SnowBall
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 3,054
- 2,840
- Thread starter
- #41
Binafsi mimi naona yule ambaye ni accused ndio ataishi na mashaka kama kweli anafanya unachokihisia..
Wewe unachoweza kufanya ni kumuonyesha tu kwamba kuna kitu unakifahamu ila kwa sababu huna guts but huwezi kuleta hoja ijadiliwe hivyo unakuwa unatafuta evidences zako taratiiibu.....
Wewe unachoweza kufanya ni kumuonyesha tu kwamba kuna kitu unakifahamu ila kwa sababu huna guts but huwezi kuleta hoja ijadiliwe hivyo unakuwa unatafuta evidences zako taratiiibu.....
i can't live with doubts kwa kweli.
Nitauliza tu, na kuhukumu.
Nikishindwa bora ku-withdrawal tu.