Hiyo benki ni kichefu chefu.me nilikuwa huko nikatoka sasa hivi nimeamua kuwa mwanaharakati huru,hiyo siyo benki tatizo ina mameneja wa matawi wameishia form four afu ni vilaza,vijana wanawazidi maarifa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.