nimekua nikitumia crdb kulipia vitu online, lakini nimepata matatizo mara kadhaa, kila inapotokea shida na pesa kurudihwa basi ujue hiyo ndo imekula kwako, mfano ukinunua kitu ebay, badae seller anasema hatoship tanzanzania na anaamua kurefund pesa yote, ujue hiyo pesa ndo imepotea, ukicheck statement ya, say paypal, amabyo mi natumia unaona kweli pesa imerudishwa lakini hiyo pesa hautaina kamwe kwenye account yako
sasa, ni benki gani nzuri (ambayo mdau ametumia services zake na anarecomend) kwa kushop online?
sasa, ni benki gani nzuri (ambayo mdau ametumia services zake na anarecomend) kwa kushop online?