Benki ya Posta!

benki ya hovyo
1. Very poor customercare
2. Ukifungua akaunti tegemea kupata atm card baada ya miezi sita
3.mkopo ni hadi upitishe mshara mmoja kwao
4.uzuri wao hawana foleni ndeeeeeeeeefu km nmb na crdb
5.hawapo mikoa yote na baadhi ya mikoa waliopo hawana ATM mashine so ukisafiri mikoani cha kufanya ni kuchek kwanza kama atm ipo ili uchukue mzigo mapema. Mkoa mmoja wapo wenye tawi bila atm ni Iringa

1. Namba moja nakuunga mkono kiasi fulani, Kastama kea kweli ni kimeo hasa dada mmoja alikuwa pale tawi lao la ubungo plaza, siku hizi simuoni nadhani alitimuliwa, kuna siku alinichefua sana nikamuambia nitafunga akaunti yangu akadai haimuhusu. lakini nadhani alifukuzwa kazi yule.
2.Namba mbili nasita kukuunga mkono. Nina mkopo nao wale lakini sijawahi kupitishia mshahara wangu kwao.
 
TPB POPOTE ni huduma nzuri.....hapa ndo natafuta nimesahau ile namba ya meseji......CUSTOMER CARE kwa kweli ni POOR ....mimi sisingizii....ni kweli no customer care at all
 
Nakushauri ufikirie Barclays Bank & Stanchart Kama utaenda Mkoa si utakuwa na Visa Card?? Hapa naongelea kuepukana na mifoleni mirefu
 
Nakushauri ufikirie Barclays Bank & Stanchart Kama utaenda Mkoa si utakuwa na Visa Card?? Hapa naongelea kuepukana na mifoleni mirefu
Nitajaribu hii kama hakuna usumbufu.
 
NBC ipo poa.
Vipi exim wadau?
Hivi kuna watu binafsi wenye account citi bank?
 
TPB-ninao tangia 1997,a/c ya kitabu, baadae ya kadi nikaja nao uhuru card, sasa umoja switch. Nimepata huduma zao karibu nchi nzima. Kwa wenye mishahara c lazima ipitie kwao na within 2 weeks unapata mkopo. Jamaa zangu wa2 walikiri hilo. Huwa naitumia kurundika pesa zangu huko. Nikizitaka nachukua kwa upole kabisa bila foleni na kwa heshima kubwa. Ni hayo 2.
 
TPB-ninao tangia 1997,a/c ya kitabu, baadae ya kadi nikaja nao uhuru card, sasa umoja switch. Nimepata huduma zao karibu nchi nzima. Kwa wenye mishahara c lazima ipitie kwao na within 2 weeks unapata mkopo. Jamaa zangu wa2 walikiri hilo. Huwa naitumia kurundika pesa zangu huko. Nikizitaka nachukua kwa upole kabisa bila foleni na kwa heshima kubwa. Ni hayo 2.
Kwa kipindi hicho labda hawakuwa na usumbufu hasa ishu ya customer care. Siku kuulizia tu ishu zao za kibenki tatizo!
 
Stanbic kaka mi naona ndo bora,muhimu upate Visa kadi ambayo unaweza kufanza mambo kwenye benki kama CRDB,NBC,Stanchart,Exim,.
Tatizo ni kuwa hii benki ipo mikoa michache tu kama Kilimanjaro ,Arusha,Mbeya na Mwanza
 
Mimi imebidi niwe mpole.....CUSTOMER CARE 12%.....ila nilichogundua...wafanyakazi ni mzigo ila utawala wana nafuu...akitokea manager unaona jinsi wanavyowajibu vizuri wateja...akiondoka utawaona wanaangaliana na kukonyezana....hapo sasa kazi inaanza....! THERE MUST BE STH.......HUJUMA...POSTA MNAHUJUMIWA...NA KIKULACHOOOOO....!
 
Achana na benki hiyo wakati mwingine hawana fedha,na shida kwenye MIKOPO maafisa wake ni waizi sana!
 
Back
Top Bottom