Henry Kilewo
JF-Expert Member
- Feb 9, 2010
- 899
- 1,084
Kutokana na hali ya kisiasa iliyopo arusha kati ya vyama viwili CHADEMA NA CCM hali imezidi kuwa mbaya kwa ccm kila kukicha, wameanza mchakato wa kununua bendera za chadema kwa gharama yeyite ile bendera moja hununuliwa kwa SH 30000 AU 20000 hiyo ndiyo bei ya chini,
ukifika arusha utazani umeingia tarime dala dala zote zina bendera za chadema na magari ya watu binafsi pamoja na barabara zote, wakati huwo ccm wao hutoa sh 20000 kwenye dala dala iliwazibandike wanaliwa hela zao ile mbaya kwani watu huweka siku moja then hutoa wakiulizwa husema walikuwa wamepaki zikaibiwa ,
juu ya hilo mgombea wa chadema kamanda kijana mpambanaji kweli kweli amesema amedhamiria kugawanya bendera zingine 3000 kwa jiji la arusha .
vijana wa arusha wasema watahakikisha lema anashinda na wapo tayari kulinda ushindi huwo kwa gharama zozote zile mpaka kieleweki wadai hata ccm waweke vifaru mbele ya kituo cha majumuisho
lazima lema atangazwe mshindi........ ccm tupa kuleeeeeee
ukifika arusha utazani umeingia tarime dala dala zote zina bendera za chadema na magari ya watu binafsi pamoja na barabara zote, wakati huwo ccm wao hutoa sh 20000 kwenye dala dala iliwazibandike wanaliwa hela zao ile mbaya kwani watu huweka siku moja then hutoa wakiulizwa husema walikuwa wamepaki zikaibiwa ,
juu ya hilo mgombea wa chadema kamanda kijana mpambanaji kweli kweli amesema amedhamiria kugawanya bendera zingine 3000 kwa jiji la arusha .
vijana wa arusha wasema watahakikisha lema anashinda na wapo tayari kulinda ushindi huwo kwa gharama zozote zile mpaka kieleweki wadai hata ccm waweke vifaru mbele ya kituo cha majumuisho
lazima lema atangazwe mshindi........ ccm tupa kuleeeeeee