Gurudumu
JF-Expert Member
- Feb 5, 2008
- 2,349
- 261
Kwenye hii article Home
ameandika kwa urefu sana lakini angeweza kusema mambo hayo yote kwenye ukurasa mmoja tu. Anazunguka mno na kurudia kauli au wazo. Kisha amevunja sana lugha ya Malkia, ni aibu kwa sababu yeye ni mkuu wa kitivo cha chuo kikuu. Maeneo fulani fulani katumia maneno ya kabila lake, siyo ya lugha ya Malkia. Wanafunzi wake wataandikaje kama yeye mwalimu wao mkuu ndivyo anavyoandika na kufikiri?
ameandika kwa urefu sana lakini angeweza kusema mambo hayo yote kwenye ukurasa mmoja tu. Anazunguka mno na kurudia kauli au wazo. Kisha amevunja sana lugha ya Malkia, ni aibu kwa sababu yeye ni mkuu wa kitivo cha chuo kikuu. Maeneo fulani fulani katumia maneno ya kabila lake, siyo ya lugha ya Malkia. Wanafunzi wake wataandikaje kama yeye mwalimu wao mkuu ndivyo anavyoandika na kufikiri?