Kitendo cha Beno Malisa kutogombea tena uongozi ndani ya UVCCM kulingana na mazoeya ya viongozi wengi wa CCM ni dalili tosha ya kuwa kijana huyu ni mjanja na anajua kusoma alama za nyakati. Naamini kijana huyu amegundua kuwa CCM haiponi tena na amekwepa asiwe mmoja ya ambao CCM itawafia mikononi. Hongera Beno kwa maono ya mbali.