gerrard Now We Are Free, huu ulitumika kwenye Man on Fire vile vile.
 
Last edited by a moderator:
Hans Zimmer namkubali sana esp. kwenye movie ya The Holiday (2006)..The guy is really great!!..Huo wimbo umenikaa sana 'Maestro'


 
Last edited by a moderator:
Soundtrack nazoona ni nzuri ni;
Harry Potter
Beverly Hills cops
Coming to America
James Bond
Soundtrack ya series ya The Godfather ni nzuri lakini waandaji walichemka mno kwenye ile muvi. Yaani ukisoma novel halafu ungaalia muvi ni utumbo mtupu uliofanyika. Wangeangalia waandaji wa James Bond au muvi nyingine walivyokuwa wanafanya.
 
Soundtrack nazoona ni nzuri ni;
Harry Potter
Beverly Hills cops
Coming to America
James Bond
Soundtrack ya series ya The Godfather ni nzuri lakini waandaji walichemka mno kwenye ile muvi. Yaani ukisoma novel halafu ungaalia muvi ni utumbo mtupu uliofanyika. Wangeangalia waandaji wa James Bond au muvi nyingine walivyokuwa wanafanya.
Mkuu mara nyingi movie zilizoko based kwenye vitabu zinakuwa tofauti kidogo na story ya vitabu kwa sababu ya mambo ya rights, profits etc. Mfano ni Bourne Trilogy kwenye kitabu Jason Bourne alimuoa Marie Kreutz ambaye alikuwa Canadian lakini kwenye movie ni tofauti kabisa.
 
Mkuu mara nyingi movie zilizoko based kwenye vitabu zinakuwa tofauti kidogo na story ya vitabu kwa sababu ya mambo ya rights, profits etc. Mfano ni Bourne Trilogy kwenye kitabu Jason Bourne alimuoa Marie Kreutz ambaye alikuwa Canadian lakini kwenye movie ni tofauti kabisa.

Mkuu haziwi tofauti sababu ya mambo ya rights au profits..., Inakuwa tofauti kulingana na what will make a better movie, Mfano Kwenye Bourne Novels it was all about Carlos Yule Terrorist ambapo at that time kulikuwa na myth kwamba alikuwa untouchable; lakini by the time movie inatoka we knew different about Carlos..., alafu kuna vitu unaweza ukavielezea kwa maneno lakini kuonyesha kwa vitendo it impossible au will take ages...
 
Mkuu haziwi tofauti sababu ya mambo ya rights au profits..., Inakuwa tofauti kulingana na what will make a better movie, Mfano Kwenye Bourne Novels it was all about Carlos Yule Terrorist ambapo at that time kulikuwa na myth kwamba alikuwa untouchable; lakini by the time movie inatoka we knew different about Carlos..., alafu kuna vitu unaweza ukavielezea kwa maneno lakini kuonyesha kwa vitendo it impossible au will take ages...
Mkuu soma interview ya books into movies jamaa anacover everything
Books into Movies: Everything You Need to Know Part 2 « Ask the Agent
 
Mkuu soma interview ya books into movies jamaa anacover everything
Books into Movies: Everything You Need to Know Part 2 « Ask the Agent

Mkuu think about it.., kabla ya kitabu hakijanunuliwa kubadilishwa into script.., Mtu ananunua Rights za hicho kitabu so he can make the book into a movie (sasa wewe umesema kitabu kinakuwa tofauti sababu ya rights na profit) sasa itakuwaje kinakuwa tofauti sababu ya rights wakati umeshanunua rights na kuhusu profits how is that coming into the equation..., lakini if you think about it a book jinsi kilivyoandikwa ni vigumu kuwa turned into a movie..., (a good movie needs a dialogue..) na kuna vitu ambavyo kwenye kitabu it needs pages to make a character different from a movie...,

Sasa basi utaona kwamba mara nyingi kwenye movie huwa wanachukua main idea lakini script inabadilika kutokana na urahisi wa kuweza kuifanyia acting na wanabadilisha scenes nyingi na kuziwekea dialogue (in short they turn a book into a movie)..., Kwenye kitabu mara nyingi huwa ni idea ya main character and what he is thinking and na mara nyingi dialogues huwa ni chache na ni vigumu kutengeneza movie ambayo you in the mind of the main character (knowing what he is thinking) labda kwenye narrative movies na Scrubs.. na Peep Show..,

Kwahiyo naweza kusema kama wangeweza kutengeneza movie exactly the same as the book wangefanya hivyo na kutokufanya hivyo sio sababu hawana copyright au profit yao itapungua Its just the practicability of the issue
 
Back
Top Bottom