Benjamin Mkapa on BBC HardTalk (Video)

Tatizo hapa Watanzania wengi hatujazoea kuwa na watu walio na uwezo wa kuzungumza vizuri ndio maana wengi mnakuwa mko impressed naye. Kwenye nchi zilizoendelea angekuwa anaonekana ni wa kawaida sana.


yeah ndiyo ukweli wenyewe na hatuwezi kujilaumu kwa hilo kwa kujilinganisha na wenzetu wa ulaya au marekani kwa sababu siyo viwango vyetu.Wewe chukulia kuna vinchi vya ulaya mashariki na vyenyewe bado ni masikini lakini ukifuatilia maendeleo yao ya elimu utaona walishaanza kuwa na universities tangia karne ya kumi na tatu au hata kabla wakati bongo ni karne ya 19 ama 20 ndipo walau watu walianza kwendakwenda shule kidogo.
Wanasema kujenga hoja ni kipaji lakini shule inasaidia sana.
 
Na kikwete amekuwa waziri ya mambo ya nje kwa muda gani?

my gosh! are trying to compare Kikwete and Mkapa? JK hata umpe urais miaka 50, akimaliza hapo bado atakuwa katika level ile ile, hasomi yeye na kitabu ni kituo cha polisi!
 
As much as Mkapa amefeli kwenye mambo fulani fulani kama mikataba, ubabe na uwizi wa hela akiwa ikulu lakini

Honestly, I admire his talent, capability, and his stands when it comes to what he believes to be true, nimependa alivyo strong kwa haya madude yanayoitwa mazungu kwenye hii interview

Tanzania ilipata marais wawili tu wenye akili Mkapa na Mwinyi,

JK na Baba yao JKN ni hopeless of our time!
 
Tatizo hapa Watanzania wengi hatujazoea kuwa na watu walio na uwezo wa kuzungumza vizuri ndio maana wengi mnakuwa mko impressed naye. Kwenye nchi zilizoendelea angekuwa anaonekana ni wa kawaida sana.

Sasa ndugu Omega mbona unazungumzia nchi zilizoendelea, kwani sisi ni moja kati ya nchi hizo?

Tulinganishe na nchi zilizokuwa size yetu na uwezo wa marais kujenga hoja zenye nguvu kwenye majadiliano ya kimataifa.
 
Sasa ndugu Omega mbona unazungumzia nchi zilizoendelea, kwani sisi ni moja kati ya nchi hizo?

Tulinganishe na nchi zilizokuwa size yetu na uwezo wa marais kujenga hoja zenye nguvu kwenye majadiliano ya kimataifa.

Kwani uwezo wa kujenga hoja wa mtu binafsi na maendeleo ya taifa vina uhusiano gani?
 
Kwani uwezo wa kujenga hoja wa mtu binafsi na maendeleo ya taifa vina uhusiano gani?

Yap, kweli mkuu unaweza kujenga hoja vizuri watu wakakupenda, wakafurahia ulivyo mchallenge opponents wako au hadhira yako lakini usilete tija kwa watu

Umenikumbusha nilipokuwa shule "ngojera" those who oppose and support the motion tunavyoaanda nondo za kubishana ku-win kura kutoka kwa watazamaji duh!

At the end watazamaji hawapati chochote isipokuwa wale walioweza kuwa na uwezo kuwahadaa..you raised very useful argument indeed
 
Sasa wanaosifia wanasifia nini wakati huyu jamaa ni jambazi! Kaiba Kiwira na mambo chungu nzima, au mnasifia kuongea lugha? JK mjinga yeye angeweza kabisa kusema akienda nje ya nchi atatoa au kuongea kwa Kiswahili katika Official kongamanos nk. Akaajiriwa mkalimani kujibu kwa kiingereza mngemuona naye bomba vile vile. Tusitishike na lugha - matendo.
 
Nimeshangazwa,Mkapa kwanza anasema kuwa wasimamizi wa kimataifa hawana credibility kwasababu walikwenda kwenye uchaguzi wiki kadhaa kabla ya siku ya kupiga kura na wakati kampeni ilikuwa for two months,hiyo ni hoja ya nguvu na si nguvu ya hoja.
Pia liendelea kujichanganya tena pale aliposema kuwa uchaguzi haukuwa huru kutokana na lack of funding,kwamba without "enough" money,the elections will never be fair,he made me wonder if elections will ever be fair in TZ.
 
[ame]http://www.youtube.com/watch?v=R8CF4EoXjD0[/ame]
Mh. Mkapa opening remarks on Funding the War on Poverty DAVOS 2005 on the video clip starting at 0:03:48 to 0:07:00 and from 0:32:48 to 0:35:45 on donors to be serious about their pledges and on african countries taking responsibilities on managing their resources.

Nadhani hoja za Mh. Mkapa ktk mkutano huu wa DAVOS 2005 ndizo zilizomfanya Mh. George W Bush kuja Tanzania na misaada ya vyandaru, misaada ya vita kupunguza makali ya HIV na pia Tanzania kufutiwa madeni-sugu.

Huyu Mh. ni Lulu tumtumie vizuri.
 
Huyu Mzee Ben confidence yake ni 100%! Na amefanya mambo makubwa sana kwa nchi hii: Just imagine: Kujenga barabara kwa fedha zetu za ndani, alianzisha TRA ambayo imeendelea kukusanya mapato mengi, amejenga uwanja wa mpira, alianzisah TASAF ambayo imeleta maendeleo makubwa sana vijijini, alianzisha MMEM ambayo imeleta maendeleo makubwa sana ya Elimu ya Msingi, alijenga daraja kubwa sana (maarufu kama daraja la Mkapa), nk. Hivi JK kwa miaka mitano aliyopewa amefanya nini wakati anaimalizia miaka hiyo?
 
Watanzania hatuitaji waongeaji mafisadi, tunataka watendaje wasio wabinafsi, Mkapa nifisadi mkubwa na kesi yake inaandaliwa, mtapata shida sana mnaotaka kumsafisha kwa hila zote

Tanzania inahitaji kiongozi imara mwenye mwelekeo asie na ubinafsi. Mkapa atachapwa bakora na watanzania akitembea mitaani watu wanahasira nae sana
 
Watanzania hatuitaji waongeaji mafisadi, tunataka watendaje wasio wabinafsi, Mkapa nifisadi mkubwa na kesi yake inaandaliwa, mtapata shida sana mnaotaka kumsafisha kwa hila zote

Tanzania inahitaji kiongozi imara mwenye mwelekeo asie na ubinafsi. Mkapa atachapwa bakora na watanzania akitembea mitaani watu wanahasira nae sana

wewe ndio una hasira nae mkuu sio wote! uhuru wa kuamua,as fa as i know mkapa was the best president next to JKN. unaruhusiwa kumchukia ila yeye anajisemea kwa aliyoyafanya!acha kujipa moyo
 
Watanzania hatuitaji waongeaji mafisadi, tunataka watendaje wasio wabinafsi, Mkapa nifisadi mkubwa na kesi yake inaandaliwa, mtapata shida sana mnaotaka kumsafisha kwa hila zote

Tanzania inahitaji kiongozi imara mwenye mwelekeo asie na ubinafsi. Mkapa atachapwa bakora na watanzania akitembea mitaani watu wanahasira nae sana


Mtendaji,asiye muongeaje,asiye fisadi ni huyu tulienaye?
 
Huyu Mzee Ben confidence yake ni 100%! Na amefanya mambo makubwa sana kwa nchi hii: Just imagine: Kujenga barabara kwa fedha zetu za ndani, alianzisha TRA ambayo imeendelea kukusanya mapato mengi, amejenga uwanja wa mpira, alianzisah TASAF ambayo imeleta maendeleo makubwa sana vijijini, alianzisha MMEM ambayo imeleta maendeleo makubwa sana ya Elimu ya Msingi, alijenga daraja kubwa sana (maarufu kama daraja la Mkapa), nk. Hivi JK kwa miaka mitano aliyopewa amefanya nini wakati anaimalizia miaka hiyo?

Alikuwa jasiri 100% katika uwizi, hana tofauti na jambazi anayekuja na bunduki nyumbani kuchukua asichokivuna..ujasiri si hoja..hoja ni umetumia ujasiri wako...

Alikuwa jasiri wa kuuza benki za wananchi na nyumba 100%

Sifa zingine muwe mnaangalia watu tuna macho
 
Mkapa ni kifaaa..Uwezo wake binafsi kiakilii ni ngao tosha katika kujiamini kwake.

Uongozii wake bado utaendeleaa kubakia alama ya msingi wa maendeleo ya taifa hilii.

umenikuna sana mkuu, watu wengine huongea kwa ushabiki wa kisiasa tu lakini hawataki realities na nafikiri kwa sababu ya uvivu wa kufikiri.
 
no one like mkapa na hatatokea rais kama huyo,watanzania wengi tunampenda sana
 
Back
Top Bottom