takashi
JF-Expert Member
- Apr 1, 2009
- 905
- 188
Unamaanisha mungu gani? Maana huyu Mungu wetu hatetei ujinga na ukosefu wa maadili
Mungu ambae anataka waislamu wadai haki zao mpaka dakika ya mwisho.
Unamaanisha mungu gani? Maana huyu Mungu wetu hatetei ujinga na ukosefu wa maadili
Wewe wacha kulenga maneno machafu.zanzibar tafauti na nchi nyengne africa mashariki.asilimia 99.99 ya watu wake ni waislamu kwa hyo kushushwa kwa bendera na ikienda hadi uamsho ikafutwa haitosaidia kitu koz wazanzibar zaid ya asilimia 90 wanaikubali hyo jumuiya nahvyo na kwavile ni waislamu wenye kumuamudu mungu wa cku zote sie yule wajumapli na jumamosi tu habar zitaenezwa misikitini na hapo ndo mziki koz itakuwa hapana kiongoz tutajiongoza wenyewe kupitia misikitini mwetu.zanzibar first.We punguwani kweli
Amani haitarudi mpaka Zanzibar iwe huru...Vinginevyo ni kujidanganya tu , Watanganyika.