Yaani mko ng'ambo badala ya kujadili na kupanga mikakati ya kuja kuliokoa taifa kwa taaluma na mitaji mwapanga kumzomea membe tena basi si kwa vitendo ila maneno 2 hapa jf kama mlivyoahidi kumzomea kaka'ake mende last few weeks ago..., Amin nawaambia mtaporudi mtatukuta na Phd za kuruka fence,kukata vioo,bisbisi na fani nyengine mpaka mtuzoee tutakuwa tumewapunguza vitambi.
Mkuu yako ni kali acha nicheke hadi mbavu zikatike kwa kweli .
Sisi watanzania tuishio mjini New York tumekerwa na kitendo cha waziri wetu wa mambo ya nje huko nyumbani Tanzania mseminaristi aliyepotoka(Bernard Camillius Membe) kwa kitendo chake cha kuunga mkono udikteta wa Ghadaf.
Dunia nzima imeshangazwa na kitendo cha huyu Bwana, sijui karogwa? au ndiyo anataka kura za ndugu zetu wai.....mu? 2015? kwa maana sio jambo la kawaida kwa viongozi wa Tanzania kuunga mkono udikteta kama alivyothubutu.
Sasa sisi watanzania tuliopo hapa tunatoa TAMKO RASMI kuwa Membe asikanyage hapa! kwa maana akitia tu mguu ataipatapata, tunaapa kuwa kabla hiyo ndege atakayopanda haijatua sisi tutaanza kumzomea.
KIFUPI KATUKERA SANA, HATUHITAJI HATA MSAMAHA WAKE
Sisi watanzania tuishio mjini New York tumekerwa na kitendo cha waziri wetu wa mambo ya nje huko nyumbani Tanzania mseminaristi aliyepotoka(Bernard Camillius Membe) kwa kitendo chake cha kuunga mkono udikteta wa Ghadaf.
Dunia nzima imeshangazwa na kitendo cha huyu Bwana, sijui karogwa? au ndiyo anataka kura za ndugu zetu wai.....mu? 2015? kwa maana sio jambo la kawaida kwa viongozi wa Tanzania kuunga mkono udikteta kama alivyothubutu.
Sasa sisi watanzania tuliopo hapa tunatoa TAMKO RASMI kuwa Membe asikanyage hapa! kwa maana akitia tu mguu ataipatapata, tunaapa kuwa kabla hiyo ndege atakayopanda haijatua sisi tutaanza kumzomea.
KIFUPI KATUKERA SANA, HATUHITAJI HATA MSAMAHA WAKE
Yale yale ya Member Mwingereza, na maandamano ya Marekani...
Mtoto wa mtumwa ni mtumwa tu..
Nyinyi si vibaraka wa Marekani tu, si ajabu hata Tanzania huijui. Hao Marekani na NATO wanakudanganya. Ni wauaji, wananyemelea maliasili ya frican resources for Africa. He was sentensed by your Ameracans and NATO because of his just African course.
As for Membe hiyo statement aliyoitoa inawakisha mawazo ya Watanzania minus wapuuzi nyie na wenzako. Kwani kama ni udikteta huo unaofanywa na Marekani na NATO kuutiisha ulimwengu kwa maslahi yao utauitaje.
UMENISIKITISHA KUPINDUKIA KAMA MPO NA WENZIO FIENI HUKO HUKO KWANI HAMANA HATA CHEMBE MOJA YA UAFIRIKAn ACHA UTANZANIA.
Mtakalia hayohayo kulalama kwamba mnaonewa huku wengine wanapiga hatua.Nyinyi si vibaraka wa Marekani tu, si ajabu hata Tanzania huijui. Hao Marekani na NATO wanakudanganya. Ni wauaji, wananyemelea maliasili ya frican resources for Africa. He was sentensed by your Ameracans and NATO because of his just African course.
As for Membe hiyo statement aliyoitoa inawakisha mawazo ya Watanzania minus wapuuzi nyie na wenzako. Kwani kama ni udikteta huo unaofanywa na Marekani na NATO kuutiisha ulimwengu kwa maslahi yao utauitaje.
UMENISIKITISHA KUPINDUKIA KAMA MPO NA WENZIO FIENI HUKO HUKO KWANI HAMANA HATA CHEMBE MOJA YA UAFIRIKAn ACHA
UTANZANIA.
Si bora wangempotezea, walilipa dola mia mbili mia mbili kwa kichwa kwenda kumpigia makofi kwenye kihoteli kilichosheheni mtu.
Kufika kwenye hoteli, listen to this, Kikwete akakuta wamemuandalia nyimbo za mashairi za kumsifu. Cheki video uone watu wazima wanavyomuimbia ngonjera!
Unajua wana home sickness, they have to have the impulse to throw waves and confetti to anything showing up from home, wako uhamishoni wamesha jidatia, lazima u sympathize nao.
madictator mnao huko marekani sio afrika, kati ya bush na gadafi nan dictator? Au kwa kuwa unafanya hizo kazi za kuosha magari ya babylon basi unajiona na ww tayari ni mzungu? Umefilisika. Nakuomba ujikwamue kutoka katika utumwa wa fahamu, usirudi bongo tutaua kibaraka mkubwa weee
ametukera mno hata sisi tulioko tanzania. Sina urafiki na dikteta kama ghadafi na idd amin. Mumzomee huyo kibaraka wa ghadafi. Anatia aibu membe. Well done nato.sema amekukera, utafiti gani uliofanya na kugundua kuwa wenzako nao wamekerwa. Acha kuwasilisha mawazo yako kama ya watu wote.
Hata huko marekani mnaishi kwa magendo hivyo hamuwezi kumpinga marekan. Udikteta wa gaddaf unazid huo wa hao marekani, wauaji. Acha hizo. Umenikera sana.
Si bora wangempotezea, walilipa dola mia mbili mia mbili kwa kichwa kwenda kumpigia makofi kwenye kihoteli kilichosheheni mtu.
Kufika kwenye hoteli, listen to this, Kikwete akakuta wamemuandalia nyimbo za mashairi za kumsifu. Cheki video uone watu wazima wanavyomuimbia ngonjera!
Unajua wana home sickness, they have to have the impulse to throw waves and confetti to anything showing up from home, wako uhamishoni wamesha jidatia, lazima u sympathize nao.