Beno malisa kuwa mshauri wa e maige tangu lini jamani???

BASIASI

JF-Expert Member
Sep 20, 2010
9,735
5,003
Mbona kikwete unajitia aibu jamani...hivi huyu beno amechaguliwa kama mshauri wa e maige waziri wa maliasili
tangu lini jamani..yaani kukaa na vikao vyenu vya pombe mnaamka asbh ama wake zanu wamewapenda vijana
wanashauri chagueni huyu jamani jamani mnatupeeleka enzi za ....mbona hivi
malisa anajua nini kuhusu sekta ya vitalu vya uwindaji.....mmhh nchi hii kazi ipo
 
Tunaishi kwa kutoambiana ukweli na uoga uliokithiri..! matokeo yake ndo hayo
 
Back
Top Bottom