Bendera za CHADEMA zawa 'tanzanite' Arusha

Henry Kilewo

JF-Expert Member
Feb 9, 2010
899
1,084
Kutokana na hali ya kisiasa iliyopo arusha kati ya vyama viwili CHADEMA NA CCM hali imezidi kuwa mbaya kwa ccm kila kukicha, wameanza mchakato wa kununua bendera za chadema kwa gharama yeyite ile bendera moja hununuliwa kwa SH 30000 AU 20000 hiyo ndiyo bei ya chini,

ukifika arusha utazani umeingia tarime dala dala zote zina bendera za chadema na magari ya watu binafsi pamoja na barabara zote, wakati huwo ccm wao hutoa sh 20000 kwenye dala dala iliwazibandike wanaliwa hela zao ile mbaya kwani watu huweka siku moja then hutoa wakiulizwa husema walikuwa wamepaki zikaibiwa ,

juu ya hilo mgombea wa chadema kamanda kijana mpambanaji kweli kweli amesema amedhamiria kugawanya bendera zingine 3000 kwa jiji la arusha .

vijana wa arusha wasema watahakikisha lema anashinda na wapo tayari kulinda ushindi huwo kwa gharama zozote zile mpaka kieleweki wadai hata ccm waweke vifaru mbele ya kituo cha majumuisho
lazima lema atangazwe mshindi........ ccm tupa kuleeeeeee
 
Kutokana na hali ya kisiasa iliyopo arusha kati ya vyama viwili CHADEMA NA CCM hali imezidi kuwa mbaya kwa ccm kila kukicha, wameanza mchakato wa kununua bendera za chadema kwa gharama yeyite ile bendera moja hununuliwa kwa SH 30000 AU 20000 hiyo ndiyo bei ya chini,

ukifika arusha utazani umeingia tarime dala dala zote zina bendera za chadema na magari ya watu binafsi pamoja na barabara zote, wakati huwo ccm wao hutoa sh 20000 kwenye dala dala iliwazibandike wanaliwa hela zao ile mbaya kwani watu huweka siku moja then hutoa wakiulizwa husema walikuwa wamepaki zikaibiwa ,

juu ya hilo mgombea wa chadema kamanda kijana mpambanaji kweli kweli amesema amedhamiria kugawanya bendera zingine 3000 kwa jiji la arusha .

vijana wa arusha wasema watahakikisha lema anashinda na wapo tayari kulinda ushindi huwo kwa gharama zozote zile mpaka kieleweki wadai hata ccm waweke vifaru mbele ya kituo cha majumuisho
lazima lema atangazwe mshindi........ ccm tupa kuleeeeeee

Ni Hatari kweli huko navyosikia

 
Vijana wa maeneo ya kijenge siku hizi hawalali wanalinda bendera za CHADEMA baada ya kusikia kuna vijana wamelipwa kuzishusha.
 
kaza uzi wana chadema, hakuna kula wala kulala mpaka kieleweke. Mwaka huu hatudanganyiki.
Chagua Slaa, chagua Chadema, chagua amani na maendeleo
 
wananchi wameamua baada ya kudanganywa miaka nenda rudi makanda tuachane na ccm
 
Namsubiri aminia kamanda Ngongo atuletee za upande wa pili .
Umenichekesha sana.
Ngongo ni rafiki yangu(kimtandao) sana, lakini tunakuja kushindana pale anapomchukia mno Lema, NA KUJITAHIDI KUELEZA kwa kila lugha ubaya wa Lema, bila kukumbuka kuwa ana chembechembe zote za ubinadamu kama mtu mwingineo yoyote!...Mi huwa namwambia kuwa jamaa yake wa TLP(LYIMO) hauziki hapa Arusha, ana kambi ndogo tu ya wauza madini na wafanyabiashara wachache wa mjini, lakini maeneo kama Ngulelo, Moshono, Baraa, Olorien Ilboru, Sakina , yote ni ngome matata kabisa za CHADEMA!
Tukishamaliza kazi hapo 31/10/2010 nitamtafuta Ngongo ili tufahamiane rasmi, na nitamdai glasi moja ya Namaqua!
 
Kutokana na hali ya kisiasa iliyopo arusha kati ya vyama viwili CHADEMA NA CCM hali imezidi kuwa mbaya kwa ccm kila kukicha, wameanza mchakato wa kununua bendera za chadema kwa gharama yeyite ile bendera moja hununuliwa kwa SH 30000 AU 20000 hiyo ndiyo bei ya chini,

ukifika arusha utazani umeingia tarime dala dala zote zina bendera za chadema na magari ya watu binafsi pamoja na barabara zote, wakati huwo ccm wao hutoa sh 20000 kwenye dala dala iliwazibandike wanaliwa hela zao ile mbaya kwani watu huweka siku moja then hutoa wakiulizwa husema walikuwa wamepaki zikaibiwa ,

juu ya hilo mgombea wa chadema kamanda kijana mpambanaji kweli kweli amesema amedhamiria kugawanya bendera zingine 3000 kwa jiji la arusha .

vijana wa arusha wasema watahakikisha lema anashinda na wapo tayari kulinda ushindi huwo kwa gharama zozote zile mpaka kieleweki wadai hata ccm waweke vifaru mbele ya kituo cha majumuisho
lazima lema atangazwe mshindi........ ccm tupa kuleeeeeee


inasisimua kweli kweli, asante
 
bendera za CCM nne za shushwa sinoni mchana huu na zimepandishwa bendera saba za chamadema na vijana wasiyo pungua 184.. huku wakionyesha vikadi vyao vya kupigia kura wadai kila moja takuja na marafiki wake wanne na demu wake moja, ARUSHA hiyooooo kwenye mabadiliko ya kweli
 
Mie bwana mtaa ninaoishi tunakazi moja tu ya kuhakikisha tunapata raisi kutoka kwenye chama chetu manake huezi amini Mwenyekiti wa mtaa ni chadema, diwani ni chadema na mbunge wetu ni chadema na wanakubalika mbaya kabisa tunachopigania sasa ni tupate raisi tu yani hapa watu wanahamasa kubwa
 
sio arusha tu mkuu, hata hapa dodoma mitaa ya nkuhungu sokoni vijana wanagombania bendera za chadema.
 
Mimi hawa vijana wa dala dala ndio wananimaliza nguvu kabisa. Kwanza wanapeperusha bendera za Chadema,
then kada wa CCM anapita na kuwapa Tsh 20000 ili watoe za Chadema na kuweka CCM. Hapo kada wa kijani
anaridhika.. Next day vijana wanapepea Chadema, kada kijani akiuliza kulikoni... jibu malipo yalikua per Day!
! !!!.
 
Kutokana na hali ya kisiasa iliyopo arusha kati ya vyama viwili CHADEMA NA CCM hali imezidi kuwa mbaya kwa ccm kila kukicha, wameanza mchakato wa kununua bendera za chadema kwa gharama yeyite ile bendera moja hununuliwa kwa SH 30000 AU 20000 hiyo ndiyo bei ya chini,

ukifika arusha utazani umeingia tarime dala dala zote zina bendera za chadema na magari ya watu binafsi pamoja na barabara zote, wakati huwo ccm wao hutoa sh 20000 kwenye dala dala iliwazibandike wanaliwa hela zao ile mbaya kwani watu huweka siku moja then hutoa wakiulizwa husema walikuwa wamepaki zikaibiwa ,

juu ya hilo mgombea wa chadema kamanda kijana mpambanaji kweli kweli amesema amedhamiria kugawanya bendera zingine 3000 kwa jiji la arusha .

vijana wa arusha wasema watahakikisha lema anashinda na wapo tayari kulinda ushindi huwo kwa gharama zozote zile mpaka kieleweki wadai hata ccm waweke vifaru mbele ya kituo cha majumuisho
lazima lema atangazwe mshindi........ ccm tupa kuleeeeeee

CCM inawauma kweli kupoteza jimbo lenye mvuto kwa watalii. Lakini ndiyo hali halisi. Better swallow that.
 
kutokana na hali ya kisiasa iliyopo arusha kati ya vyama viwili chadema na ccm hali imezidi kuwa mbaya kwa ccm kila kukicha, wameanza mchakato wa kununua bendera za chadema kwa gharama yeyite ile bendera moja hununuliwa kwa sh 30000 au 20000 hiyo ndiyo bei ya chini,

ukifika arusha utazani umeingia tarime dala dala zote zina bendera za chadema na magari ya watu binafsi pamoja na barabara zote, wakati huwo ccm wao hutoa sh 20000 kwenye dala dala iliwazibandike wanaliwa hela zao ile mbaya kwani watu huweka siku moja then hutoa wakiulizwa husema walikuwa wamepaki zikaibiwa ,

juu ya hilo mgombea wa chadema kamanda kijana mpambanaji kweli kweli amesema amedhamiria kugawanya bendera zingine 3000 kwa jiji la arusha .

Vijana wa arusha wasema watahakikisha lema anashinda na wapo tayari kulinda ushindi huwo kwa gharama zozote zile mpaka kieleweki wadai hata ccm waweke vifaru mbele ya kituo cha majumuisho
lazima lema atangazwe mshindi........ Ccm tupa kuleeeeeee

imenisisimsha!
 
Back
Top Bottom