Najijua
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 1,039
- 180
wadau sijaona mtu akizungumzia kukamatwa kwa mpambanaji wa ukweli kule Uganda Dr. Col Kizza Besigye, akiwa anatembea toka nyumbani kwake akielekea ofisini. wanadai wamemkamata kwa kosa la kuwata wa Uganda watembee kwenda maofisini ili kuonyesha kupinga kwao ongezeko la bei ya petroli, dizel na mkate huko kwao uganda.
cha kushangaza watanzania tumekaa kimya wakati huu mafuta yanafika zaidi ya sh 2000 za kitanzania.
cha kushangaza watanzania tumekaa kimya wakati huu mafuta yanafika zaidi ya sh 2000 za kitanzania.