Benki ya Dunia yatoa mikopo ya nyumba ya Sh50 bilioni

Hakuna kitu hapo, hizo pesa zitaishia kwenye mifuko ya watu wachache tu, na mzigo wake tutaubeaba walala hoi.naona pesa hizo ni maalumu kwa kampeni ya CCM, hakuna nyumba wala nini!.ni usanii ule ule tuliouzoea.
 
sasa naona haya ndio aliozungumzia Game Theory kwenye issue ya ufisadi wa kumchagua yule ceo nhc.mambo yamekamilika bilioni 51 hio watu udenda unawatoka.
 
Yes Ni Mkopo!

Kuna watu walikua wameshachanganya na msaada

Pia management yake inabidi iwe wise kuhakikisha kweli mkopo huo unatumika kwa malengo yaliyokusudiwa na pia unatoa faida in the long run

Halafu gharama za huo mkopo ni nini by the way?

Kaka ukizungumza fikiria kama uko tanzania usifikirie uko nje ya tanzania. Jiulize ni mikopo mingapi Tanzania imechukua imeleta natija kwa Tanzania. Tunasikia tumekopesha bilioni 20 kwa ajili maendeleo ya technolojia, mara tumekopeshwa bilioni 10 kuendeleza miradi ya maendeleo, mara tunakopeshwa kwa ajili ya pembejeo.

Swali je hizo pesa zimefanikisha maendeleo mangapi au maendeleo ni kubadilisha magari ya miradi (mfano tuna malandcruiser ya 2010 katika miradi sijui yanafanya nini? yale ya zamani yameenda wapi?). usimamizi wa miradi upo? na kama upo je miradi iliyofanikiwa mingapi? au ndio pesa zinaishia nusu katika mifuko ya watu??? Halafu taifa linaishia kulipa deni maendelo hakuna
 
Mmeshachelewa.. tayari hii habari ilishaanza kufanyiwa kazi tangu end o the year last year baada ya taarifa kutoka. Tayari makampuni mapya ya Real Estate yameshasajiliwa na contact za Benki Kuu zimeshawekwa na miongoni mwa wenye makampuni hayo makubwa ni wale walioko kwenye serikali ya sasa.. kama mnafikiri Mkapa na mwenza wake wana control real estate mtakoma mwaka huu!!
 
Mmeshachelewa.. tayari hii habari ilishaanza kufanyiwa kazi tangu end o the year last year baada ya taarifa kutoka. Tayari makampuni mapya ya Real Estate yameshasajiliwa na contact za Benki Kuu zimeshawekwa na miongoni mwa wenye makampuni hayo makubwa ni wale walioko kwenye serikali ya sasa.. kama mnafikiri Mkapa na mwenza wake wana control real estate mtakoma mwaka huu!!

Uwii!!!
 
Mmeshachelewa.. tayari hii habari ilishaanza kufanyiwa kazi tangu end o the year last year baada ya taarifa kutoka. Tayari makampuni mapya ya Real Estate yameshasajiliwa na contact za Benki Kuu zimeshawekwa na miongoni mwa wenye makampuni hayo makubwa ni wale walioko kwenye serikali ya sasa.. kama mnafikiri Mkapa na mwenza wake wana control real estate mtakoma mwaka huu!!
hii tabia haitaisha kwa vile hakuna mtu anayechukuliwa hatua yoyote.kwanini watu hawachukuliwi hatua? kwa vile hakuna msafi wa kumchukulia hatua mwenzake.
 
Naona wanajifikiria badala ya kuchota 30% au 20% ya hizo hela labda wachote 10%- 15%

Naona wanahaha kufikiria ni njia gani watacheza faulo bila sisi watazamaji kuona wanaanza kuona. Maana miwani ya jua waliyutupa kutazamia tuemeweka pembeni.

Naona JF imemuanika REFA( CEO) na sasa kazi ya kuwapa WALE ushindi sio rahisi sana.

Watazamaji tusilale hata kuzomea pale refa atapochemsha kunasaidia. na Refa akichezesha kwa haki tumpe hongera zake.
 
Rai yangu hizi pesa zitumike kama ilivyopangwa.Zisiwe allocated to other activities na kutoa excuses kibao.Fedha ziwafikie beneficiries.
 
Mmeshachelewa.. tayari hii habari ilishaanza kufanyiwa kazi tangu end o the year last year baada ya taarifa kutoka. Tayari makampuni mapya ya Real Estate yameshasajiliwa na contact za Benki Kuu zimeshawekwa na miongoni mwa wenye makampuni hayo makubwa ni wale walioko kwenye serikali ya sasa.. kama mnafikiri Mkapa na mwenza wake wana control real estate mtakoma mwaka huu!!

Watakapogundua hili liinchi linavyoliwa ndio watakapojua kwamba madudu ya che-Nkapa ni cha mtoto. Ka-nchi bado kanaendelea kunuka rushwa na uvundo wake unanuka hadi NY.
 
Mmeshachelewa.. tayari hii habari ilishaanza kufanyiwa kazi tangu end o the year last year baada ya taarifa kutoka. Tayari makampuni mapya ya Real Estate yameshasajiliwa na contact za Benki Kuu zimeshawekwa na miongoni mwa wenye makampuni hayo makubwa ni wale walioko kwenye serikali ya sasa.. kama mnafikiri Mkapa na mwenza wake wana control real estate mtakoma mwaka huu!!

Kwakweli inakatisha tamaa..........tutafika tu
 
Mmeshachelewa.. tayari hii habari ilishaanza kufanyiwa kazi tangu end o the year last year baada ya taarifa kutoka. Tayari makampuni mapya ya Real Estate yameshasajiliwa na contact za Benki Kuu zimeshawekwa na miongoni mwa wenye makampuni hayo makubwa ni wale walioko kwenye serikali ya sasa.. kama mnafikiri Mkapa na mwenza wake wana control real estate mtakoma mwaka huu!!
Tanzania na ulimwengu wa siloviks, ambao Bolis Yetsin aliutengeneza baada ya kuanguka kwa USSR. Ni family yake tu na wapambe ndio walionekana kujua biashara. Wabunge na wapinzani walikuwa wanahongwa ili kumpamba rais huyu .
Yaani watu wale wale tu kila kona.Ipo siku haya yatafika mwisho.
 
wait for the exclusive story inayokuja next week... hawa watu watakula hili taifa kama mchwa kwenye nyumba.. Kama nyumba affordable ni kama za Gavana na Manaibu wake.. sijui mtasemaje..

Serikali hii hii imeacha kina Yona wajitoe kwenye mradi wa Wamarekani ambao walitaka kuja kujenga nyumba 5000 within 2 years kwa sababu wamesikia dili hii mpya..

don't get me started...
 
Hawa WB wanachekesha kweli! Yaani hadi leo hawajajua kuwa hii mikopo haifiki kokote? Hawana nia ya kutusaidia kabisa hao, ni biashara tu.
 
Hawa WB wanachekesha kweli! Yaani hadi leo hawajajua kuwa hii mikopo haifiki kokote? Hawana nia ya kutusaidia kabisa hao, ni biashara tu.

We jiulize kwanini mabenki yote ulaya yanakuwa in one way or another involved na african countries particularly in conflict areas. The biggest business for these guys ni interest nchi maskini zinalipa katika mikopo yao na rasilimali zetu. Sasa kwakuwa wanajua fika kwamba zile si lolote wala si chochote wanamezea mate na kuuchuna huku wao wanavuta faida.

Wakiona wazawa tumeng'aka sana wanajidai kutingisha kiberiti baadae wanawaachia. Wanafahamu Tanzania ina report mbovu ya utawala bora wametoaje mikopo kama hii??
 
Kwa wale wanaojua magari mazee ni kwamba inafika mahali kila unapogusa ni pabaya. Inabidi kulibadilisha, sio kulikarabati.

Hapa tulipo serikali ya CCM haikarabatiki, kwani kila mahali pameoza. Ni ya kubadilisha. Inatumia wananchi masikini kuomba mikopo ya kuwanufaisha wakubwa tu!

Tunao uchaguzi mwaka huu. Tukichagua tena CCM basi tuwe na uhakika wa kuendelea na hali ya sasa, au hata hali mbaya zaidi. Tukitaka kubadilika, lazima kubadilisha serikali. Imewezekana huko Zambia na kwingineko, kwanini ishindikane kwetu?

Hakuna Mtanzania yoyote masikini ambaye hali yake itabadilika awe na nyumba kama tutaendelea na serikali ya sasa. Hata tukikopa wapi ni bure tu.
 
BENKI ya Dunia (WB) imeidhinisha Tanzania kupatiwa mkopo wa dola za Marekani 40 milioni sawa na zaidi ya Sh52 bilioni ili kufanikisha mradi wa ujenzi wa nyumba za kisasa kwa ajili ya Watanzania wenye kipato cha chini.

Benki hiyo, iliidhinisha fedha hizo mjini Washington, Marekani jana na kueleza kwamba zimetolewa na Shirika la Kimataifa la Maendeleo (Ida).

Chombo hicho cha fedha duniani kilisambaza taarifa kwa vyombo vya habari jijini Dar es Salaam jana.

Kwa mujibu wa taarifa hiyo, mradi huo utajenga nyumba za kisasa ili Watanzania wa kipato cha chini ambao mara nyingi wamekuwa wakishindwa kupata mikopo benki kwa sababu hawana mali isiyohamishika.

"Lengo la mradi huo ni kuwajengea uwezo wananchi, kuwawezesha kumiliki na kuishi kwenye nyumba bora," inaeleza sehemu ya taarifa hiyo.

Msukumo mwingine wa kuidhinisha mabilioni hayo,

Taarifa hiyo, inaeleza kwamba benki ya dunia, iliidhinisha fedha hizo, kwa sababu wakazi wengi katika maeneo ya mijini, wanakabiliwa na matatizo ya makazi.

Inaeleza kwamba watu wengi wana matatizo ya makazi kutokana na kasi kubwa ya ongezeko la watu mjini na kusababisha ujenzi wa makazi holela bila kufuata utaratibu kwenye maeneo ambayo hayajapimwa.

"Kwa kuupa uwezo mradi wa ujenzi wa makazi, mkopo huu utawezesha wananchi uwezo wa kujiajiri wenyewe, kuongeza nafasi za ajira na hatimaye kuimarisha uchumi na kupunguza umasikini," alisema Mkurugenzi wa WB katika nchi za Uganda, Burundi na Tanzania, John Murray McIntire kwenye hafla ya kuidhinisha fedha hizo.

Source: Mwananchi.

Niliwahi kusema nyuma kuwa nilimsikia mshkaji akinambia jamaa (Nehemia Mchechu) aliteuliwa NHC aje kulisimamia hili dili naona mwezi unaandama pesa hizo zaja best wishes mzee. Tunasubiri kuona hizo nyumba za maskini zitakazojengwa.

Kwa kweli inatia masikitiko na mshangao kwani haijapita hata muda tangia kijana achaguliwe (MCHECHU) THEN yaliyotabiriwa yanatimia ya hela za uchaguzi. tulidhani kijana anaenda NHC kuondoa ufisadi na wizi uliojaa kumbe anaenda kuendeleza jahazi. wako wapi wanolinda maslahi ya umma?
 
dili kama kawaida mwenye nacho ndo uongezewa hiyo ndo fomula habari ndo hiyo
 
Back
Top Bottom