Riba inaweza kuwa ndogo lakini facility fees zikawa zipo juu. Pia inategemeana na aina ya mkopo unaoutaka. Je, ni personal loan, term loan, overdraft facility, vehicle loan, house loan, LC's ? Hiyo ni baadhi tu ya mikopo ambayo gharama zake zinatofaitiana sana kwa kila benki.
kuna ndugu yangu amekopa benki flan hapa jijin tshs. 2.8milion kwa miezi 60 anatakiwa kurudisha milioni 10.5 wakati makato ya kila mwezi ni kama 176,000, je hapa ni njia gani imetumika kufanya calculation ya riba?
kuna ndugu yangu amekopa benki flan hapa jijin tshs. 2.8milion kwa miezi 60 anatakiwa kurudisha milioni 10.5 wakati makato ya kila mwezi ni kama 176,000, je hapa ni njia gani imetumika kufanya calculation ya riba?
kuna ndugu yangu amekopa benki flan hapa jijin tshs. 2.8milion kwa miezi 60 anatakiwa kurudisha milioni 10.5 wakati makato ya kila mwezi ni kama 176,000, je hapa ni njia gani imetumika kufanya calculation ya riba?
nenda NMB.....
Nilichukua 1.8 million kwa miaka mitatu na nimelipa 2.25 milion
Ukienda Bayport, Platinum na kwimginekookkkkkk
au nenda Zanzibar kuna benk ya kiislam inatoa mkopo.......bila interest charge!!"''''