naombeni mlioenda kutibiwa india mniambie kati ya nauli na malipo pale appolo ni ipi kubwa?
baada ya hapo nitajua nani juha kati ya babu na mteja.
Mleta mada naamini haelewi kuwa sasa hivi Babu anapata wageni wengi sana wa nchi za mbali!
Haya maneno ya gazeti ni ya kutunga ili kuuza!