Beno Malisa umeona mbali hongera

Joblube

JF-Expert Member
Mar 4, 2011
369
151
Kitendo cha Beno Malisa kutogombea tena uongozi ndani ya UVCCM kulingana na mazoeya ya viongozi wengi wa CCM ni dalili tosha ya kuwa kijana huyu ni mjanja na anajua kusoma alama za nyakati. Naamini kijana huyu amegundua kuwa CCM haiponi tena na amekwepa asiwe mmoja ya ambao CCM itawafia mikononi. Hongera Beno kwa maono ya mbali.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom