Benjamin William Mkapa nimjuaye...

JF nini kumetokea??

takribani Miaka 2 iliyopita nilimtetea sana Mkapa ,humu ndani waumini wengi walinishambulia sana ati sikitakii kizazi cha watanzania yaliyo mema kwa kumtetea fisadi na tena hadi wakuu wakafikia kufananisha jina hili langu na la mkapa .

Sasa leo nauliza nini kinatokea? Siamini kuona watetezi wameongezeka kiasi hiki.

Na atatetewa zaidi kadri siku zinavyokwenda. Penye ukweli uongo hujitenga.
 
...The B.W.Mkapa I know couldn't win The Mo Ibrahim Prize for Achievement in African Leadership. There must be some underlying reasons!!
 
unajua nilishawahi kusema kuwa mtume musa alifanya mengi mazuri kama alivyoagizwa na mwenyezi mungu lakini hakufika kwenyue nchi ya ahadi kwani alitenda kosa moja tu alichukua nafasi ya mungu wakati wana w isiaraeri wanalala mika kiu jangwani yaani alitumia kauli iliyoonyesha kuwa yeye ndiye anayewapa maji badala ya kusema kuwa wacha tumlilie mungu kauli ile ilichukiza mungu wake na hapo pabo akaulizwa wewe musa una uwezo wa kuwapa maji wana wa israel kastuka lakinmi licha ya kumwomba mungu wake msamaha na kusamehewa adhabu yake ikabaki pale pale hutakanyaga katika nchi ya ahadi yaani kanani lakini mungu alimwonyesha nchi ilie ambayo bibalia inaeleza kuwa ilikuwa na asli nyingi na neeema nyingine kede kede sasa hilo unaloliznumza kuhusu huyu Mh shimiwa wetu rais mstaafu B mkapa amabye hata mimi namshimu kweli kweli lakini mapa leo napigwa bumbuwazi haya yanayaowafanya wabunge wa serikali ya nne wavutane mashati ni kweli yalifanyika chini ya mtu safi aliyeingia ikulu bilarushwa mwenye vyeti safi makini kazi ya viongozini kuwafanyia mema wanachi wao sio meama halafu huku nyuma tena twaaambi ehheee haaaa!!
 
...The B.W.Mkapa I know couldn't win The Mo Ibrahim Prize for Achievement in African Leadership. There must be some underlying reasons!!

mzee bado uko na hiyo prize, haujui kuwa inatudhalilisha mkuu!
 
Je kuna ukweli hapa?....$1,000 kwa mwaka???

Choveki,

Kwa nini usi-type kwenye GOOGLE na utapata habari zote hizi. Acheni uvivu jamani wa utafutiwe hata habari kama hizi.

Haya spma hapa:-

KILIMANJARO AIRPORT UP FOR GRAB FOR JUST 1000 USD



There are allegations that the second largest airport in Tanzania (Kilimanjaro International airport – KIA) better known as the “Gateway to Africa 's wildlife” can be operated by any middle class African as long as they can raise a 1000 USD.

While in Kenya the controversy surrounding the lease of the Old Embakasi airport quoting millions is hitting headlines, on the other side of the national limes Tanzanian are waking up in shock after learning that the KIA is been leased to private investors KADCO for a mere 1000 USD (One thousands dollars) per year.

The airport that handles numerous international airlines is believed to serve over 500.000 passengers per year.


from:
AfricaNews - KILIMANJARO AIRPORT UP FOR GRAB FOR JUST 1000 USD - Jerry



 
Choveki,

Kwa nini usi-type kwenye GOOGLE na utapata habari zote hizi. Acheni uvivu jamani wa utafutiwe hata habari kama hizi.

Haya spma hapa:-

KILIMANJARO AIRPORT UP FOR GRAB FOR JUST 1000 USD



There are allegations that the second largest airport in Tanzania (Kilimanjaro International airport – KIA) better known as the “Gateway to Africa 's wildlife” can be operated by any middle class African as long as they can raise a 1000 USD.

While in Kenya the controversy surrounding the lease of the Old Embakasi airport quoting millions is hitting headlines, on the other side of the national limes Tanzanian are waking up in shock after learning that the KIA is been leased to private investors KADCO for a mere 1000 USD (One thousands dollars) per year.

The airport that handles numerous international airlines is believed to serve over 500.000 passengers per year.

from:
AfricaNews - KILIMANJARO AIRPORT UP FOR GRAB FOR JUST 1000 USD - Jerry

Hapa mtu waweza jikuta ukiamini uchawi kwamba si bure, viongozi wetu wanao saini mikataba kama hii wamerogwa!

what a joke? dola alfu kwa mwaka? kumbe inatofauti gani na biashara ya ubuyu?
 
Anayeongelewa ni huyu:
Benjamin William Mkapa nimjuaye...(kama kielezavyo kichwa cha habari) kuna mijadala lukuki ya JK, kwanini na huu tuupeleke kwa JK? QUOTE]



mnapenda kulazimisha mambo! haya maoni ya watu, akili zao, muda wao, malengo yao, huwezi kuwapangia watu waseme nini na lini, wala usijione una akili, nionyeshe thread moja tu ya JF ambayo watu waliajadili same thing bila kwenda nje kidogo ya maada!

utapata pressure za bure kuhangaika kuwa kiranja humu! sema ulilonalo moyoni usaidiwe! acha kutapatapa!
 
Waberoya:
mzee bado uko na hiyo prize, haujui kuwa inatudhalilisha mkuu!


Baada ya kuikosa Mkapa anahamasisha vibaraka wake kusema Mo Award inadhalilisha -- kama vile stori ya sungura na zabibu. Aibu kweli kweli!

Mkapa alitawala miaka 10 ya utulivu na amani hapa Tanzania lakini katika miaka yake mitano ya mwisho aliruhusu uharamia mkubwa wa wizi wa mapesa ya umma ambao haujapata kutokea katika historia ya nchi hii!!!! Hii imefunika "mazuri" yote anayodaiwa aliyofanya -- maana mwizi ni mwizi tu!

Joachim Chissano (aliyembwaga Mkapa katika kinyang'anyiro hicho cha Mo award) alitawala Mozambique kwa miaka 18 ya vita lakini misingi ya utawala bora isiyokuwa na wizi ilikuwapo na kuonekana, hivyo akanyakuwa tuzo! Kwa hiyo amani na utulivu -- kwa upande mwingine -- ni bure tu, ni hali iliyokuwa muafaka kwa kina Mkapa kuwaibia wananchi!

Nilifurahi kupindukia niliposikia mwisho wa 2007 Mkapa kabwagwa na Chissano maana kama angepata tuzo, sijui wananchi wenye uchungu tungeweka nyuso zetu wapi. Watu kama akina RA na Manji wangeruka hadi labda mbinguni kwa furaha -- kwani ingekuwa ndiyo hoja kubwa kwao kwamba "Mkapa amesafishwa" na hivyo EPA, Afritainer, Deep Green, Meremeta. Kiwira -- na uchafu wote auliofanyika chini ya utawala wake ulikuwa majungu tu.

Ndugu yangu Waberoya nawe ungeona Mo Award ni kitu kutukufu hakidhalilishi. Ndugu yangu, hivi kweli una chembe hata moja ya uchungu wa nchi hii katika moyo wako? Au wewe ni kundi la "Miafrika ndivyo ilivyo?"
 
Kafiribangi:
"Baada ya kuikosa Mkapa anahamasisha vibaraka wake kusema Mo Award inadhalilisha -- kama vile stori ya sungura na zabibu. Aibu kweli kweli!

Mkapa alitawala miaka 10 ya utulivu na amani hapa Tanzania lakini katika miaka yake mitano ya mwisho aliruhusu uharamia mkubwa wa wizi wa mapesa ya umma ambao haujapata kutokea katika historia ya nchi hii!!!! Hii imefunika "mazuri" yote anayodaiwa aliyofanya -- maana mwizi ni mwizi tu!......."

_____________________

Umenimalizia maneno rafiki yangu sina zaidi. Helmut Kohl alitawala Ujrumani miaka 17 lakini scandali moja ya utafunaji pesa ulifuta mema yote aliyofanya, pamoja na harakati zote za kuiunganisha Ujerumani baada ya Vita Baridi. Akawa hana hadhi tena katika historia ya viongozi wa Ujerumani.

Huenda kama asingefanya maovu hayo, Mkapa angeheshimika kwa yale aliyofanya!

Nitafurahi mtu huyu, aliyefura umbo baada ya miaka kumi madarakani, kama atapelekwa Keko naye akaonje dona kama alivyofanyiwa mume mwenzie, BPM kwani hawa wawili wamewahujumu sana Wananchi masikini.
 
Mimi nashangaa kwa nini mhujumu wananchi atetewe kiasi hicho! Hivi Watanzania hatuwezi kujitutumua kidogo na kuweka utamaduni wa kuwajibishana viongozi ili tupate utawala ulio bora kabisa huko mbele?

sawa utawala bora kabisa hauwezekani -- kama vile kina Pasco watasema -- lakini angalau tuepuke janga ambalo lazima hatuliepuki iwapo mafisadi wataendelea kuachwa hivi hivi. Hii hali ya uasi Bungeni ni dalili ya janga -- na polepole litatoka nje ya Bunge na kuingia nchini.

Iwapo serikali ya CCM inashindwa kuleta utulivu kule Tarime-Rorya, je itauweza mshike-mshike wa vita ya wenyewe kwa wenyewe? Watu kama akina RA, Manji, Jeetu na wengine watatimka na kwenda nje ya nchi kutafuna mapesa waliyotuibia -- na kutuacha tukisagana meno.

siamini iwapo wataondoka na hawa vibaraka wanaowatetea humu JF! Sidhani.
 
BWM, alifanya mengi mazuri ya kuzungumzwa na yanapaswa kuendelezwa. Kuitwa second JKN ni haki yake, kuitwa msomi ni haki yake, kuitwa mwanadiplomasia makini ni haki yake, kuitwa kiongozi shupavu ni haki yake na kuitwa mwokozi wa pili wa Tanzania baada ya JKN ni haki yake.

mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24 tu, nimekuwa nikiudhiwa sana na wanasiasa na baadhi ya wananchi wenye mtazamo hasi kwa Mh. rais mstaafu BWM na na kwa mawazo yangu mimi, katika umri wa kitoto nilimkubali na kwa umri huu ambao niko katika taasisi ya elimu ya juu, nasisitiza kuwa nitakuwa tayari kumulinda na kumtumikia BWM kama rais mstaafu, nitakuwa tayari kuwashawishi vijana wenzangu kumlinda BMW kwa namna yeyote ile. Ole wa wale watakao pelekea huyu BWM kufikishwa mahakamani au kuondolewa kinga, ikibidi amani yetu itapumzishwa kwa kitambo ili kuingia msituni kupambana na watu wasiokumbuka fadhila za mh rais mstaafu,
MUNGU MUBARIKI NA KUMEPUSHA KUJIBU SHUTUMA PAMBIKIZI MH BWM .
 
Sio PM wala Jk wala Bunge wanaoweza kumsafisha Mkapa but ni Wananchi ndio watu pekee wanaweza kufanya hivyo. Kuna haja ya kura za maoni ziitishwe ili tujue kama kweli wananchi wanamchukia Mkapa au vipi??
 
BWM, alifanya mengi mazuri ya kuzungumzwa na yanapaswa kuendelezwa. Kuitwa second JKN ni haki yake, kuitwa msomi ni haki yake, kuitwa mwanadiplomasia makini ni haki yake, kuitwa kiongozi shupavu ni haki yake na kuitwa mwokozi wa pili wa Tanzania baada ya JKN ni haki yake.

mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24 tu, nimekuwa nikiudhiwa sana na wanasiasa na baadhi ya wananchi wenye mtazamo hasi kwa Mh. rais mstaafu BWM na na kwa mawazo yangu mimi, katika umri wa kitoto nilimkubali na kwa umri huu ambao niko katika taasisi ya elimu ya juu, nasisitiza kuwa nitakuwa tayari kumulinda na kumtumikia BWM kama rais mstaafu, nitakuwa tayari kuwashawishi vijana wenzangu kumlinda BMW kwa namna yeyote ile. Ole wa wale watakao pelekea huyu BWM kufikishwa mahakamani au kuondolewa kinga, ikibidi amani yetu itapumzishwa kwa kitambo ili kuingia msituni kupambana na watu wasiokumbuka fadhila za mh rais mstaafu,
MUNGU MUBARIKI NA KUMEPUSHA KUJIBU SHUTUMA PAMBIKIZI MH BWM .
Kumuita jambazi pia ni haki yake. Aliyoifanyia Tanzania ni worse than ujambazi.
 
BWM, alifanya mengi mazuri ya kuzungumzwa na yanapaswa kuendelezwa. Kuitwa second JKN ni haki yake, kuitwa msomi ni haki yake, kuitwa mwanadiplomasia makini ni haki yake, kuitwa kiongozi shupavu ni haki yake na kuitwa mwokozi wa pili wa Tanzania baada ya JKN ni haki yake.

mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24 tu, nimekuwa nikiudhiwa sana na wanasiasa na baadhi ya wananchi wenye mtazamo hasi kwa Mh. rais mstaafu BWM na na kwa mawazo yangu mimi, katika umri wa kitoto nilimkubali na kwa umri huu ambao niko katika taasisi ya elimu ya juu, nasisitiza kuwa nitakuwa tayari kumulinda na kumtumikia BWM kama rais mstaafu, nitakuwa tayari kuwashawishi vijana wenzangu kumlinda BMW kwa namna yeyote ile. Ole wa wale watakao pelekea huyu BWM kufikishwa mahakamani au kuondolewa kinga, ikibidi amani yetu itapumzishwa kwa kitambo ili kuingia msituni kupambana na watu wasiokumbuka fadhila za mh rais mstaafu,
MUNGU MUBARIKI NA KUMEPUSHA KUJIBU SHUTUMA PAMBIKIZI MH BWM .
negative za mkapa wala huhitaji ku-dig deep, ni zile za juu juu sasa uki-dig deep basi wananchi wengi tu watachanganyikiwa eg issue ya net group mpaka ffu wakatumika kuwaingiza, issue ya madini ambayo nyerere alijaribu kunegotiate kwa more than 50% iwe yetu na nyingine ndio mwekezaji achukue, kilicho tokea eti tunapewa royality tu ya 3% na wewe na ukijana wako na uko elimu ya juu unaona ni sawa kweli akili ni nywele kila mtu anazake, raisi na akili zake na mshahara mzuri anaona heri watu wake wale majani yeye anunuliwe ndege na zaidi ya hapo waweke cha juu, radar ya milatary itumike commercial na cha juu kiwekwe, EPA , TANGOLD, MEREMETE, kuharibu ni dhamu ya jeshi, usalama wa taifa, na hata rai wa kawaida na wewe unamuona mtu huyo kama alikuwa analitakia mema taifa hili? au alikuwa na akili nzuri? Leo hii yeye mwenyewe anakiri uchumi umemilikiwa na wageni, je wewe lini utapata fursa ya kutimiza malengo yako? labda kama ni mwana wa fisadi basi utaokoteza makombo aliyo acha au atakayo acha mzazi/wazazi wako.
angekuwa na policy endelevu leo hii, exchange rate ya 1kshs to 20 tshs ingekuwa imepungua au ipo sawa., nafasi za kazi zingeongezeka maradufu, kwenye processing and at least service industry ukiachia Manufacturing industry. Leo hii maziwa yanaenda Kenya kuwa Processed. na hapa hatuja gusa ya nbc etc, matokeo ya kuuza nyumba za serikali badala ya kuanzisha mortgage finance au hizo nyumba za serikali kugeuzwa housing estate nzuri kwa faida ya wengi badala ya baadhi ya viongozi, infwact alifanya hivyo ilikuwaanganya baasdhi ya wafanyakazi ili haya mabaya aliofanya yasitoke nje.
 
Sio PM wala Jk wala Bunge wanaoweza kumsafisha Mkapa but ni Wananchi ndio watu pekee wanaweza kufanya hivyo. Kuna haja ya kura za maoni ziitishwe ili tujue kama kweli wananchi wanamchukia Mkapa au vipi??


katika historia ya nchi hii sijawai kushuhudi wananchi wamkimchafua mtu au kumsafish mtu, sku zote watu wanakuwa na pane wanazochagua mtu unayemchukia wewe anapendwa na wengine! kwa nia, malengo tofauti! ndio maana tuna mamlaka na viongozi!
 
"Sasa Mkapa anatetewa na watu au vipi?? Mbona yeye yupo kimnya sana."
________________________

JM: Na hicho kitu ndiyo mie huzimia kabisa, watanzania jinsi tulivyo! Hivi Mkapa anashindwa nini kuita press conference na kujitetea tuhuma baada ya tuhuma na kuruhusu aulizwe maswali?

Anaogopa nini? Akina RA, Manji na mapapa wengine wa ufisadi (walioiba wakati wa utawala wake) angalau wamekwenda mahakamani kumshitaki mzee mengi kwa kuwakashifu. Yeye Mkapa kwa nini hafanyi hivyo hasa dhidi ya magazeti yanayomuandika kila siku?

Au anatumia mapesa kuwalipa watu kumtetea humu JF, na Bungeni -- kama vile yule Mbunge Serukamba juzi alipobwatuka hovyo Bungeni kumkingia kifua? na Mzindakaya ambaye alifaidika kwa mkopo wa mabilioni ya utata kutoka BoT?

hawa hawana uchungu wowote wa nchi yao.
 
Sio PM wala Jk wala Bunge wanaoweza kumsafisha Mkapa but ni Wananchi ndio watu pekee wanaweza kufanya hivyo. Kuna haja ya kura za maoni ziitishwe ili tujue kama kweli wananchi wanamchukia Mkapa au vipi??

Mkuu what you are saying doesn't make sense. Wakipiga kura kuwa hawamchukii au wanamchukia Mkapa ndiyo ina prove nini sasa? Kumbuka Watanzania wengi hawako informed na hata kama wapo informed namna gani doesn't mean watapiga kura kutokana na hizo information. Ni wananchi wachache sana wanaojua both sides of the shilling. Wananchi hawawezi kumsafisha Mkapa. In the immediate time mahakama pekee ndiyo inaweza kumsafisha Mkapa and in the long run ni historia pekee inayoweza kumsafisha Mkapa.
 
BWM, alifanya mengi mazuri ya kuzungumzwa na yanapaswa kuendelezwa. Kuitwa second JKN ni haki yake, kuitwa msomi ni haki yake, kuitwa mwanadiplomasia makini ni haki yake, kuitwa kiongozi shupavu ni haki yake na kuitwa mwokozi wa pili wa Tanzania baada ya JKN ni haki yake.

mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24 tu, nimekuwa nikiudhiwa sana na wanasiasa na baadhi ya wananchi wenye mtazamo hasi kwa Mh. rais mstaafu BWM na na kwa mawazo yangu mimi, katika umri wa kitoto nilimkubali na kwa umri huu ambao niko katika taasisi ya elimu ya juu, nasisitiza kuwa nitakuwa tayari kumulinda na kumtumikia BWM kama rais mstaafu, nitakuwa tayari kuwashawishi vijana wenzangu kumlinda BMW kwa namna yeyote ile. Ole wa wale watakao pelekea huyu BWM kufikishwa mahakamani au kuondolewa kinga, ikibidi amani yetu itapumzishwa kwa kitambo ili kuingia msituni kupambana na watu wasiokumbuka fadhila za mh rais mstaafu,
MUNGU MUBARIKI NA KUMEPUSHA KUJIBU SHUTUMA PAMBIKIZI MH BWM .

Huu ni ushabiki mtupu and nothing else. Hujasema utamtetea kwa lipi. Hauwezi kumtetea tu kwa kudhani lazima umtetee kwa facts not to shove things down people's throats. Wewe unaamini unauwezo wa kumlinda BWM? You really think he needs you of all people kumlinda? There is nothing you can do for him.
Hivyo vitisho vya sijui "Ole wa wale watakao pelekea huyu BWM kufikishwa mahakamani...." ni empty threats tu. You are just a person who wants to look bigger and more important than he actually is.

In short mkuu wewe ndiyo wale watu ambao behind a mask they can say anything. Hivyo vyote unavyo dai unataka kumfanyia BWM hauwezi kuvifanya JF. Mpaka hapo tutakapo ona au kusikia unampigania kwenye channels that really matter you are a person who can't change anything. Wewe samaki mdogo tu anayetaka kujilinganisha na papa na manyangumi.
 
Back
Top Bottom