Benjamin Mkapa on BBC HardTalk (Video)

Alibanwa kwa maswali mpaka akashindwa kucontrol temper yake, 'Now you are getting angry Mr President...', '... Of course I am angry...'
 
Watanzania ni kulaumu na kuponda tu ndio tuko well off lakini upande wa kutoa solution ya matatizo yetu hakuna anayeandika. Watu wamekazana tu Mkapa rais mbovu sana wala hamsemi basi nani alikuwa bora kuchukua urais badala ya Mkapa mwaka 1995. Kati list iliyojitpkeza mw aka 1995 nani alikuwa bora sasa?!!!. Watu wengi wanacomment humu ndani wanasema wakati wa hii hardtalk walikuwa form six. Watu wala hawangalii nchi hii Mwinyi wakati anaondoka madarakani ilikuwa katika hali gani. Watu wanasahau kuwa mwaka 1995 wakati Mpaka anaingia madarakani nchi ilikuwa imefilisika, hata karatasi mahakamani ukipeleka kesi ulikuwa unaambiwa ukajinunulie. Tabia ya kukosoa ambayo tumejenga watanzania badala ya kubase kuongelea na kuandika altenative solution inatupeka kubaya sana. Kila mtu ni mtaalamu Tanzania siku hizi kwa sababu unaweza tu kokosoa wala si kuongea solution ya kitu au mtu anayemkosoa.
Katika hili la Mkapa najua watu mna kumbukumbu ya watu waliokuchua form kuwania urais mwaka 1995 na mmojawapo ambaye alikuwa na nafasi kubwa ya kupata urais ni huyu rais wa sasa na wengine pia tayari mmeshawaona wametumikia kwenye ngazi mbalimbali leteni argument ni nani angefaa kuwa rais badala ya Mkapa kwa mwaka 1995. Kwa kuwa nafasi ya urais hatuwezi kuajiri mtaalamu wa Kigeni atusaide kuongoza Taifa, inabadi tukubali tulionachonacho hata kama kibaya naona bora kuchagua chenye unafuu kidogo kwani ndio hali halisi. Mimi naamini kwa uwezo wa watu tulionanao mpaka sasa mbao wanawania kutawala taifa la Tanzania, Mpaka is among of the best kwa level ya Tanzania
 
Hata wamtukane lakin ukweli utabaki palepale Mkapa was a leader, na mimi atabaki kuwa role model wangu na nyumbani kwangu nitaweka picha yangu. 1995 sikumpigia kura ila 2000 nilimpigia na wala sijutii lakin Jk sikuwahi kumpigia kura yangu. Najua ungwe yake ya mwisho kaiba kura ilibiidi Dr slaa awe president sasa. Mwizi Jk. Big up Mkapa your my role model
 
Unaona heri hakufanya ki2 lakini ana uwezo mkubwa wa kujieleza?? damn!! kwa hiyo uko radhi kudanganywa iwapo tu huyo anayekudanganya atapangilia uongo wake vizuri.
binafsi niko tayari kuongozwa na BUBU (asiyeweza kuongea kabisaaaa) kama tu hatauza utu na rasilimali zetu.katika mambo ambayo mwalimu NYERERE aliyajutia katika uhai wake,basi ni kumpigania MKAPA kuingia madarakani mwaka 1995...(the superfailure in his political carrier) LOL

.....Ahsante sana Mkuu. Mwizi ni mwizi tu hata akijua kuongea kiasi gani, kamwe usaliti alioufanya hauwezi kusahaulika eti kwa kuwa anajua kuongea.
 
Mara nyingi waongeaji sana huwa ni Majizi au matapeli! Utatangazaje unapambana na rushwa wakati wewe ni mla rushwa namba moja?
Fikra Finyu bila tafakari ya kina ukitegemea Magazeti kupata Habari bila kujua kinachoandikw sicho kilichopo kwa nia mbili: 1 Ya kisiasa 2. ya Kimaslahi eidher a. Binafsi ya mtoa hoja kwa chombo cha habari au b. ya Chombo cha habari ili kiuze.
Kama tutawaweka viongozi kwenye Mizani nadhani sina haja ya kukupa majibu labda kama una tatizo nilililitaja hapo juu. Ama sivyo kwa jukwaa kama hili unapaswa kuwa Great thinker with duo perspective to give a balanced or biassed with vivid evidence and contructive arguments! Do not waste a space.
 
nyinyi mnaomuponda nahisi hamnazo kichwani,kwa mtu makini ataungana nami kuwa mzee wetu MKAPA alitufikisha pazuri,nakumbuka enzi za mwinyi watu walikuwa wanakimbilia milimani wakiogopa kodi ya kichwa,ni mengi mzee kafanya,na zaidi ni kiongozi na anajiamini sana,haya toka mzee wetu mkapa atoke madarakani amepewa heshma kubwa sana hasa kimataifa na anaheshmika,nyie mnaobisha fungua blog yake na soma hotuba yake alipokuwa anahutubia bunge julai 2004 au ya kuachia nafasi ya mwenyekiti ccm 2006 utagundua kwamba mzee mkapa ni kichwa,
NYIE MNAOBEZA MKAPA NAHISI MUMEZOEA KUSOMA MAGAZETI YA UDAKU YA GLOBAL PUBLISHER,
 
Mkuu Kama unaweza kupata link ya mahojiano ya Kikwete na larry king itakua poa. Nackia c mchezo
 
Mara nyingi waongeaji sana huwa ni Majizi au matapeli! Utatangazaje unapambana na rushwa wakati wewe ni mla rushwa namba moja?
hata makazini wanaopanda vyeo haraka ni wauzaji wauzaji maana yake waongeaji saaaaaaaaaaaaaaaaaaana
 
nyinyi mnaomuponda nahisi hamnazo kichwani,kwa mtu makini ataungana nami kuwa mzee wetu MKAPA alitufikisha pazuri,nakumbuka enzi za mwinyi watu walikuwa wanakimbilia milimani wakiogopa kodi ya kichwa,ni mengi mzee kafanya,na zaidi ni kiongozi na anajiamini sana,haya toka mzee wetu mkapa atoke madarakani amepewa heshma kubwa sana hasa kimataifa na anaheshmika,nyie mnaobisha fungua blog yake na soma hotuba yake alipokuwa anahutubia bunge julai 2004 au ya kuachia nafasi ya mwenyekiti ccm 2006 utagundua kwamba mzee mkapa ni kichwa,
NYIE MNAOBEZA MKAPA NAHISI MUMEZOEA KUSOMA MAGAZETI YA UDAKU YA GLOBAL PUBLISHER,

BMT wewe unaweza ukawa ndugu yake au mtu wa kusini, maana kuna jamaa yangu wa kusini ukimsema Mkapa anatamani akupige ngumi.
Mimi binafsi nakubaliana na hoja kwamba jamaa ni kichwa, na tena alifanya makubwa. Ila tu, alitusaliti vibaya kama taifa. Tulitegemea kwa kuwa alikuwa na uwezo mkubwa, asingeweza kufanya vitu vya ovyo kama hivyo...unajua sector ya madini hasa dhahabu angeweka uzalendo mbele ndio sector peeke ambayo ingepandisha uchumi wa TZ? Alifanya nini? Aliwagawia rafiki zake akina Andrew Young et al bureee! Tulipopiga kelele tukaambiwa tuna wivu wa kike. Hebu fikiria Nyerere angekuwepo wakati jamaa anajichukulia mgodi wa makaa ya mawe Kiwira kwa kampuni yake na mke wake, wakati yuko ikulu...sijui mzee wa watu angesemaje kuhusu Mr. Clean kuwa Mr. Dirtiest.
Tena Mkapa ni rais pekee aliyekuwa anadharau raia wake. Nyerere, Mwinyi au Kikwete hawezi simama hadharani akafoka akisema watu wake wana wivu wa kike na wavivu wa kufikiri ati wanapigia kelele mikataba mibovu ya madini.
Mr. Clean turned to be Mr. Dirtiest.....TRAITOR.

Ndivyo nimuonavyo Mkapa.
 
Maswali kama yale yalimfaa rais-yule mwandishi ana'roho' mbaya anauliza maswali ya rais waziri
 
Mngejua maana ya HARD talk, na mngekuwa mnasikiliza hard talks mara nyingi, mngekubaliana nami Lissu did the best, sionge uhalali wa aliyozungumza, etc, ila overview ya Interview na namna alivyojibu, the GUY is very competent.....

Angalieni hardtalk ya Hon, President William Mkapa below:

 
Mngejua maana ya HARD talk, na mngekuwa mnasikiliza hard talks mara nyingi, mngekubaliana nami Lissu did the best, sionge uhalali wa aliyozungumza, etc, ila overview ya Interview na namna alivyojibu, the GUY is very competent.....

Angalieni hardtalk ya Hon, President William Mkapa below:

Ngoja tu check. Jakaya naye alishawahi hojiwa napo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom