Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,287
- 10,842
- Thread starter
- #21
Nakubaliana nawe mkuu. 16% kwa mwaka ndo almost viwango vinayotumiwa na mabenki kukopesha watu japo vinaenda hadi 24 %. Sasa ukiweka risks na gharama za uendeshaji haiwezekani yakatoa 16 % kwa fixed accounts yatafilisika. Hiyo benki aliyosema ya Exim inatoa 3.5 % tu kwa miezi mitatu kwa kiwango cha pesa kinachozidi milioni 50.
Asante kwa mchango wako.