SnowBall
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 3,054
- 2,840
- Thread starter
- #21
nakubaliana sana na wewe kak yangu, yaani mwanaume hadi aanze kumuaccuse mkewe aisee ni mpaka keshafanya uchunguzi tena kaja na evidence mkononi, tena anakushika utamu wallah unakosa pa kutokea iunakuwa mdogo na kutubu, but one thing i like them huwa ni wepesi sana wa kusamehe kwa kumaanisha na kuanza ukurasa mpya. ilishanitokea mm lol!
Mfano ungehusika sana mwalimu..lol
Hapa ndipo nyumba kubwa anapokupigia mabao..
Manake haliachwagi jiwe ambalo halikugeuzwa..mfano juu ya mfano...lolest!
Last edited by a moderator: