Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,834
- 155,781
kumbe ukiwa muhuni na wewe unakutana na wahuni wenzako
we unamaanisha nini inamaana unawaambiwa vijana wa Mbeya dis time wamchape wakubembea konde! Huwatakii mema nathani watadondoka watu na itakuwa Breaking news duniani humu au itakuwa-silenced au atashikishwa mtu bastola kama kisingizio cha assasination attempt!Tusubiri tusikie habari zaidi, huwenda kama nchi tutakuwa na la kujifunza. Nyakati fulani wanyonge huwa na namna yao ya kuwafundisha viongozi wao.
tehteeee
na huku kwetu ajitokeze mtu naye afanye hii itakuwa safi sana
Kuna namna nyingi za kuonyesha kutopendezwa na Utawala wa aina furani.
1. Kutumia Mdomo - Kukemea, kusema n.k
2. Kutumia Mkono, kupiga kuzuwia n.k
3. Kunyamaza na kuumia moyoni (ambayo wataalam wanasema ni udhaifu)
Bado Jakaya Mrisho Kikwete na akina Makamba!Bado Maximo sasa!
Mwakani tujiandae, tutasikia na kuona mengi, si tumekubali dunia sasa kijiji? Sipati picha kampeni zitakuwaje
Mwinyi alivyochapwa kibao watu wengi humu mlikuja juu mkisema kuna baadhi ya watu hawafanyi kazi zao ipasavyo, hapa je mnasemaje?
Mwinyi alivyochapwa kibao watu wengi humu mlikuja juu mkisema kuna baadhi ya watu hawafanyi kazi zao ipasavyo, hapa je mnasemaje?
Yatokee mara ngapi? Mzee Mwinyi si alipigwa pale Diamond?Mungu na aepushie mbali vitendo kama hivi, maana na hisi sikumoja haya yatatokea Tanzania
Mungu na aepushie mbali vitendo kama hivi, maana na hisi sikumoja haya yatatokea Tanzania