PauloKichaa
Senior Member
- Jun 6, 2011
- 122
- 39
Kumbe umesoma sana mh hongera, elimu yako inasaidiaje wakazi wa nzega jimboni kwako na mfumuko wa bei wa 19%?
Ukiongelea elimu, hapa sahau tu boss, maana ninauwezo wa kusoma kitu chochote na ku-excel FYI sasa hivi nipo kwenye mchakato wa ku-rejista Ph.D ya Uchumi, sijui na hapo utasemaje
jibu hoja ya janjaweed na sio kujisifia.Tatizo watu wengi ni wavivu wa kusoma, sina shaka hamkufika mwisho mwa post yangu...maana comments zinazotoka ni tofauti kabisa na mtazamo nilioutoa kwenye post yangu. Anyways kalagabaho
Pia kale kautaratibu kakumuattack mtu aliyeandika hoja badala ya hoja yenyewe kanaonesha utoto na uwezo mdogo wa kujadili mambo...
Sikusomea MBA yangu Mzumbe, nimesoma nje na nimesoma program intense na yenye uwezo mkubwa wa kuniandaa kuwa analyst mzuri kuliko wengi mnavyofikiria. SIkujiandaa kuwa Meneja hospitalini wala popote, nilisoma ili kuwa meneja wangu mwenyewe...mind you 'I am an entrepreneur!'
Ukiongelea elimu, hapa sahau tu boss, maana ninauwezo wa kusoma kitu chochote na ku-excel FYI sasa hivi nipo kwenye mchakato wa ku-rejista Ph.D ya Uchumi, sijui na hapo utasemaje
Dr. samahani acha kujaji watu wrongly eti hawajasoma post yako mpaka mwisho...ACHA HIZO..Post yenyewe mistari michache mtu makini esp. GREAT THINKERS IN JF ashindwe kusoma hivyo vimistari!!!!!!!!!!! aaahhhhhhhhh!!!!!!! Dr. ona soni walau kidogo.Tatizo watu wengi ni wavivu wa kusoma, sina shaka hamkufika mwisho mwa post yangu...maana comments zinazotoka ni tofauti kabisa na mtazamo nilioutoa kwenye post yangu. Anyways kalagabaho
Pia kale kautaratibu kakumuattack mtu aliyeandika hoja badala ya hoja yenyewe kanaonesha utoto na uwezo mdogo wa kujadili mambo...
Sikusomea MBA yangu Mzumbe, nimesoma nje na nimesoma program intense na yenye uwezo mkubwa wa kuniandaa kuwa analyst mzuri kuliko wengi mnavyofikiria. SIkujiandaa kuwa Meneja hospitalini wala popote, nilisoma ili kuwa meneja wangu mwenyewe...mind you 'I am an entrepreneur!'
Ukiongelea elimu, hapa sahau tu boss, maana ninauwezo wa kusoma kitu chochote na ku-excel FYI sasa hivi nipo kwenye mchakato wa ku-rejista Ph.D ya Uchumi, sijui na hapo utasemaje
Tatizo watu wengi ni wavivu wa kusoma, sina shaka hamkufika mwisho mwa post yangu...maana comments zinazotoka ni tofauti kabisa na mtazamo nilioutoa kwenye post yangu. Anyways kalagabaho
Pia kale kautaratibu kakumuattack mtu aliyeandika hoja badala ya hoja yenyewe kanaonesha utoto na uwezo mdogo wa kujadili mambo...
Sikusomea MBA yangu Mzumbe, nimesoma nje na nimesoma program intense na yenye uwezo mkubwa wa kuniandaa kuwa analyst mzuri kuliko wengi mnavyofikiria. SIkujiandaa kuwa Meneja hospitalini wala popote, nilisoma ili kuwa meneja wangu mwenyewe...mind you 'I am an entrepreneur!'
Ukiongelea elimu, hapa sahau tu boss, maana ninauwezo wa kusoma kitu chochote na ku-excel FYI sasa hivi nipo kwenye mchakato wa ku-rejista Ph.D ya Uchumi, sijui na hapo utasemaje
kuna vitu vingine huihitaji kusomea uchumi ndo uelewe
yaani kutoka aslimia 19.8 mpaka asilimia 19.4...hata form four mwenye akili
hawezi kuita 'mafanikio'....let alone mbunge mwenye MBA...
huyu jamaa ana raise maswali meengi kumhusu yeye kuliko anachozungumza