Kilasara
JF-Expert Member
- Dec 21, 2008
- 577
- 116
Benno Malisa,
Inaonekana unataka kuendeleza yale mauaji ya Mwana-Chadema Mbwambo yaliyofanyika Usa River baada ya CCH kuaibishwa na ushindi wa CDM Arumeru. Wanachama wako wa UVCCM wenye kuenda na wakati wanatimkia Chadema na inafaa utulie na kutafakari mustakabali wa chama chako na Tz kwa jumla.
Inaonekana unataka kuendeleza yale mauaji ya Mwana-Chadema Mbwambo yaliyofanyika Usa River baada ya CCH kuaibishwa na ushindi wa CDM Arumeru. Wanachama wako wa UVCCM wenye kuenda na wakati wanatimkia Chadema na inafaa utulie na kutafakari mustakabali wa chama chako na Tz kwa jumla.