CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,358
- 6,422
Naona sasa ameibukia Bima ya Afya. Bado tunalia na wewe. Mwalimu alikukabidhi nchi uitunze, ukaihujumu kwa kutuibia. Umeuza nchi, hatuna nchi, wala lolote. Mwalimu anakusubiri akuulize!!!!
Chuakachara wewe si mkweli na si mjuzi wa mambo. BWM ndiye aliyesimamisha imara uchumi huu ambao nyinyi nyote including CDM na awamu CCM ya 4 manafaidi. Azimio la Arusha kwenye awamu ya 1 liliua uchumi katika utaifishaji wa mtaji binafsi, soko huria lililofuata wakati wa awamu ya pili liliua kabisa uchumi. Leo hii makampuni yanayoongoza katika kulipa kodi na kuajiri waTanzania wengi ni yale yaliyouzwa wakati wa BWM. Big respect to Ben
We wasema!! Mkapa yupo kwenye list of SHAME!!! Uchumi sawa uliimarika but at the expense of kuuza nchi kwa wageni!! Wapi benki zetu, NBC ilikuwa na tatizo gani etc. Wapi Kiwira, wapi nyumba za serikali etc. We wasema!!!!!!!!!!!!!
We wasema!! Mkapa yupo kwenye list of SHAME!!! Uchumi sawa uliimarika but at the expense of kuuza nchi kwa wageni!! Wapi benki zetu, NBC ilikuwa na tatizo gani etc. Wapi Kiwira, wapi nyumba za serikali etc. We wasema!!!!!!!!!!!!!
Kuonesha jinsi gani alivyowapenda wananchi wake, katujengea uwanja bora wa soka ukiwa ni mmoja mzuri sana barani africa mpaka DR Congo wametuiga kujenga uwanja kam wetu huko kwao. Benja, katuletea TRA,UDOM yenye kumeza 35,000 students, kajenga secondari nyingi sana, huyo nyerere kafanya nini si kama si kusimika azimio la arusha tuu. Hongera sana Benja, mungu akubaliki na akulinde leo kesho na keshokutwa. amina.
Chuakachara wewe si mkweli na si mjuzi wa mambo. BWM ndiye aliyesimamisha imara uchumi huu ambao nyinyi nyote including CDM na awamu CCM ya 4 manafaidi. Azimio la Arusha kwenye awamu ya 1 liliua uchumi katika utaifishaji wa mtaji binafsi, soko huria lililofuata wakati wa awamu ya pili liliua kabisa uchumi. Leo hii makampuni yanayoongoza katika kulipa kodi na kuajiri waTanzania wengi ni yale yaliyouzwa wakati wa BWM. Big respect to Ben
Uchumi kauuwa Nyerere pale azimio lake la Arusha. Mkapa kiuchumi kafanya vizuri kuiko raisi yeyote aliyewahi kutawala Tanzania. Nyerer alikuwa anti west and anti-semites, hizo sifa raiasi akiwa nazo hawezi kabisaa kujenga uchumi. Kenyatta alikuwa pro west west na Frend of Israel, ona alivyowajengea maisha bora wakenya.
Komeni kabisaa kumtwika makosa ya nyerer mkapa ili hali mkiogopa kumsema vibaya nyerere ingawa naye kafanya mauzi kupita kiasi. wewe kuwanyang'anya hati miliki wanamuziki wa kitanzania wakati wanamuziki hao walijiajiali wenyewe kwa vipaji vyao, ni kitendo kizuri hicho alichokifanya nyerere? mbona nalo hilo jhamsemsemi ila kila kukicha mkapa eti kauza nchi.
Kuonesha jinsi gani alivyowapenda wananchi wake, katujengea uwanja bora wa soka ukiwa ni mmoja mzuri sana barani africa mpaka DR Congo wametuiga kujenga uwanja kam wetu huko kwao. Benja, katuletea TRA,UDOM yenye kumeza 35,000 students, kajenga secondari nyingi sana, huyo nyerere kafanya nini si kama si kusimika azimio la arusha tuu. Hongera sana Benja, mungu akubaliki na akulinde leo kesho na keshokutwa. amina.
Uchumi kauuwa Nyerere pale azimio lake la Arusha. Mkapa kiuchumi kafanya vizuri kuiko raisi yeyote aliyewahi kutawala Tanzania. Nyerer alikuwa anti west and anti-semites, hizo sifa raiasi akiwa nazo hawezi kabisaa kujenga uchumi. Kenyatta alikuwa pro west west na Frend of Israel, ona alivyowajengea maisha bora wakenya.
Komeni kabisaa kumtwika makosa ya nyerer mkapa ili hali mkiogopa kumsema vibaya nyerere ingawa naye kafanya mauzi kupita kiasi. wewe kuwanyang'anya hati miliki wanamuziki wa kitanzania wakati wanamuziki hao walijiajiali wenyewe kwa vipaji vyao, ni kitendo kizuri hicho alichokifanya nyerere? mbona nalo hilo jhamsemsemi ila kila kukicha mkapa eti kauza nchi.
Kuonesha jinsi gani alivyowapenda wananchi wake, katujengea uwanja bora wa soka ukiwa ni mmoja mzuri sana barani africa mpaka DR Congo wametuiga kujenga uwanja kam wetu huko kwao. Benja, katuletea TRA,UDOM yenye kumeza 35,000 students, kajenga secondari nyingi sana, huyo nyerere kafanya nini si kama si kusimika azimio la arusha tuu. Hongera sana Benja, mungu akubaliki na akulinde leo kesho na keshokutwa. amina.
NBC ya sasa ni bora kuliko ile ya miaka ya 1967- 1997 kwa kuwa sasa mwananchi yeyote mwenye proposal yake nzuri na asset ya ku morgage anaweza kupata mkopo ndani ya siku 5. Ile ya zamani walikuwa ni wanasiasa wachache na wafanyabiashara maarufu kama kina R Mengi na Iddi Simba ndiyo walikuwa wanaaxcess mikopo na wakawa hawarudishi. NBC ya sasa inalipa kodi kila mwaka kuchangia pato la Taifa wakati ile ya mwaka 1997 ilikuwa inapewa ruzuku kila mwaka na hazina. NBC ya sasa inatoa ajira kwa transparency na ina zidi kufungua matawi mpaka mitaani mwetu.
Chuakachara musipende kushabikia mambo tu ali mradi mmesikia wanasiasa wanaropoko majukwaani, fanyeni na nyinyi utafiti kidogo. Mwalimu JKN alitaifisha njia kuu za uchumi na kuziweka mikononi mwa umma ". Lakini viongozi wa mashirika yetu au kwa kukosa elimu au kwa makusudi waliua yale mashirika. Iko wapi AISCO, BIT, HOSCO, RTC, GAPEX , Meya Textile Mwatex, Musomatex?
Nimekutajia mashirika yale tu ambayo yalishakufa kabla hata BWM hajaingia madarakani
wewe ulifaulu kusoma na kuandika tu. kibaraka la makaburu lione!!!!
Uchumi kauuwa Nyerere pale azimio lake la Arusha. Mkapa kiuchumi kafanya vizuri kuiko raisi yeyote aliyewahi kutawala Tanzania. Nyerer alikuwa anti west and anti-semites, hizo sifa raiasi akiwa nazo hawezi kabisaa kujenga uchumi. Kenyatta alikuwa pro west west na Frend of Israel, ona alivyowajengea maisha bora wakenya.
Komeni kabisaa kumtwika makosa ya nyerer mkapa ili hali mkiogopa kumsema vibaya nyerere ingawa naye kafanya mauzi kupita kiasi. wewe kuwanyang'anya hati miliki wanamuziki wa kitanzania wakati wanamuziki hao walijiajiali wenyewe kwa vipaji vyao, ni kitendo kizuri hicho alichokifanya nyerere? mbona nalo hilo jhamsemsemi ila kila kukicha mkapa eti kauza nchi.
Kuonesha jinsi gani alivyowapenda wananchi wake, katujengea uwanja bora wa soka ukiwa ni mmoja mzuri sana barani africa mpaka DR Congo wametuiga kujenga uwanja kam wetu huko kwao. Benja, katuletea TRA,UDOM yenye kumeza 35,000 students, kajenga secondari nyingi sana, huyo nyerere kafanya nini si kama si kusimika azimio la arusha tuu. Hongera sana Benja, mungu akubaliki na akulinde leo kesho na keshokutwa. amina.
Chuakachara wewe si mkweli na si mjuzi wa mambo. BWM ndiye aliyesimamisha imara uchumi huu ambao nyinyi nyote including CDM na awamu CCM ya 4 manafaidi. Azimio la Arusha kwenye awamu ya 1 liliua uchumi katika utaifishaji wa mtaji binafsi, soko huria lililofuata wakati wa awamu ya pili liliua kabisa uchumi. Leo hii makampuni yanayoongoza katika kulipa kodi na kuajiri waTanzania wengi ni yale yaliyouzwa wakati wa BWM. Big respect to Ben
NBC ya sasa ni bora kuliko ile ya miaka ya 1967- 1997 kwa kuwa sasa mwananchi yeyote mwenye proposal yake nzuri na asset ya ku morgage anaweza kupata mkopo ndani ya siku 5. Ile ya zamani walikuwa ni wanasiasa wachache na wafanyabiashara maarufu kama kina R Mengi na Iddi Simba ndiyo walikuwa wanaaxcess mikopo na wakawa hawarudishi. NBC ya sasa inalipa kodi kila mwaka kuchangia pato la Taifa wakati ile ya mwaka 1997 ilikuwa inapewa ruzuku kila mwaka na hazina. NBC ya sasa inatoa ajira kwa transparency na ina zidi kufungua matawi mpaka mitaani mwetu.
Chuakachara musipende kushabikia mambo tu ali mradi mmesikia wanasiasa wanaropoko majukwaani, fanyeni na nyinyi utafiti kidogo. Mwalimu JKN alitaifisha njia kuu za uchumi na kuziweka mikononi mwa umma ". Lakini viongozi wa mashirika yetu au kwa kukosa elimu au kwa makusudi waliua yale mashirika. Iko wapi AISCO, BIT, HOSCO, RTC, GAPEX , Meya Textile Mwatex, Musomatex?
Nimekutajia mashirika yale tu ambayo yalishakufa kabla hata BWM hajaingia madarakani
Naona sasa ameibukia Bima ya Afya. Bado tunalia na wewe. Mwalimu alikukabidhi nchi uitunze, ukaihujumu kwa kutuibia. Umeuza nchi, hatuna nchi, wala lolote. Mwalimu anakusubiri akuulize!!!!
NBC ya sasa ni bora kuliko ile ya miaka ya 1967- 1997 kwa kuwa sasa mwananchi yeyote mwenye proposal yake nzuri na asset ya ku morgage anaweza kupata mkopo ndani ya siku 5. Ile ya zamani walikuwa ni wanasiasa wachache na wafanyabiashara maarufu kama kina R Mengi na Iddi Simba ndiyo walikuwa wanaaxcess mikopo na wakawa hawarudishi. NBC ya sasa inalipa kodi kila mwaka kuchangia pato la Taifa wakati ile ya mwaka 1997 ilikuwa inapewa ruzuku kila mwaka na hazina. NBC ya sasa inatoa ajira kwa transparency na ina zidi kufungua matawi mpaka mitaani mwetu.
Chuakachara musipende kushabikia mambo tu ali mradi mmesikia wanasiasa wanaropoko majukwaani, fanyeni na nyinyi utafiti kidogo. Mwalimu JKN alitaifisha njia kuu za uchumi na kuziweka mikononi mwa umma ". Lakini viongozi wa mashirika yetu au kwa kukosa elimu au kwa makusudi waliua yale mashirika. Iko wapi AISCO, BIT, HOSCO, RTC, GAPEX , Meya Textile Mwatex, Musomatex?
Nimekutajia mashirika yale tu ambayo yalishakufa kabla hata BWM hajaingia madarakani