Lengeri
Senior Member
- Jul 3, 2009
- 180
- 15
Ukipita makao makuu ya chama cha wananchi - CUF hapa Buguruni, Dar es Salaam utaziona Bendera mbili zikipepea:
1. Bendera ya chama - CUF
2. Bendera ya Zanzibar.
Maswali
A) Vipi mbona hakuna bendera ya Tanganyika/Tanzania?
B) Jee kuna umuhimu gani wa kupeperusha Bendera ya Zanzibar kwenye ardhi ya Tanganyika?
Lengeri.
1. Bendera ya chama - CUF
2. Bendera ya Zanzibar.
Maswali
A) Vipi mbona hakuna bendera ya Tanganyika/Tanzania?
B) Jee kuna umuhimu gani wa kupeperusha Bendera ya Zanzibar kwenye ardhi ya Tanganyika?
Lengeri.