NDINDA
Platinum Member
- Apr 4, 2011
- 10,324
- 47,042
mtu huyu anaonekana muhimu yaani hata kumwacha akae kwenye cabin, na ameumia mkono, maguvuguvu tuu wanamlazimisha angate bodi, du, waafrika kweli noma, hasa hao polisi siku huyo akwa kiongzi watakuaje?