vijana wapi! hivi nchi hii ina vijana wa CCM kweli! kama kuna sehemu hapa Mwanga hata vijana wa kuwabambikia uongozi ngazi ya Tawi wamekosakana hao anaowataja benno ni wapi! labda hao alioko nao Dodoma. Lakini sidhani kama kuna kijana mwenye akili timamu alieopo bado ni mwa uvccmHapo kwenye red: Beno Malisa anasema nini? Nji yoyote maana yake nini? Igunda wamepotea watu, Arumeru wamechinjwa, wabunge wa CHADEMA wamevamiwa huko Mwanza. Je, wananchi wa Tanzania waendelee kuamini kuwa serikali ya CCM bado inayo nia na dhamira ya kutunza amani nchini? Usalama wa raia na mali zao ukoje?
Kaimu mwenyekiti wa UVCCM Benno Malisa amekishambulia kwa maneno makali chama CDM kwa madai kuwa kimekuwa kikiisakama serikali ya chama chake.
Akifungua kikao cha baraza kuu la UVCCM huko Dodoma amesema wapinzani ni wadanganyifu wakubwa na muda wao wa kutamba majukwaani umefika mwisho.Katika hali ya kushangaza Malisa aliwataka vijana baada ya kikao chao wajibu vikali mapigo ya upinzani kwa njia yoyote watakayoona inafaa kwa kile alichodai uvumilivu wake umefikia mwisho.
Source:Mwananchi
jifunze kusoma kwa makini kabla ya kuchangia.WAPI KAITAJA CDM HAPO? huku ndio kuweweseka.
Kaimu mwenyekiti wa UVCCM Benno Malisa amekishambulia kwa maneno makali chama CDM kwa madai kuwa kimekuwa kikiisakama serikali ya chama chake.
Akifungua kikao cha baraza kuu la UVCCM huko Dodoma amesema wapinzani ni wadanganyifu wakubwa na muda wao wa kutamba majukwaani umefika mwisho.Katika hali ya kushangaza Malisa aliwataka vijana baada ya kikao chao wajibu vikali mapigo ya upinzani kwa njia yoyote watakayoona inafaa kwa kile alichodai uvumilivu wake umefikia mwisho.
Source:Mwananchi
Aisifie.asiisifie mwenyewe kaona kwamba ngoma imepasuka.There is no point of return.Hivi tuwe wakweli, tulitegemea Benno aisifie chadema?
Aisifie.asiisifie mwenyewe kaona kwamba ngoma imepasuka.There is no point of return.
aiseeView attachment 55364malisa? I cant comment about that 'she'.